Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    In the name of LOVE – 12

    In the name of LOVE – 11

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » In the name of LOVE – 12
    Hadithi

    In the name of LOVE – 12

    Hamza NgondoBy Hamza NgondoOctober 1, 2025Updated:October 1, 2025184 Comments21 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ilipoishia sehemu ya Kumi na moja ya In the name of LOVE

    Moyo Wangu na akili yangu vilikua tayari kusikia chochote kile hata kama  kitaniumiza kiasi gani lakini Ndiyo ukweli pekee niliouhitaji kuusikia ili  nifahamu mengi yaliyokua yakinitatiza.  

    Nilikua kimya huku moyo Wangu ukinidunda, viti vilipoletwa tuliketi  kando ya kile chumba Kisha yule Mzee alishusha pumzi zake akaniuliza 

    “Ulikua wapi Kijana?”  Endelea

    SEHEMU YA KUMI NA MBILI

    “Nilipata ajali Baba, ilikua mbaya. Nilikaa Hospitali kwa wiki tatu”  nilisema. 

    “Wiki tatu?” 

    “Ndiyo Baba” 

    “Na hizo siku nyingine ulikua wapi Hadi Mdogo wako anafia humu ndani,  tunamzika kwa kushirikiana na Watu uliokua ukifanya nao kazi?” nilikaa  kimya, kuhusu kifo Cha Melisa nilikisikia, nilikumbushwa machungu  yaliyoanza kupoa moyoni mwangu, nikajiinamia huku chozi likianza  kunitoka. 

    “Usilie, wewe ni Mwanaume. Lakini ni Kosa kubwa umefanya kumtelekeza  Mdogo wako hapa Hadi rafiki Yako Sudi alipofanya aliyoyafanya. Kwa  Miaka mitano nimekifunga hiki chumba nikiamini ungerudi hapa  kuchukua kumbukumbu za Mdogo wako” alisema Baba mwenye nyumba,  niliinua kichwa changu huku chozi likiendelea kunibubujika. 

    Nilimtazama kwa macho yenye huzuni huku nikipeleka macho yangu ndani  ya chumba Cha Sudi, palikua patupu nikajiuliza hizo kumbukumbu  anazozisema zipo wapi. 

    “Hizo kumbukumbu zipo wapi?” nilimuuliza, alikaa kimya kidogo Kisha  akaniambia kwa sauti ya Ubaba.  

    “Kwa bahati mbaya nimezichoma moto asubuhi ya Leo, nilikata tamaa  niliamini usingelirudi hapa. Kijana kwa Miaka yote ulishindwa kurudi hapa 

    kweli?” aliniuliza swali lile lile lililokua likichanganya akili yangu, nilijiuliza  ndani ya nafsi yangu 

    “Miaka yote? Ni Miaka gani anaizungumzia huyu Baba?” aliponiona nipo  mawazoni alinigutua kwa kunishika bega akaniuliza tena 

    “Ulikua wapi?” Nilivuta hewa kidogo Kisha nilifuta chozi langu halafu  nikamtazama yule Baba kwa macho yaliyojaa ukungu wa mchozi laini  nikamwambia kwa sauti ya kitetemeshi Cha kulia. 

    “Kuna kitu hakipo sawa kwangu Baba, sijui kuhusu Miaka unayoisena.  Naona ghafla Kuna kitu sikikumbuki, ni wiki tatu tu naona Kila Mtu  anaizungumzia kuhusu Miaka mitano iliyopita na mwingine Miaka minne.  Nipo gizani Baba naomba unieleze ukweli, Mdogo wangu alifariki lini?”  

    Nilikua ninalia kwa kuuumia, akili yangu ilifungwa gizani. Kila kitu katika  Maisha yangu kilianza upya kabisa, Yule Baba alinitazama Kisha  akaniambia 

    “Nifuate” alinyanyuka na kuingia ndani ya kile chumba, moyo Wangu  ulizizima kwa upweke na maumivu. Chumba Cha Sudi kilibeba  kumbukumbu zenye kuniumiza sana, niliishi na Mdogo wangu humo lakini  kwa Simulizi alifia humo kwa kuuawa na Sudi Kisha Sudi akakimbia.  

    Nilisimama huku miguu yangu ikiwa mizito sana kuingia ndani ya hicho  chumba, yule Baba alikua tayari ameingia akageuka na kunipa ishara kua  niingie, nilinyanyua Mguu wangu huku chozi likinibubujika. 

    Kumbukumbu za Melisa zilipita machoni pangu mithiri ya filamu ya  maumivu. Mguu wangu ulikua baridi sana kama Mtu aliyepooza lakini  niliusukuma ili niingie ndani pengine ningeona kitu chenye kunikumbusha  kitu kuhusu Miaka inayotajwa. 

    Niliingia ndani ya chumba Cha Sudi, kilikua vile vile, magazeti ya Michezo  yalikua yamebandikwa ukutani, nilitembea Hadi ukutani huku yule Baba  akiniangalia tu. Niliushika Ukuta, nikapapasa Yale magazeti, yalikua  yamejaa vumbi 

    Moja ya gazeti liliandikwa tarehe, ilikua ni Miaka mitano iliyopita. Palikua  na kitanda kilichofunikwa shuka nyeupe, yule Baba akaniambia 

    “Tulimkuta Mdogo wako akiwa ameharibika hapa” nilianza kulia,  akanituliza na kuniambia. 

    “Nilikitunza chumba hiki niliamini ungerudi japo nilikata tamaa. Kijana, ni  Miaka mitano imepita, unapaswa kuwauliza Watu wako wa karibu ni kitu 

    gani wanakuficha” Alisema yule Baba, chozi lilianza kunibubujika maana  hata hao Watu wa karibu hawakuweza kunieleza chochote kile 

    “Baba, niliambiwa baada ya ajali akili yangu haijakaa sawa lakini nahisi  nilidanganywa. Hapa Kuna kitu ninafichwa” nilisema Kisha Niliketi  kitandani, yule Baba naye aliketi kitandani pia 

    “Kijana, hii Dunia ni Uwanja wa Siri, Binadamu wanaweza kuficha Siri  Hadi wanaingia kaburini ilimradi tu Siri hiyo isiwe faida kwa mwingine.  Inawezekana katika hiyo Siri Kuna jambo muhimu ambalo hawataki ulijue,  Kitu pekee kinachoweza kukufanya uijue Siri unayofichwa nayo ni kuwa  mdadisi zaidi” alisema yule Baba, maneno yake yaliamsha Hali Fulani ya  Ujasiri ndani yangu, nilikubali maneno yake kua kama nitaendelea kulia  siwezi kufahamu chochote kuhusu Miaka mitano iliyopita. 

    “Nenda kautafute ukweli kwa gharama yoyote ile, hakuna kitu kibaya katika  Maisha ya Binadamu kama kujipoteza. Usikubali kujipoteza, unapaswa  kupambana” alisema tena, maneno yake yalijaa hekima na busara kubwa  sana. 

    Nilifuta chozi langu nikamwambia “Naenda kuutafuta ukweli ulio gizani  Baba” Kisha nilinyanyuka na kuondoka pale, nilimwacha yule Baba akiwa  amesimama Mlangoni akinitazama nikipotea kwenye Kuta za nyumba yake 

    Jina Moja lililo kichwani kwangu ambalo niliamini linaweza kunipa majibu  ni Clara, ndiye Mtu pekee aliyekua kando yangu siku niliyorudisha fahamu  baada ya ile ajali. 

    Nilimsimamisha dereva wa pikipiki, nilihitaji kurudi nyumbani kwa Clara.  Akili yangu haikutaka kutulia kabisa, ilikua ni Mishale ya Alhasiri, nilifika  nyumbani kwa Clara 

    Moja kwa moja nilielekea Chumbani kwangu, Zaylisa alikua hajarudi.  Sikujali sana kuhusu yeye, nilichohitaji ni kufika chumbani kwa Clara  pengine alikua Mtu muhimu kwenye Maisha yangu niliyoyasahau, akili  yangu iliniambia hivyo maana asingeliweza kua pale wakati narudisha  fahamu tena akiwa na Mtoto wake Melisa 

    Nilizunguka chumbani huku nikipanga mkakati wa namna gani nitaingia  chumbani kwa Clara, Mtu pekee ambaye angeniwezesha kuingia humo  alikua ni Matilda. 

    Niliufungua mlango Kisha nilienda sebleni, nikamkuta Matilda akiwa  anaangalia filamu, nikamtazama kwa sekunde kadhaa Kisha nikafanya 

    uamuzi wa kukielekea chumba Cha Clara, aliponiona naelekea huko  Matilda alinikimbilia 

    Nilitikisa kitasa Cha mlango nikagundua mlango ulikua umefungwa kama  nilivyohisi mwanzo, sasa lile wazo la kumtumia Matilda lilitakiwa kufanya  kazi. 

    “Nahitaji kuingia chumbani kwa Clara” nilisema nikimtazama Matilda kwa  jicho Kali, hata yeye alishangaa kwasababu sikuwahi kumtazama kwa jicho  lile, akameza funda zito la mate huku akipumua kwa nguvu, alishaanza  kuingiwa na woga lakini akaniambia 

    “Dada amefunga mlango wake, kwanini unataka kufanya hivyo?”  

    “Nina uhakika ndani ya hiki chumba Kuna kumbukumbu zangu, nataka  kujua Clara ni Nani kwangu, kitu gani ambacho hamkisemi nyinyi?”  niliuliza kwa Uchungu sana, niliona Wazi kua Watu wale walifanya  makusudi kunipoteza kifikra bila kunipa kumbukumbu yoyote ile. 

    Matilda alirudi kidogo nyuma, alichokisikia kutoka kwangu alionesha Wazi  kua alikitarajia. Hata sura yake ilionesha kua alikua ni miongoni mwa Watu  walioamua kunificha kuhusu Maisha yangu yaliyopita 

    “Matilda, Kuna kitu unakijua na hutaki kusema si Ndiyo? Mimi ni Nani  nataka kujua Matilda, kwanini najiona sijakamilika Kuna kitu gani  nimesahau, nataka kujua ni kitu gani muhimu nimekisahau?” niliuliza,  Matilda alikua akinitazama kwa Mshangao tu huku chozi lake  likimbubujika 

    Nilisogea taratibu Kisha nilimwambia kwa sauti ya huzuni huku chozi  likinidondoka. 

    “Nakuomba Matilda, lazima utakua unanifahamu vizuri. Niambie  nisichokifahamu, niambie nilichokisahau” nilisema, niliona jinsi ambavyo  sura yake ilivyokua ikionesha huruma juu yangu. Nilimshika mabegani  nikamwonba aniambie chochote hata kama kilijaa maumivu kiasi gani  lakini nilitaka kusikia ukweli, niliona chozi lilikua likimbubujika ni wazi  aliguswa sana na maneno yangu. 

    “Akili yangu imekosa utulivu Matilda, Nilipopata ajali na kurejesha fahamu  nilimwona Clara pale Hospitalini, niambie yeye ni Nani kwenye Maisha  yangu?” nilimuuliza Matilda. Alikua akinitazama kwa jicho la huruma sana 

    Matilda hakusema chochote kile japo sura yake ilionesha kua alifahamu  jambo fulani. 

    Nilirudi chumbani kwangu nikiwa na huzuni sana, chozi lilikua  likinibubujika. Kilichokua moyoni mwangu ni kama Mzigo mzito  nilioshindwa kuubeba. Nilijivuta Hadi nikaketi kitandani, sikua na hamu ya  chochote isipokua kujua Siri ya Maiaka Mitano iliyopita. 

    Usiku ulipoingia ulinikuta nikiwa nimejiinamia, chumba kilikua Giza  sababu sikuwasha taa yoyote ile. Nilianza kusikia sauti ya Matilda akigumia 

    “Mwizi! Mwizi!” nilishtuka, haraka nikapapasia taa halafu nikafungua  mlango nikaelekea nje, Matilda alikua ameshafika getini. Kwa Kipindi hicho  nyumba ya Clara ilikua Haina Mlinzi 

    Nilikimbilia getini nikamkuta Matilda akiwa analia, nilimuuliza kimetokea  nini, alikua analia akaniambia 

    “Mwizi aliingia chumbani kwangu”  

    “Sasa chumbani kwako alikuja kufanya nini?” nilimuuliza, aliendelea kulia  bila kusema chochote. Ilinifikirisha kidogo, mwizi kuingia chumba Cha  Msichana wa kazi ambaye Hana chochote kile. 

    “Basi usilie Matilda kwani amefanikiwa kuiba chochote?”  “Sijui Mimi, ila nimemkuta chumbani kwangu akanisukuma na kukimbia”  “Uliiyona sura yake?” 

    “Hapana alivaa kofia”  

    “Basi twende ndani, hawezi kurudi tena. Mimi nipo nitakulinda” nilisema  kama Mwanaume. Nilimpeleka Matilda sebleni Kisha nilimpatia Maji ya  baridi anywe ili aondoe wenge. Alipomaliza kunywa Maji angalau akili yake  ilitulia akanieleza kwa uzuri 

    “Basi Wacha tukaangalie kama Kuna chochote amechukua” nilisema. 

    “Hapana Kaka, hakuchukua chochote hata usijali” alisema, lakini ndani ya  sauti yake nilihisi Kuna kitu hakikua sawa. Mara Mlango ulifunguliwa,  aliingia Zaylisa 

    “Eeeh mmetulia wenyewe hapo mnapiga stori” alisema, haraka akili yangu  iliniambia napaswa kujifanya hakuna nilichokiona kuhusu yeye ili niweze  kumchunguza vizuri, nilitabasamu kidogo tu nikamwambia 

    “Umepishana kidogo na mwizi” Nilisema, akashtuka  

    “Mwizi?”

    “Ndiyo, aliingia chumbani kwa Matilda lakini bahati nzuri hakuiba  chochote kile” Zaylisa akasogea taratibu Kisha akamshika bega Matilda 

    “Pole Binti, pole sana iwe funzo siku nyingine usiache mlango Wazi sawa?”  alisema kwa sauti ya kujali iliyojaa Udada ndani yake. Matilda akaitikia kwa  kichwa Kisha akanyanyuka na kuondoka akaelekea chumbani kwake. 

    Nilitabasamu kidogo, Zaylisa aliniangalia kwa jicho la mapenzi. Nikashusha  pumzi nikamuuliza 

    “Za utokako?”  

    “Ahh‼ hivyo hivyo Mpenzi, Hali ya Baba siyo nzuri sana yaani napata  wakati mgumu sana” alisema, kwa mara ya kwanza nilimwona Zaylisa  akiongea uwongo mbele yangu, nilihisi kuumia sana. Hakujua kua  niliifahamu Siri aliyoificha kua Mzee Paulo alifariki siku nyingi 

    “Jamani, pole sana my love. Kua na Imani Baba Yako atapona”  

    “Asante, Ndiyo maana napenda kua karibu Yako Jacob. Najihisi amani na  furaha sana niwapo kando Yako” alisema Kisha alilala begani kwangu. Nafsi  yangu ilizidi kutapa tapa, hakuna kitu kinaumiza moyo kama kugundua  Mtu unayemwamini na kumpenda anafanya mambo gizani, nilijiuliza  alikua ana lengo gani la kusema uwongo 

    “Usijali, Mimi ni wako Zay. Basi twende ukaoge ili uweke mwili safi”  nilisema Kisha nilibeba mkoba wake, tukaongozana Hadi chumbani,  akabadilisha nguo akavalia taulo Kisha akaelekea Bafuni. Nilisubiria Hadi  pale nitakaposikia Maji yakimwagika  

    Niliutazama Mkoba wake, simu yake ilikua humo. Nilipata wazo la  kuipekua simu yake maana mara nyingi alikua haweki Nywila. Taratibu na  kwa umakini mkubwa sana niliuchukua mkoba Kisha nikafungua zipu pole  pole bila kelele huku macho na masikio yangu vikiwa makini sana. 

    Nilipomaliza kufungua zipu ya mkoba wake niliiyona simu yake. Nilishusha  pumzi zangu, huku nikiamini simu hiyo itanifungulia njia ya kujua ni  mpango gani wa Siri ambao Zaylisa alikua nao na huwenda alikua  anaifahamu Siri ya Miaka mitano nisiyoikumbuka na pengine hakutaka  nikumbuke. 

    Basi niliichukua simu taratibu na kwa umakini, Kisha nilibonyeza mahali,  mwanga ukawaka. Nilijaribu kuifungua lakini ilidai Nywila yaani namba ya  siri, nilihisi kupandwa na hasira maana nisingeliweza kufanikiwa chochote  kile. Iliongeza Hali ya Wasiwasi kua alikua na mpango Fulani, kwanini  aweke namba ya siri bila kuniambia

    Niliirudisha simu na kufunga zipu Kisha niliuweka mkoba pale pale  nilipoutoa halafu, nikatulia kitandani nikiendelea na tafakari, Kila  nilichofanya hakikunipa mwanga  

    Zaylisa aliporudi kutoka Bafuni alikua mwingi wa tabasamu, alinitazama  kwa tabasamu Kisha alinifuata na kuanza kunipiga mabusu. Sikua na hisia  naye tena, ghafla tu hisia zilihama kwake licha ya Upendo mwingi niliowahi  kua nao kwake 

    Tulifanya mapenzi huku nikijitahidi kuigiza kua nilikua na hisia Kali sana  juu yake, sikutaka aujue mpango wangu kama ambavyo nilihisi alikua  akiuficha mpango wake kwangu. 

    Baada ya kumaliza alijilaza kifuani kwangu, alikua mwingi wa kubadilisha  stori za hapa na pale. Ilichochea wasiwasi wangu kua lipo jambo zipo  alilokua akilificha 

    Basi, tulilala Hadi asubuhi kulipo pambazuka. Kama kawaida yake aliniaga  kua anaenda kumhudumia Baba yake Mgonjwa, nami nilikua mwepesi wa  kumruhusu ili nyuma nifanye Uchunguzi wangu. 

    Nilimfuatilia tena nyuma nyuma kwa kutumia Bodaboda, safari zake zilikua  zile zile. Alipofika Mwenge aliingia kwenye gari nyeusi iliyopanda juu  iliyoonekana kua ya gharama sana Kisha walielekea kwenye ile Hoteli 

    Nikapata wazo kua ndani ya Hoteli hiyo Kuna jambo Fulani ambalo yeye  pamoja na yule Mwanaume anayevaa kofia walikua wakilipanga au  kulifanya.  

    Sikutaka kuendelea Kuchunguza zaidi, nilirudi nyumbani. Nilimwita  Matilda, Kuna kitu nilitaka kumuuliza, alipofika alinisalimia maana  nilipotoka sikuonana naye 

    “Hivi ile siku ambayo Zaylisa na Clara walizozana ilikuaje? Naomba  usinifiche chochote” nilimuuliza kwa sauti kavu ambayo ilimfanya aone kua  sikutaka utani. 

    “Dada Zay, alimwambia Dada Clara kua…..” alisema Kisha alisita,  nikamkazia macho yangu kwa ukali 

    “Alimwambia hataruhusu Melisa awe karibu na wewe” nilishtuka sana,  kwanini aseme hivyo kwani Mimi na Mtoto Melisa tuna uhusiano gani?  

    “Kwanini aseme hivyo?” nilimuuliza, nilikua makini kusubiria jibu la  Matilda.  

    “Mimi sijui Kaka, niliyasikia hayo tu ndipo wewe ulipokuja” 

    “Matilda sura Yako inaonesha una jambo la ziada la kuniambia, niambie  tuu tafadhali” nilisema kwa sauti ya Unyonge. 

    “Kaka Mimi sijui chochote kile nakuapia”  

    “Mimi ni Mtu mzima, ninapoitazama sura Yako naona inakusuta kwa  unachokisema. Matilda, usiwe Sehemu ya Watu wanaohitaji niishi gizani  Milele, naomba nikuulize. Mimi ni Nani kwa Clara, kwanini siku ile alikua  Hospitalini, Nina uhuasiano gani na yeye?”  

    Matilda alinitazama, uso wake ulinyongea, chozi likaanza kumbubujika. 

    “Samahani Kaka Jacob, siwezi kusema Kila kitu” alisema Matilda huku  chozi likitiririka machoni pake. Nilimshika mabega yake nikamwambia 

    “Naelewa ni jinsi gani unajizuia kuniambia Matilda lakini huu ndio wakati  sahihi wa kunieleza, nateseka kwa kuishi kama kivuli kwenye Maisha  yangu” nilisema, Matilda alinishika mkono akanipeleka chumbani kwake  Kisha akaufunga mlango.  

    Akafungua Begi Moja kubwa halafu akatoa picha Moja, akanipatia. Nilihisi  upepo Fulani ukikatiza usoni pangu, picha hiyo nilipiga Mimi, yeye na  Clara. 

    Nilipomaliza kuangalia niligundua hakuna kilichobadilika kwangu kwani  Bado nilikua sikumbuki chochote hata hiyo picha sikukumbuka ilipigwa  lini.  

    “Hii picha?” niliuliza huku mdomo Wangu ukiwa mzito lakini wenye  kuhitaji kuendelea kuongea, Matilda akadakia kwa hisia ya huzuni sana  huku chozi likimdondoka akaniambia 

    “Hiyo Ndiyo siku ambayo ulikua na furaha kuliko siku yoyote uliyowahi  kuishi hapa Duniani Kaka Jacob” alisema kwa hisia Kali sana, jicho langu  Moja likaanza kudondosha chozi, picha ilikua ikining’inia mkononi huku  kope za macho yangu zikicheza kwa muwasho wa chozi.  

    “Kwanini nilikua na furaha Matilda?” nilimwuliza Kisha niliitazama tena ile  picha, ni kweli nilionekana kua mwenye furaha sana, siyo Mimi tu hata  Matilda na Clara walionekana kua na furaha, picha ilisadiki maneno ya  Matilda lakini sikujua ni kwanini furaha ilitawala kiasi hicho.  

    Matilda aliibana midomo yake kwa Uchungu huku akizuia sauti ya kilio  isimtoke, moyo Wangu ulikua ukidunda sababu nilijua jibu ambalo Matilda  angenipatia lingetoa mwanga halisi wa Kila swali nililokua nikijiuliza,  akasema

    “Hiyo Ndiyo siku ambayo Melisa alizaliwa” alisema, chozi lilimtoka kama  alikua amewekwa pilipiki machoni mwake, nilitazama tena ile picha Kisha  nilimtazama yeye. 

    “Nilikuwepo siku ambayo Melisa alizaliwa?” 

    “Ndiyo” 

    “Hiyo Miaka mitano iliyopita?” 

    “Ndiyo, Kaka Jacob wewe ni Mume wa Dada Clara pia ndiye Baba wa  Melisa” alifunguka Matilda, ni kama alikua amerusha bomu la anga. Lilitua  chini na kupasua Kila kitu, nilistaajabu sana lakini sikukumbuka chochote  Bado  

    Macho yalinitoka, nilirudi nyuma hatua ndogo ndogo. Japo nilihitaji  kuambiwa ukweli lakini sikutegemea kusikia nilichokisikia, niligeuka na  kutembea taratibu kama Mtu aliyechoka sana, nilitembea na kutoka mle  chumbani. Nilifika sebleni nikiwa hoi, chozi na jasho vilikua vikishindana  kumwagika kama Maji. 

    Nilisimama mbele ya sofa huku Bado nikiwa kwenye Butwaa.  

    “Huo ndio ukweli Kaka Jacob” niliisikia sauti ya Matilda nyuma yangu,  haikua sauti ya kawaida Bali ilijaa kilio. Niligeuka na kumtazama Kisha  nikamkazia sauti nikamwambia 

    “Wewe ni mwongo Matilda, unajua kua unasema uwongo. Sijawahi  kuyaishi hayo Maisha, sikuwepo na wala hakijapita hicho kipindi Cha  Miaka mitano” nilisema, Kisha akanipa picha nyingine 

    Niliitazama huku chozi likidondokea kwenye ile picha, ilikua ni picha  tuliyopiga kanisani Mimi na Clara siku ya ndoa, nilikua nimevalia suti  nyeusi, Clara alikua amevalia gauni jeupe na shela. Nilizidi kuchoka, majibu  ya maswali yangu niliyapata kikatili sana 

    “Sasa kwanini sikumbuki, kwanini Clara hakusema chochote?” nilipaza  sauti, nilikua katika Hali mbaya sana kisaikolojia, niliambiwa vitu vyenye  ushahidi lakini sikukumbuka chochote kile. 

    Matilda akanisogelea huku akifuta chozi lake akaniambia 

    “Daktari alisema usikumbushwe Bali asubirie Hadi utakapokumbuka  mwenyewe. Hiyo Ndiyo sababu ya kwanini hakusema chochote, Ndiyo  maana alimleta Zaylisa tena kwenye Maisha Yako. Wewe ni Msomi, wewe ni  Mtendaji Mkuu wa kampuni zote za Dada Clara” alisema Matilda, nilihisi  mwili ulikua ukitetemeka kwa uzito wa maneno ya Matilda.

    “Kwahiyo nilimpenda Clara?”  

    “Ndiyo, mlikua na furaha kwa Miaka mitano mliyoishi pamoja kama Mume  na Mke. Furaha yenu ilikatishwa Usiku ule ulipopata ajali, ilikua ni siku ya  Kumbukumbu ya Kuzaliwa kwa Melisa, ulipata mtikisiko wa Ubongo na  kupelekea kupoteza kumbukumbu zako.” Aliposema Kauli hii nilihisi  maumivu makali sana ya kichwa huku nikiona baadhi ya picha zikipita  kwenye ufahamu wangu  

    Nilianza kuona baadhi ya kumbukumbu, nilishikilia kichwa changu na  kujikuta nikiwa nimeanguka sakafuni, nilipoteza fahamu.  

    Matilda alihangaika na Mimi, akanipeleka Hospitali.  

    Ukweli unaoumiza. 

    Masaa Matatu baadaye nilipata fahamu, nilijikuta nipo kitandani. Macho  yalikua mazito yakitokwa na Machozi, nilikumbuka niliwahi kuamka kama  hivi na kumwona Clara na Melisa mbele yangu, safari hii ilikua tofauti 

    Matilda alikua ameketi kando amejiinami, hakujua kua nilikua nimeamka.  Nilipovuta hewa nzito ndipo aliposikia na kunitazama. 

    Alitoa tabasamu lenye huzuni ndani yake huku chozi jepesi likimtoka,  aliniangalia Kisha akaniuliza 

    “Unajisikiaje Kaka Jacob?” chozi lilinidondoka nikiwa ninamtazama,  niliamka nikiwa Jacob niliyetimia. Kumbukumbu zangu zote zilikua  zimerudi. Nilikumbuka Kila kitu kuanzia kifo Cha Mdogo wangu kipenzi  Melisa, kifo Cha Mama yangu, nilimkumbuka Clara na Mtoto Wangu  Melisa 

    Nilitikisa kichwa kuashiria kua nilikua sawa, lakini Matilda akataka kutoka  kwa ajili ya kwenda kumwita Daktari, nilimzuia kwa kumshika mkono  Kisha nikamwambia 

    “Nipo salama Matilda, nakushukuru sana” nilisema, Matilda aliketi taratibu  huku akiniangalia kwa kunishangaa  

    “Ndiyo, nimekumbuka Kila kitu kuhusu Mimi” nilisema kwa sauti ya  taratibu iliyosindikizwa na huzuni. Matilda aliachia tabasamu huku chozi  likiendelea kumbubujika.

    “Usilie Matilda, Kila kitu kitakua sawa. Umewasiliana na Clara na kujua  yupo wapi?” nilimuuliza, akafuta chozi lake Kisha kwa sauti iliyojaa kubana  kwa mafua aliniambia 

    “Kaka, nimejaribu sana lakini simpati. Sijui yupo wapi, natamani awe hapa  na wewe akifurahia kumbukumbu zako” Alisema Matilda, alionesha Wazi  kua alikua amejawa na Upendo sana juu yetu, aliyabeba matatizo yetu  kama matatizo yake, hakua tu Msichana wa kazi Bali ndugu aliyetimia. 

    “Nakuomba Matilda, usimwambie yeyote kua kumbukumbu zangu zipo  sawa” nilisema, aliitikia kwa kutumia kichwa chake Kisha aliniambia 

    “Mimi ni mtiifu kwako Kaka, sitathubutu. Nitajifanya kama vile sijui  chochote kile” basi nilitabasamu, nikafuta chozi lililobakia machoni pangu.  

    Nilihisi nimeshusha mzigo mzito mabegani kwangu, nilihitaji kujua mambo  mawili, ni wapi alipo Clara na Mwanangu Melisa lakini pia nilihitaji kujua  kuhusu Zaylisa, alikua na mpango gani kwenye Maisha yangu. 

    Baadaye jioni niliruhusiwa kurudi Nyumbani, baada ya kushuka kwenye  Bajaji nilisimama na kuitazama nyumba ya Clara, nilikumbuka Maisha  mazuri tuliyoyaishi kwa Miaka mitano iliyopita. Kila Kuta ilikua na historia  nzuri ya Upendo 

    Nilihisi kusikia sauti za Kicheko Cha Clara na Mtoto wetu Melisa, Kila  nilichokitazama kilinipa kumbukumbu zisizofutika Maishani mwangu.  Matilda alinielelewa akanishika bega kua nisiwe na wasiwasi. 

    Tulipoingia ndani ya Uzio, nilitazama Kila kitu. Kulikua na kumbukumbu  nyingi sana, macho yangu hayakuacha kulitazama eneo ka maegesho, hapo  palikua na gari tatu lakini Moja ilikua imefunikwa kwa turubai ikionekana  kua ilikua haitumiki. 

    Nilisogea pole pole huku Matilda akiwa nyuma yangu, nilipepesa macho  taratibu huku upepo wa pole pole ukiwa unanipiga, nilisogea na kufungua  turubai. Nililiona gari langu ambalo nilikua nikilitumia, nililipapasa  taratibu huku nikigusa vumbi jepesi 

    Chozi lilinitoka, gari Hilo lilikua na kumbukumbu ya ajali yangu,  halikutengenezwa Bali lilikua vile vile kama ambavyo nilipata nalo ajali,  lilikua na mbonyeo upande wa Kushoto huku vioo vikiwa vimevunjika. 

    “Kaka Jacob” aliniita Matilda, aliguswa sana na Mimi. 

    Niligeuka kumtazama

    “Najua ni jinsi gani umeumia Kaka, lakini Kila kitu kwenye hii Dunia  hutokea kwasababu. Namshukuru Mungu umerudisha kumbukumbu zako  muhimu” alisema, niliitikia kwa kutumia kichwa kwani kinywa changu  kilikua kizito sana hakikuweza kutoa neno lolote lile 

    Matilda akalifunika tena lile gari sababu tulikubaliana kua Kila Siri itabakia  kama ilivyo. Nilipoingia ndani nilizidi kukumbuka kuhusu Familia yangu,  Kila hatua niliyopiga ilinipa kumbukumbu nzito sana. 

    Sikua na swali la kuuliza sababu majibu yote yalikua Wazi, nilikitazama  chumba Cha Clara, ndicho chumba chetu lakini napaswa kuishi kama  sikifahamu chumba hicho, ulikua ni uamuzi mgumu sana lakini wenye  maana. Basi nilikipita chumba kama sikijui Kisha nilielekea Chumbani  kwangu na kujilaza kitandani huku macho yangu yakitazama Dali. 

    Usiku, Zaylisa alirudi kama kawaida yake akijifanya alikua bize sana na  kumuuguza Baba yake, aliniletea stori nyingi huku akiamini Mimi nilikua  Bado sijapata kumbukumbu zangu, akaingia bafuni kuoga Kisha akarudi  tukaketi na kuanza kuzungumza. 

    Safari hii nilimtazama kwa jicho la tofauti sana, sio mapenzi Bali umakini  wa kujua alikua na mpango gani na huyo Mtu anayejiita ‘Mzee wa  MIPANGO’  

    “Kidogo sasa hivi Hali ya Baba inaendelea kuimarika. Hua najisikia vibaya  sana kukuacha mpweke Mpenzi wangu” alisema Zaylisa kwa sauti iliyojaa  Ulaghai, niliikumbuka sauti hii ilikua ikimtoka Kila siku lakini nilikua  gizani sikuweza kuitambua.  

    Kila nilivyomtazama nilihisi alikua ana Maisha ya tofauti sana kwa Miaka  mitano iliyopita, sikujua ni Maisha ya namna gani lakini hayakua Yale  niliyomwacha nayo wakati ule. Niliishia kutabasamu kana kwamba nilikua  Jacob yule aliyekua akimchezea, hata chembe ya Upendo haikuwepo.  Moyoni mwangu 

    “Pole sana, Mungu atamfanyia wepesi ataimalika zaidi” nilisema huku  nikimtazama, japo tulikua tumekaa tunaongea lakini niliona alikua bize  sana na simu yake. Akanipa mwanya mzuri sana wa kuitazama upya sura  yake. 

    **

    Zilipita siku Nne, hakuna aliyempata Clara kwenye simu. Mwanzo  ilionekana kua kawaida lakini tulianza kupata hofu, Kila mara Simu ya  Mezani ilipoita ilitufanya tuwehuke sana. 

    “Au ni kawaida yake?” aliuliza Zaylisa, tulikua tumekaa sebleni. Niligeuka  kumtazama, moyoni mwangu nilijua kabisa haikua kawaida kwa Clara,  niliishi naye Miaka mitano ya furaha na amani, ni Mke wangu wa Ndoa.  Nilipandwa na hasira lakini niliificha  

    “Mh! Nitajuaje wakati Mimi hapa si mwenyeji Mpenzi, lakini hata Matilda  anamshangaa inaonesha sio kawaida” nilisema, alitabasamu kidogo tu  

    “Lakini Jacob, unajua yeye hataki wewe uendelee kuwa hapa hasa na Mimi  hivyo usiwaze sana kuhusu yeye sababu huwezi kujua akirudi atakua na  mpango gani dhidi yetu” alisema Kisha alinisogelea akasema tena 

    “Niangalie Mimi, unanijua na nimekubali kuachana na Mume wangu  kwasababu Yako wewe Jacob, Clara asiitumie fimbo ya kukusaidia  kukuchapia” Nilitikisa kichwa kukubaliana na Zaylisa huku nikiwa  nayaelewa maneno yake kua yalijaa mizizi ya Uwongo, sura yake ilionesha  kua alikua akiifahamu Siri ya Miaka Mitano iliyopita lakini swali  nililojiuliza nikiwa ninamtazama 

    “Kwanini Clara alikubali kumleta tena kwenye Maisha yangu ikiwa alikua  anajua Mimi ni Mume wake, waliongea nini?” Majibu ya maswali yote  yalikua kwa Clara ambaye Hadi sasa hatujui yupo wapi na anafanya nini. 

    “Ni kweli, sasa tutafanya nini Mpenzi ili kuhakikisha huyu Clara hatuchapi  tena? Unajua tatizo Sina mahali pa kukupeleka, Hali yangu kiuchumi  unaijua Zaylisa” nilisema kwa Uchungu sana kama vile nilikua mbele ya  Kamera nikiifuata Script iliyoandikwa na Mwandishi Nguli. Hata moyo  Wangu uliniambia kua kama nikigeukia Uigizaji basi nitaweza kuigiza  vizuri sana. 

    Nilikua nikimtazama kwa uhakika wa uthabiti wa kumaanisha, sikuruhusu  hata chembe ya Uwongo ijulikane. Mara akapita Matilda akielekea jikoni,  Zaylisa akamwita Matilda kama Kijakazi tu 

    “Nimekutuma unileteee juisi Hadi sasa haujaleta, una dharau sana wewe  Mtoto” alisema Zaylisa, hii Tabia sikuwahi kuiona kwake isipokua wakati  huu aliporudi kwenye Maisha yangu upya. Nilimtazama Matilda kwa jicho  la hasira Kisha nikamwambia 

    “Acha dharau Mdogo wangu haya Maisha tu, kipi kinakufanya uoneshe  dharau wakati wewe ni Msichana wa kazi tu. Lete juisi hapa” nilikaza sauti 

    Kisha nilimkonyeza jicho Matilda, sikutaka Kuonesha Wazi nipo Upande  wake nilijiegemeza Upande wa Zaylisa ili kuivuna Imani yake kwangu. 

    “Samahani, nilisahau hata hivyo naenda kukuchukulia” alisema Matilda  kwa adabu sana Kisha aliondoka zake pale. 

    “Jacob, unanifanya nazidi kukupenda maana licha ya kua hauna mamlaka  hapa ila unasimama na Mimi” alisema. 

    “Usijali Kipenzi, nisiposimama na wewe nitasimama na Nani tena maana  Sina familia nyingine zaidi Yako wewe” nilimwambia Zaylisa na ikaonekana  kumpatia furaha sana 

    Basi, Baada ya dakika Moja juisi ilikua tayari na Matilda aliileta ikiwa  kwenye glasi ndefu Pana, kama nilivyokwambia nyumba ya Clara ni  nyumba ya kitajiri hivyo hata vyombo vyake vilikua vya thamani sana.  Wakati anampatia kwa bahati mbaya akateleza na kumwagikia Juisi  kwenye gauni la Zaylisa 

    Taharuki ikatokea, hasira ikampanda sana Zaylisa akatamani kumpiga  Matilda lakini sikuruhusu litokee nikaingilia kati, nikamtandika Kofi Mimi  Matilda, halikua Kofi sawa na lile ambalo Zaylisa angempiga 

    “Mshenzi sana wewe, kwakua umelazimishwa kuleta Juisi ndio unafanya  hivi si Ndiyo?” nilisema kwa kufoka Hadi misuli ya shingo ilinitoka,  nilifanya kwa ajili ya kumwaminisha Zaylisa kua nilikua Upande wake  muda wote na hakuna nilichokumbuka. Matilda alidondosha chozi huku  akiomba msamaha 

    “Nenda ukatupe vipande vya glasi Kisha uje ufute hapa haraka sana”  nilisema, haraka Matilda aliokota vipande vya glasi akaondoka.  Nilimgeukia Zaylisa kwa jicho la kujali nikamshika magebani  nikamwambia 

    “Pole Babe, yule mshenzi sana amefanya makusudi ila dawa yake ipo jikoni.  Hizi dharau zimefika mwisho sasa” Nilisema huku Zaylisa akipepesa macho  yake aliyobandika kope, alikua na hasira sana akaniambia 

    “Nimechukia sana Jacob, hizi ni dharau na siyo Bure huyu ametumwa na  Bosi wake, sasa nitamwonesha” alisema kwa hasira akiwa anatetemeka  sana. 

    “Usijali, nenda kabadilishe nguo zako” nilisema, aliondoka zake kwa hasira  akaelekea chumbani, ile nageuka na Matilda alikua akifika. Nusura chozi  linitoke nilimwangalia kwa huruma, sikupenda kumpiga Kofi ila nilifanya  vile ili kumkinga na hasira ya Zaylisa. 

    MWISHO

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapa 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896 

    Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love 

    riwaya leo riwaya mpya riwaya za mapenzi

    184 Comments

    1. 📃 SECURITY NOTICE; Suspicious transaction of 0.9 Bitcoin. Stop? => https://graph.org/Get-your-BTC-09-11?hs=2679b443997a56f7a713bbaca400e406& 📃 on October 1, 2025 6:09 pm

      9k7htg

      Reply
    2. hby on October 1, 2025 9:36 pm

      Sijaelewa hapa maana ya neno MWISHO.

      Reply
      • Gidioni on October 2, 2025 3:54 pm

        Mwisho gani tena sijaelewa samahani

        Reply
        • Anastazia Moshi on October 8, 2025 10:12 am

          Mbona mmeandika mwisho ko ndio imeishaje xx

          Reply
    3. Giovanni4996 on October 2, 2025 12:03 am

      https://shorturl.fm/C8X07

      Reply
    4. Scalion on October 2, 2025 11:45 am

      Daaahh bonge moja la story nzuri Sana nimeipenda hakika ndugu mwandishi Mungu azidi kukuongezea ufahamu kwenye hii kazi yako
      Natumaini kutakuwepo na season two

      Reply
      • Anastazia Moshi on October 8, 2025 10:12 am

        Mbona mmeandika mwisho ko ndio imeishaje xx

        Reply
    5. 🖱 🚨 Important - 2.2 BTC sent to your address. Confirm funds → https://graph.org/Get-your-BTC-09-11?hs=2679b443997a56f7a713bbaca400e406& 🖱 on October 2, 2025 1:08 pm

      83jqa4

      Reply
      • Salome on October 2, 2025 9:30 pm

        Nimeipenda sana story jaman

        Reply
    6. Subira Chipetta on October 2, 2025 8:24 pm

      Mwisho?? Inaishaje hivi na ww

      Reply
    7. Bahati on October 2, 2025 8:34 pm

      Mbona mwisho tena Clara yupo wapi

      Reply
    8. Chris on October 2, 2025 8:42 pm

      Bhana inaisha kama muvi za kibongo jaman😭😭😭

      Reply
    9. Chris on October 2, 2025 8:43 pm

      Bhana inaishaje ivo kam muvi la kibongo

      Reply
      • Anuwary on October 2, 2025 9:20 pm

        Admin mwisho kvp
        Hatujaelewaaa 🤔😳😒

        Reply
    10. Lean on October 2, 2025 9:33 pm

      Tamu sana admn ila neno mwisho limenichanganya samahan lakin

      Reply
    11. Lean on October 2, 2025 9:34 pm

      Riwaya nzuri sana ila neno [MWISHO] lanichanganya

      Reply
    12. Lynda714 on October 2, 2025 11:47 pm

      https://shorturl.fm/Uj3im

      Reply
    13. Willow1184 on October 3, 2025 2:49 am

      https://shorturl.fm/S0VtW

      Reply
      • Fabian on October 3, 2025 6:49 am

        Nimeipenda sana ila sijapenda ulivyo imaliza Yani bado Kuna visa viwili bado Kuna mama na mtoto
        Bado Mzee wa mipamgo atajua kama ndo mume wake au n mchati tu umemaliza kiasara kweli

        Reply
    14. Hunter2795 on October 3, 2025 6:44 am

      https://shorturl.fm/sUu0X

      Reply
    15. Jillian2704 on October 3, 2025 9:13 am

      https://shorturl.fm/2y40s

      Reply
    16. Malumee on October 3, 2025 10:14 am

      Mwisho kivipi Tena hapo2 ndo mnapo alibu vp kuhusu Clara atajuaj kama kacobo kaludisha kmbkmb vp kh zayls n mipng yake 😭

      Reply
    17. Alvin228 on October 3, 2025 2:16 pm

      https://shorturl.fm/xK5hp

      Reply
    18. Deborah2137 on October 4, 2025 4:14 am

      https://shorturl.fm/R4NZ9

      Reply
    19. Gianna287 on October 4, 2025 4:16 am

      https://shorturl.fm/brQB0

      Reply
    20. Clyde2133 on October 4, 2025 10:17 am

      https://shorturl.fm/D3KP7

      Reply
    21. Jay1703 on October 4, 2025 3:38 pm

      https://shorturl.fm/Tncwf

      Reply
    22. Yamungu.E.Dawson on October 4, 2025 9:22 pm

      Admin kiukweli hapo umefail mwisho gani sasa hujasema maisha yaliendelea vipi baada ya kumbukumbu kurudi upya, Je Jacob aliendelea na Zaylisa au Clara na muda huo wote Clara alikuwa wapi na mwanae na akiwa anafanya nini?Tunaomba muunganiko mzuri wa visa na matukio plz

      Reply
    23. Lance2510 on October 5, 2025 12:07 am

      https://shorturl.fm/nE80q

      Reply
    24. Kelsey4758 on October 5, 2025 7:13 am

      https://shorturl.fm/8JBgr

      Reply
    25. Marilyn4862 on October 5, 2025 9:59 am

      https://shorturl.fm/drPl5

      Reply
    26. Regina941 on October 5, 2025 7:51 pm

      https://shorturl.fm/zFeL0

      Reply
    27. Jade4032 on October 6, 2025 12:32 pm

      https://shorturl.fm/UDuRb

      Reply
    28. Giselle2959 on October 6, 2025 12:46 pm

      https://shorturl.fm/JcNQF

      Reply
    29. Bradley2876 on October 7, 2025 12:35 pm

      https://shorturl.fm/gD1ea

      Reply
    30. Adrienne4190 on October 7, 2025 5:19 pm

      https://shorturl.fm/8lfzs

      Reply
    31. Bianca4183 on October 7, 2025 10:41 pm

      https://shorturl.fm/nQGXA

      Reply
    32. Judy2484 on October 7, 2025 11:44 pm

      https://shorturl.fm/NghYj

      Reply
    33. Billie3007 on October 8, 2025 1:24 am

      https://shorturl.fm/0tT9p

      Reply
    34. Robin964 on October 8, 2025 8:52 am

      https://shorturl.fm/YjieY

      Reply
    35. 📑 System: Transfer 0.3 BTC on hold. Verify now => https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=2679b443997a56f7a713bbaca400e406& 📑 on October 8, 2025 9:53 pm

      78sd8c

      Reply
    36. Ken2577 on October 8, 2025 10:54 pm

      https://shorturl.fm/uVrBU

      Reply
    37. Evan2837 on October 9, 2025 4:48 am

      https://shorturl.fm/ZaNfi

      Reply
    38. Marc3786 on October 9, 2025 6:06 am

      https://shorturl.fm/a3Fw4

      Reply
    39. Wade158 on October 9, 2025 8:46 am

      https://shorturl.fm/i4Dkd

      Reply
    40. Adeline4969 on October 9, 2025 10:27 am

      https://shorturl.fm/rYRBp

      Reply
    41. 🔕 📬 New Message: 1.95 BTC from partner. Review transfer => https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=2679b443997a56f7a713bbaca400e406& 🔕 on October 9, 2025 6:23 pm

      t0o3hp

      Reply
    42. Nadia1856 on October 9, 2025 7:48 pm

      https://shorturl.fm/oE8oh

      Reply
    43. Jean3706 on October 9, 2025 8:02 pm

      https://shorturl.fm/yqUh5

      Reply
    44. 🔓 📌 Alert: 0.9 BTC expiring. Open account >> https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=2679b443997a56f7a713bbaca400e406& 🔓 on October 10, 2025 3:31 am

      6xby2y

      Reply
    45. Juliet2022 on October 10, 2025 1:06 pm

      https://shorturl.fm/dS0nY

      Reply
    46. Ivy2173 on October 10, 2025 8:16 pm

      https://shorturl.fm/ReVIg

      Reply
    47. Danny4174 on October 11, 2025 12:43 am

      https://shorturl.fm/Xhc0Y

      Reply
    48. Geoff4867 on October 11, 2025 1:43 pm

      https://shorturl.fm/AX5uN

      Reply
    49. 📩 ⚠️ Verification Required - 0.2 BTC transfer held. Proceed here >> https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=2679b443997a56f7a713bbaca400e406& 📩 on October 11, 2025 3:22 pm

      esn5fo

      Reply
    50. Cameron2353 on October 12, 2025 9:10 am

      https://shorturl.fm/TSRiC

      Reply
    51. Aubree4727 on October 12, 2025 1:32 pm

      https://shorturl.fm/tqyNt

      Reply
    52. Irene1532 on October 12, 2025 8:29 pm

      https://shorturl.fm/Pg3mo

      Reply
    53. Anahi574 on October 12, 2025 10:29 pm

      https://shorturl.fm/LQZdg

      Reply
    54. Troy36 on October 13, 2025 1:10 am

      https://shorturl.fm/ENTJx

      Reply
    55. Sandra688 on October 13, 2025 4:02 am

      https://shorturl.fm/YnmbE

      Reply
    56. Hallie4531 on October 13, 2025 10:59 am

      https://shorturl.fm/ZT56P

      Reply
    57. Tiffany957 on October 13, 2025 7:50 pm

      https://shorturl.fm/XVaZa

      Reply
    58. Philip1277 on October 13, 2025 8:16 pm

      https://shorturl.fm/HWPH6

      Reply
    59. Haiden2682 on October 13, 2025 9:07 pm

      https://shorturl.fm/mrsNP

      Reply
    60. Karina4825 on October 14, 2025 12:48 am

      https://shorturl.fm/4qoXD

      Reply
    61. Enock on October 14, 2025 12:18 pm

      Clara yu wapi????
      Mapenzi ya Jacob na Zaylisa yaliishia wapi baada ya Jacob kurudisha kumbukumbu??
      Mzee wa mipango alikuwa nani na alikuwa na mipango gani?

      Reply
    62. 📦 ⚠️ Verification Required: 1.3 BTC deposit delayed. Confirm now → https://graph.org/Get-your-BTC-09-11?hs=2679b443997a56f7a713bbaca400e406& 📦 on October 14, 2025 9:32 pm

      haahir

      Reply
    63. Alastair4330 on October 14, 2025 11:58 pm

      https://shorturl.fm/lafTz

      Reply
    64. Jose849 on October 15, 2025 4:37 am

      https://shorturl.fm/J6WAC

      Reply
    65. Nellie2494 on October 15, 2025 6:01 am

      https://shorturl.fm/8zpt5

      Reply
    66. Nathan4746 on October 15, 2025 10:32 am

      https://shorturl.fm/e9KsE

      Reply
    67. vhqqfxndmp on October 15, 2025 11:28 am

      gkthqvhysjopgwjftyehhqdqeldzzs

      Reply
    68. ziuuvpqssf on October 15, 2025 11:28 am

      loqmppnvzedojpysuqflpdfxzfukyv

      Reply
    69. mindvault on October 15, 2025 2:14 pm

      **mindvault**

      mindvault is a premium cognitive support formula created for adults 45+. It’s thoughtfully designed to help maintain clear thinking

      Reply
    70. Kendall3075 on October 15, 2025 3:19 pm

      https://shorturl.fm/sJhBP

      Reply
    71. Deirdre2625 on October 16, 2025 4:14 am

      https://shorturl.fm/dQ6cP

      Reply
    72. Edna338 on October 16, 2025 9:06 am

      https://shorturl.fm/U8JDr

      Reply
    73. Lucia1737 on October 16, 2025 10:31 am

      https://shorturl.fm/tkv5X

      Reply
    74. Danny4111 on October 16, 2025 11:14 pm

      https://shorturl.fm/yblMZ

      Reply
    75. 🖥 📢 Notification - 1.6 BTC available for transfer. Continue > https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=2679b443997a56f7a713bbaca400e406& 🖥 on October 17, 2025 1:45 am

      upcfrg

      Reply
    76. Keith2970 on October 17, 2025 2:15 pm

      https://shorturl.fm/BUEc9

      Reply
    77. Darius3282 on October 17, 2025 10:43 pm

      https://shorturl.fm/me54m

      Reply
    78. Jeffrey138 on October 18, 2025 12:10 am

      https://shorturl.fm/PFXZN

      Reply
    79. 房中秘术 on October 18, 2025 8:58 am

      房中秘术、泡妞把妹、丰胸美体、奇淫巧技!价值十万电子书下载网址:https://www.1199.pw/

      Reply
    80. Cale2076 on October 18, 2025 10:35 am

      https://shorturl.fm/qCu5t

      Reply
    81. Bulk commenting on October 19, 2025 4:55 am

      Bulk commenting service. 100,000 comments on independent websites for $100 or 1000,000 comments for $500. You can read this comment, it means my bulk sending is successful. Payment account-USDT TRC20:【TLRH8hompAphv4YJQa7Jy4xaXfbgbspEFK】。After payment, contact me via email ([email protected]),tell me your nickname, email, website URL, and comment content. Bulk sending will be completed within 24 hours. I’ll give you links for each comment.Please contact us after payment is made. We do not respond to inquiries prior to payment. Let’s work with integrity for long-term cooperation.

      Reply
    82. Elizabeth4545 on October 19, 2025 7:09 am

      https://shorturl.fm/wAqhF

      Reply
    83. Gina683 on October 19, 2025 11:08 am

      https://shorturl.fm/APkY8

      Reply
    84. London1323 on October 19, 2025 5:50 pm

      https://shorturl.fm/NyF6T

      Reply
    85. Sheila4139 on October 19, 2025 7:25 pm

      https://shorturl.fm/6cElk

      Reply
    86. Scott3020 on October 20, 2025 2:10 am

      https://shorturl.fm/gRzqz

      Reply
    87. Earl635 on October 20, 2025 4:25 am

      https://shorturl.fm/9WnK9

      Reply
    88. Cecilia723 on October 20, 2025 10:39 am

      https://shorturl.fm/h7NIV

      Reply
    89. Evie596 on October 20, 2025 12:26 pm

      https://shorturl.fm/GOH3x

      Reply
    90. Aisha486 on October 20, 2025 12:51 pm

      https://shorturl.fm/t00lL

      Reply
    91. Bobby1024 on October 21, 2025 9:17 am

      https://shorturl.fm/vjWZ7

      Reply
    92. Carly749 on October 21, 2025 4:22 pm

      https://shorturl.fm/4FvxH

      Reply
    93. prostadine on October 21, 2025 11:06 pm

      **prostadine**

      prostadine is a next-generation prostate support formula designed to help maintain, restore, and enhance optimal male prostate performance.

      Reply
    94. Gail4152 on October 22, 2025 12:05 am

      https://shorturl.fm/2Ficl

      Reply
    95. Kai3410 on October 22, 2025 7:54 am

      https://shorturl.fm/qqClv

      Reply
    96. 就是搞钱 on October 22, 2025 6:05 pm

      尖端资源,价值百万,一网打尽,瞬间拥有!多重收益,五五倍增,八级提成,后劲无穷!摸币网,最嚣张的上线替下线赚钱网站:https://1925.mobi/

      Reply
    97. Colleen4054 on October 22, 2025 8:28 pm

      https://shorturl.fm/76oPp

      Reply
    98. Connor2361 on October 23, 2025 3:38 am

      https://shorturl.fm/XebMH

      Reply
    99. Angelina2550 on October 23, 2025 5:49 am

      https://shorturl.fm/RiRjB

      Reply
    100. sugarmute on October 23, 2025 6:45 am

      **sugarmute**

      sugarmute is a science-guided nutritional supplement created to help maintain balanced blood sugar while supporting steady energy and mental clarity.

      Reply
    101. qjrndfrvwr on October 23, 2025 10:53 am

      npwyhkxjxntjxoxqpuylljforsfjmk

      Reply
    102. nngvlnuqkq on October 23, 2025 10:53 am

      nnokntlwfexsdxmhgvdqsnvimszrvv

      Reply
    103. Lilly1529 on October 23, 2025 8:23 pm

      https://shorturl.fm/1J3Tl

      Reply
    104. Lila4609 on October 23, 2025 9:41 pm

      https://shorturl.fm/iv7OG

      Reply
    105. glpro on October 23, 2025 10:35 pm

      **glpro**

      glpro is a natural dietary supplement designed to promote balanced blood sugar levels and curb sugar cravings.

      Reply
    106. Jack1619 on October 24, 2025 7:05 am

      https://shorturl.fm/Hh5Cy

      Reply
    107. Caiden4888 on October 24, 2025 8:45 am

      https://shorturl.fm/eYkUn

      Reply
    108. zencortex on October 24, 2025 10:03 am

      **zencortex**

      zencortex contains only the natural ingredients that are effective in supporting incredible hearing naturally.

      Reply
    109. mitolyn on October 24, 2025 10:48 am

      **mitolyn**

      mitolyn a nature-inspired supplement crafted to elevate metabolic activity and support sustainable weight management.

      Reply
    110. yusleep on October 24, 2025 12:45 pm

      **yusleep**

      yusleep is a gentle, nano-enhanced nightly blend designed to help you drift off quickly, stay asleep longer, and wake feeling clear.

      Reply
    111. prodentim on October 24, 2025 1:08 pm

      **prodentim**

      prodentim an advanced probiotic formulation designed to support exceptional oral hygiene while fortifying teeth and gums.

      Reply
    112. synaptigen on October 24, 2025 1:32 pm

      **synaptigen**

      synaptigen is a next-generation brain support supplement that blends natural nootropics, adaptogens

      Reply
    113. vitta burn on October 24, 2025 2:04 pm

      **vitta burn**

      vitta burn is a liquid dietary supplement formulated to support healthy weight reduction by increasing metabolic rate, reducing hunger, and promoting fat loss.

      Reply
    114. nitric boost on October 24, 2025 2:47 pm

      **nitric boost**

      nitric boost is a dietary formula crafted to enhance vitality and promote overall well-being.

      Reply
    115. glucore on October 24, 2025 3:53 pm

      **glucore**

      glucore is a nutritional supplement that is given to patients daily to assist in maintaining healthy blood sugar and metabolic rates.

      Reply
    116. Ellis2282 on October 24, 2025 4:04 pm

      https://shorturl.fm/CxJNa

      Reply
    117. wildgut on October 24, 2025 4:32 pm

      **wildgut**

      wildgutis a precision-crafted nutritional blend designed to nurture your dog’s digestive tract.

      Reply
    118. pineal xt on October 25, 2025 11:37 am

      **pineal xt**

      pinealxt is a revolutionary supplement that promotes proper pineal gland function and energy levels to support healthy body function.

      Reply
    119. energeia on October 25, 2025 12:52 pm

      **energeia**

      energeia is the first and only recipe that targets the root cause of stubborn belly fat and Deadly visceral fat.

      Reply
    120. boostaro on October 25, 2025 12:55 pm

      **boostaro**

      boostaro is a specially crafted dietary supplement for men who want to elevate their overall health and vitality.

      Reply
    121. prostabliss on October 25, 2025 2:20 pm

      **prostabliss**

      prostabliss is a carefully developed dietary formula aimed at nurturing prostate vitality and improving urinary comfort.

      Reply
    122. Cooper4375 on October 25, 2025 3:45 pm

      https://shorturl.fm/YbBfL

      Reply
    123. potentstream on October 25, 2025 11:32 pm

      **potentstream**

      potentstream is engineered to promote prostate well-being by counteracting the residue that can build up from hard-water minerals within the urinary tract.

      Reply
    124. hepato burn on October 26, 2025 8:12 am

      **hepato burn**

      hepato burn is a premium nutritional formula designed to enhance liver function, boost metabolism, and support natural fat breakdown.

      Reply
    125. breathe on October 26, 2025 11:06 am

      **breathe**

      breathe is a plant-powered tincture crafted to promote lung performance and enhance your breathing quality.

      Reply
    126. Nia4940 on October 26, 2025 12:09 pm

      https://shorturl.fm/5EeRO

      Reply
    127. hepato burn on October 26, 2025 2:55 pm

      **hepato burn**

      hepato burn is a potent, plant-based formula created to promote optimal liver performance and naturally stimulate fat-burning mechanisms.

      Reply
    128. Hermione1551 on October 26, 2025 4:25 pm

      https://shorturl.fm/NFQE2

      Reply
    129. Adam2034 on October 26, 2025 8:04 pm

      https://shorturl.fm/ODAyi

      Reply
    130. cellufend on October 26, 2025 8:31 pm

      **cellufend**

      cellufend is a natural supplement developed to support balanced blood sugar levels through a blend of botanical extracts and essential nutrients.

      Reply
    131. prodentim on October 26, 2025 9:22 pm

      **prodentim**

      prodentim is a forward-thinking oral wellness blend crafted to nurture and maintain a balanced mouth microbiome.

      Reply
    132. Amelia2564 on October 26, 2025 11:17 pm

      https://shorturl.fm/iHsrj

      Reply
    133. neurogenica on October 26, 2025 11:49 pm

      **neurogenica**

      neurogenica is a dietary supplement formulated to support nerve health and ease discomfort associated with neuropathy.

      Reply
    134. revitag on October 26, 2025 11:57 pm

      **revitag**

      revitag is a daily skin-support formula created to promote a healthy complexion and visibly diminish the appearance of skin tags.

      Reply
    135. flowforce max on October 27, 2025 12:08 am

      **flowforce max**

      flowforce max delivers a forward-thinking, plant-focused way to support prostate health—while also helping maintain everyday energy, libido, and overall vitality.

      Reply
    136. Daniella316 on October 27, 2025 7:37 am

      https://shorturl.fm/hqUCY

      Reply
    137. sleep lean on October 27, 2025 9:47 pm

      **sleep lean**

      sleeplean is a US-trusted, naturally focused nighttime support formula that helps your body burn fat while you rest.

      Reply
    138. Hank656 on October 28, 2025 12:49 pm

      https://shorturl.fm/4pUXn

      Reply
    139. Cleo148 on October 28, 2025 11:04 pm

      https://shorturl.fm/ppR0s

      Reply
    140. memorylift on October 29, 2025 3:16 am

      **memorylift**

      memorylift is an innovative dietary formula designed to naturally nurture brain wellness and sharpen cognitive performance.

      Reply
    141. Brandi319 on October 29, 2025 7:03 am

      https://shorturl.fm/chmHo

      Reply
    142. Lora2093 on October 29, 2025 6:44 pm

      https://shorturl.fm/IfzZR

      Reply
    143. Mike2287 on October 30, 2025 4:19 am

      https://shorturl.fm/FfdVh

      Reply
    144. Tomas3375 on October 30, 2025 5:57 am

      https://shorturl.fm/Zhph1

      Reply
    145. Jorge512 on October 30, 2025 10:20 am

      https://shorturl.fm/pl0tL

      Reply
    146. 免费资源下载 on October 30, 2025 3:59 pm

      真免费!价值万元资源,不要一分钱,网址:https://www.53278.xyz/

      Reply
    147. Gina2771 on October 31, 2025 12:08 am

      https://shorturl.fm/cctIg

      Reply
    148. Jeremy1936 on October 31, 2025 8:26 pm

      https://shorturl.fm/QuD8x

      Reply
    149. Emmett4346 on November 1, 2025 2:35 am

      https://shorturl.fm/ZXve3

      Reply
    150. Caitlin611 on November 1, 2025 3:05 am

      https://shorturl.fm/5WXxP

      Reply
    151. Claudia1930 on November 1, 2025 3:58 am

      https://shorturl.fm/JPLbr

      Reply
    152. Carson3222 on November 1, 2025 9:04 am

      https://shorturl.fm/3XmVb

      Reply
    153. Peter24 on November 2, 2025 5:24 am

      https://shorturl.fm/76eA4

      Reply
    154. Katherine3635 on November 2, 2025 11:24 am

      https://shorturl.fm/MbkNg

      Reply
    155. Willow1360 on November 2, 2025 6:52 pm

      https://shorturl.fm/ZMd7o

      Reply
    156. Hank4401 on November 2, 2025 7:27 pm

      https://shorturl.fm/ZMd7o

      Reply
    157. Randall4724 on November 3, 2025 12:47 am

      https://shorturl.fm/2Mvt8

      Reply
    158. Turkey sightseeing tours on November 3, 2025 8:30 am

      Turkey sightseeing tours Rebecca W. – İzlanda http://www.tecnoac.com/?p=56090

      Reply
    159. Turkey historical tours on November 3, 2025 11:28 am

      Turkey historical tours Wonderful Turkey tours! Professional organization from airport pickup to final goodbye. Flawless experience. https://evolvff.com/?p=3712

      Reply
    160. Lynne3733 on November 3, 2025 12:40 pm

      https://shorturl.fm/kmfje

      Reply
    161. Cody2053 on November 3, 2025 7:00 pm

      https://shorturl.fm/kzwSH

      Reply
    162. Derrick4203 on November 4, 2025 2:59 am

      https://shorturl.fm/cNHtp

      Reply
    163. Katie3261 on November 4, 2025 5:12 am

      https://shorturl.fm/oEYt3

      Reply
    164. Wilson716 on November 5, 2025 9:28 am

      https://shorturl.fm/m9D3C

      Reply
    165. Darwin3158 on November 5, 2025 2:04 pm

      https://shorturl.fm/uv9z9

      Reply
    166. Hazel4533 on November 5, 2025 2:41 pm

      https://shorturl.fm/uv9z9

      Reply
    167. Braxton3449 on November 6, 2025 10:57 pm

      https://shorturl.fm/SMgyt

      Reply
    168. Ariana3803 on November 7, 2025 12:41 am

      https://shorturl.fm/wBpUO

      Reply
    169. Nicole2691 on November 7, 2025 5:08 am

      https://shorturl.fm/bFmmt

      Reply
    170. Mira3905 on November 7, 2025 5:52 am

      https://shorturl.fm/gMcyd

      Reply
    171. Athena3239 on November 7, 2025 11:31 am

      https://shorturl.fm/whWw4

      Reply
    172. Samuel1165 on November 7, 2025 9:22 pm

      https://shorturl.fm/yyG2n

      Reply
    173. 益群网 on November 8, 2025 4:35 am

      益群网:终身分红,逆向推荐,不拉下线,也有钱赚!尖端资源,价值百万,一网打尽,瞬间拥有!多重收益,五五倍增,八级提成,后劲无穷!网址:1199.pw

      Reply
    174. Emilie3984 on November 8, 2025 7:08 am

      https://shorturl.fm/0nzPH

      Reply
    175. Maliyah4167 on November 14, 2025 6:01 am

      https://shorturl.fm/NspyJ

      Reply
    176. Roy1874 on November 14, 2025 9:05 am

      https://shorturl.fm/X1dHU

      Reply
    177. Aliyah899 on November 15, 2025 5:03 pm

      https://shorturl.fm/C3JkN

      Reply
    178. AllInAce on November 18, 2025 4:29 am

      https://t.me/s/Top_BestCasino/135

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Odds za Moto November 8, 2025

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    Kampuni ya michezo ya kubashiri LEONBET Tanzania imezidi kudhihirisha ubunifu wake katika kukuza michezo na…

    In the name of LOVE – 12

    In the name of LOVE – 11

    In the name of LOVE – 10

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.