Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Sio Kwa Ubaya, Mjadala Wa Chama Na Pacome Hauna Tija Kwetu
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Sio Kwa Ubaya, Mjadala Wa Chama Na Pacome Hauna Tija Kwetu

    MhaririBy MhaririFebruary 26, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Chama na Pacome
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kama Taifa tumeshajipanga kuwa na Chama au Pacome, lazima tuwe wajanja katika hili hatupaswi kuendelea kuwasifia wachezaji wa mataifa ya wenzetu wakati sisi timu yetu inakwama.

    Leo tunamshangilia Clatous Chama, Pacome Zouazoua anaimbwa sana lakini kupitia wao tuandae mpango mzuri wa kesho na sisi kuwa na wachezaji wa namna hii.

    Wanasema, siyo vibaya kuiga kitu kizuri hata kidogo tuwatazamapo hawa lazima tuwe na kawivu kidogo kwani hatutaki kuwa na wachezaji wa namna hii, ni nini kilifanyika pale Zambia wakampata Chama, Ivory Coast na Asec yao hua wanafanyaje wanakuwa na wachezaji wa aina hii, naamini hatujashindwa sisi.

    Tusikalie kila siku kuwashindanisha nani mbora zaidi ya mwingine na kusahau la msingi. Hawa soka lao lipo mbali wametuacha kilometers nyingi lakini tusikubali watuachie vumbi, tuibe nini wakifanyacho hawa ili tuwe na wakina Pacome wetu.

    Tunawasahau sana wachezaji wetu wa ndani ambao mara nyingi huwa ndio haohao tunawategemea kwenye timu yetu ya taifa yaani Taifa Stars, ni wazi kuwa tunawashindanisha na kuwakuza wachezaji wa timu za taifa zingine kabisa na kuwapa majina makubwa kulingana na kile ambacho wamekua wakikionesha ukweli ni kuwa wote wana vipaji vikubwa sana.

    Mjadala unaowahusiha wachezaji hawa una wafaidisha zaidi wao wenyewe na adala yake nadhani ni muhimu kuwapambanisha wachezaji wetu wa ndani ili kuhakikisha kuwa wanajituma zaidi na kuipambania nchi yetu na kuvipambania vipaji vyao.

    SOMA ZAIDI: Barua Nzito Ya Shabiki Wa Simba Kwenda Kwa Yanga

    chama simba pacome yanga
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.