Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Kama Una Tabia Hizi Hupaswi Kuitwa Shabiki Wa Yanga
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Kama Una Tabia Hizi Hupaswi Kuitwa Shabiki Wa Yanga

    MhaririBy MhaririFebruary 20, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Mashabiki wa Yanga
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Wakati wengi wakiwa na mawazo na maswali mengi kuhusu mchezo kati ya Yanga dhidi ya CR Belouizdad ambao utaamua hatma kubwa sana kwa klabu ya Wananchi kutinga hatua ya robo fainali.

    Hii ni kama ile kwenye maandiko ya kitabu cha Biblia pale Yohana na wenzake walipokuwa wameshajikatia tamaa kuhusu kazi yao ya uvuvi na kujipatia Samaki. Hakuna kitu kibaya kama tumaini likiondoka maisha mwako. Yesu anamwambia Yohana beba NYAVU zako kazishushe mpaka KILINDINI yaani katikati mwa bahari kwani wao walishazoea kuvua Samaki mwanzo mwanzo mwa bahari.

    Ukirejea mchezo wa Ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya CR Belouizdad wapo baadhi ya mashabiki mioyo yao ni kama Yohana ambaye alishajikatia tamaa, lakini alichokisema Ali Kamwe kuhusu nguvu ya mashabiki katika uwanja wa Mkapa ni ukweli MTUPU. Yawapasa mashabiki kuujaza uwanja kwa wingi kisha kuishangilia timu muda wote wa mchezo kwani hii hii itawapa nguvu kwa kiasi kikubwa wachezaji na kupata ushindi.

    Kwenye mpira hakuna neno haiwezekani, hutakiwi kuondoka na huo msemo utakuja kushangaa. Yesu alipomwambia Yohana maneno yale alijua kuwa roho ya Kibinadamu inapambana na mwili ile ya haiwezekani, adui namba moja kwenye maisha ni hiyo roho lakini Bwana alitaka kuonekana mbele yao kisha wakashusha NYAVU zao na kilitokea ni Samaki ambao hawakuwa na idadi ndivyo ilivyo sasa kwa Yanga wakati huu.

    Siku ya Jumamosi ni historia kwa wachezaji, viongozi, mashabiki na kila mpenda michezo kwa YANGA SC kwenda kuifunga timu ya CR Belouizdad kisha kusubiri matokeo ya mwisho ambapo itatafutwa sare tu. Hii kwangu naiona inawezekana na timu kwenda zake robo fainali. Uwanja wa Benjamin Mkapa ni sehemu ya wageni kuangua vilio siyo sehemu yao ya kucheka pale.

    SOMA ZAIDI : Mwacheni Aucho Acheze Mpira Mnachokionesha Ni Chuki

    pacome yanga taarifa za yanga yanga kimataifa

    1 Comment

    1. Pingback: Kwa Hili Ayoub Kaitia Matatani Simba Kimataifa? - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.