Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Yanga SC Yatua Algeria kibabe, Hali ni shwari
    Africa | CAF

    Yanga SC Yatua Algeria kibabe, Hali ni shwari

    David MohamedBy David MohamedJune 2, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Msafara wa wachezaji, viongozi wa serikali na wa klabu ya Young Africans SC (Yanga SC) pamoja na baadhi ya mashabiki umewasili salama nchini Algeria tayari kwa mchezo wa hatua ya pili ya fainali baina ya klabu ya Yanga sc na Usm Algers ya nchini humo utakaofanyika siku ya juni 3 saa nne usiku.

    Mchezo wa pili wa fainali utakua na kombe uwanjani na mshindi wa jumla atavalishwa medali ya ubingwa ambapo katika mchezo wa awali hapa jijini Dar es salaam Yanga sc ilikubali kipigo cha mabao 2-1.

    Ndege ya shirika la Air Tanzania iliyobeba Young Africans SC

    Yanga sc katika msafari wameongozwa na Waziri wa Utamaduni,sanaa na michezo Mh.Balozi Dkt Pindi Chana aliyeambatana na wakuu wa Taasisi zilizochini ya wizara hiyo pamoja na Naibu Katibu mkuu Mh.Hamis Mwinjuma sambamba na mashabiki kadhaa waliochaguliwa kwenda kuwakilisha na kuongeza hamasa katika mchezo huo.

    Msafara huo uliondoka majira ya mchana Juni mosi kwa ndege maalumu ya Boeng iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuongeza hamasa kwa klabu ya Young Africans SC katika ushiriki wake mzuri katika michuano hiyo ambapo baada ya kuwasili msafara huo ulipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini humo sambamba na baadhi ya watanzania wanaosoma nchini humo.

    Kwa taarifa zetu zaidi tufatilie hapa.

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.