Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Mashabiki 3,000 wataka kuondoka na Yanga Algeria
    Africa | CAF

    Mashabiki 3,000 wataka kuondoka na Yanga Algeria

    David MohamedBy David MohamedMay 31, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ndege aina ya Boeing 787-8 Dreamliner yenye uwezo wa kubeba abiria 260 ndiyo itakayowabeba wachezaji wa Yanga na mashabiki kwenda Algiers nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wao wa fainali dhidi ya USM Alger.

    Yanga wanaondoka kesho Juni Mosi, 2023 kwenye mchezo kwa ajili ya mchezo wao wa marudiano na USM Alger utakaochezwa Juni 3, 2023. Mchezo wa kwanza Yanga ilifungwa magoli 2-1 katika Uwanja wa Mkapa, Dar.

    Yanga kwenye mchezo huo wa fainali hiyo ya kombe la shirikisho la CAF itaongozwa na Waziri wa Utamaduni na Michezo, Balozi Dk Pindi Chana.

    Akimzungumza na waandishi wa habari leo Jumatano ya Mei 31, 2023, Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake ya kuipa ndege Yanga kwa ajili ya kwenda kuipeperusha bendera ya Taifa kwenye mchezo wa fainali dhidi ya USM Alger.

    Mashabiki zaidi ya maelfu waliofika kuishangilia Yanga SC

    Msigwa amesema zaidi ya mashabiki 3,000 wamejitokeza kwa kupeleka majina yao kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni na Michezo.

    “Katibu Mkuu amekuwa na kazi kwa siku mbili kwa kuwa ndege inabeba zaidi ya watu 260, huku timu ya Yanga na maofisa wake wakiwa 90,” amesema Msigwa

    Amesema ndege hiyo itakuwa na Yanga huko na itarejea nchini Juni 4, 2023.

    “Kwanza kabla ya kutua Algeria itazunguka pale kama mara tatu hivi na huo ni ushindi wa kurudi na kombe” amesema Msigwa

    Amesema mashabiki watakaokwenda hawatalipia gharama za usafiri kwa ndege imetolewa na Rais Samia, ni bure.

    “Ndege ni bure watakao kwenda watatakiwa kulipia huko gharama za malazi na kula. Tunataka wachezaji wa 12 nje ya uwanja, washangiliaji” amesema

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.