Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    In the name of LOVE – 05

    In the name of LOVE – 04

    In the name of LOVE – 03

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Washindi Wa Tuzo Za CAF Mwaka 2023
    Africa | CAF

    Washindi Wa Tuzo Za CAF Mwaka 2023

    MhaririBy MhaririDecember 11, 20231 Comment1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    CAF AWARDS 2023
    Hafla ya ugawaji wa Tuzo nchini Morocco kwa mwaka 2023 kutoka CAF.
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika (CAF) limetangaza washindi wa vipengele mbalimbali vya Tuzo za msimu wa mwaka 2023 zikihusisha vilabu na timu za Taifa ambapo ikumbukwe kuwa walitangaza vipengele mbalimbali vinavyowaniwa katika Tuzo hizo.

    Wafuatao ni washindi katika vipengele mbalimbali vya Tuzo hizo:

     a) Klabu Bora Ya Mwaka

    Wanaume : AL AHLY Kutoka nchini Misri

    Wanawake : MAMELODI SUNDOWNS Kutoka nchini Afrika Kusini.

     b)Mchezaji Bora Ligi Ya Ndani

    Wanaume : Percy Tau Kutoka AL AHLY

    Wanawake: Fatima Tagnout Kutoka AS FAR RABAT

      c)Mchezaji Bora Chipukizi

    Wanaume : Lamine Camara Kutoka Senegal

    Wanawake : Nesryne El Chad Kutoka Morocco

     d)Timu Bora Ya Mwaka

    Wanaume : Morocco

    Wanawake: Nigeria

    e) Goli Bora La Mwaka tuzo imeenda kwa Mahmoud Kahraba

      f) Golikipa Bora Wa Mwaka 

    Wanaume : Yassine Bounou Kutoka Morocco

    Wanawake : Chiamaka Nnadozie Kutoka Nigeria

     g)Kocha Bora wa Mwaka

    Wanaume: Walid Regrarui Kutoka Morocco.

    Wanawake: Desiree Ellis Kutoka Afrika Kusini.

    h) Mchezaji Bora Wa Mwaka

    Wanaume: Victor Osimhen Kutoka Nigeria na Napoli

    Wanawake: Asisat Oshoala Kutoka Nigeria Na Barcelona

    Kwa taarifa mbalimbali za michezo na makala endelea kuzisoma kwa kugusa hapa.

     

    caf awards 2023

    1 Comment

    1. Pingback: VICTOR OSIMHEN Mchezaji Bora Afrika. - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi September 15, 2025

    In the name of LOVE – 05

    Ilipoishia sehemu ya tatu ya In the name of LOVE “Basi hakuna shida Zaylisa, mnaweza…

    In the name of LOVE – 04

    In the name of LOVE – 03

    In the name of LOVE – 02

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.