Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Fununu za Kuondoka Manchester United ni “Upuuzi” – Marcus Rashford
    Biriani la Ulaya

    Fununu za Kuondoka Manchester United ni “Upuuzi” – Marcus Rashford

    Brenda UlomiBy Brenda UlomiMarch 30, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Marcus Rashford ameelezea uvumi kuhusu hatma yake katika klabu ya Manchester United kuwa ni upuuzi.

    Mshambulizi huyo wa Uingereza alikuwa akijibu hasa madai kwamba anadai kandarasi ya pauni 500,000 kwa wiki kutoka kwa klabu hiyo.

    Rashford, 25, amekuwa katika kiwango cha hali ya juu kwa Mashetani Wekundu msimu huu, akifunga mabao 27 katika mashindano yote hadi sasa.

    Hata hivyo, yuko katika mwaka wa mwisho wa mkataba wake huko Old Trafford, ikimaanisha kwamba anaweza kuondoka katika klabu yake ya utotoni kwa uhamisho wa bure ikiwa mkataba mpya hautakubaliwa.

    Ripoti ya hivi punde kuhusu mustakabali wake ilisema kwamba mshambuliaji huyo wa Uingereza anashikilia kandarasi mpya yenye thamani ya zaidi ya £500,000 kwa wiki.

    Lakini Rashford ametaja ripoti kama hizo kama ‘upuuzi’ na anadai amekuwa ‘akiheshimu’ United wakati wa mazungumzo.

    “Kabla tu huyu hajaanza kufanya raundi! Ni upuuzi mtupu,” alitweet.

    “Klabu na mimi tumekuwa tukiheshimiana, na hivyo ndivyo itabaki.”

    Rashford alisema analenga kumaliza msimu kwa kiwango kizuri akiwa na Manchester United.

    Mshambulizi huyo tayari ameisaidia Manchester United kushinda Kombe la Carabao msimu huu.

    man united rasgford upuuzi
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.