Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Uchambuzi Wa Ambangile Sare Ya Medeama Dhidi Ya Yanga
    Africa | CAF

    Uchambuzi Wa Ambangile Sare Ya Medeama Dhidi Ya Yanga

    MhaririBy MhaririDecember 8, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Nickson Kibabage Yanga
    Mchezaji wa Yanga Nickson Kibabage akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Medeama
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Medeama walikuwa na 4-3-3 lakini walikuwa wakienda kushambulia wanakuwa 4-2-3-1 kiungo mmoja anakuwa nyuma ya straika Jonathan Sowah ambaye kulia na kushoto ana mawinga wawili … nini ambacho walikuwa wame target Medeama ?

    1: Walijua ndani Yanga wapo wengi ambao bila mpira Yanga walikuwa 5-3-2 ( Maxi Pacome na Aucho kwenye kiungo ) kwahiyo wao wakaamua kutumia space pembeni ya uwanja ipi hiyo ?

    2: Wingbacks wa Yanga walikuwa wanawafuata zaidi fullbacks wa Medeama maana yake wanaacha space pembeni ya Outside CBs wa Yanga ambao Job na Bacca na ndio maana wingers wa Medema walikuwa wanapata 1v1 dhidi ya Job na Bacca … ambayo faida yake ?

    3: Hapo Medeama wanakuwa wanafanya kwamba Bakari anabaki ndani peke yake dhidi ya Jonathan Sowah ambaye alionekana hatari sana

    ✍🏻Yanga kwenye muundo wa 5-3-2 bila mpira na 3-1-2- 4 wakiwa na mali

    1: Wakiwa na mpira , wingbacks wanasogea juu zaidi kuwa katika mstari mmoja na Musonda + Mzize huku nyuma yao ni Pacome na Maxi wakati Aucho anabaki kwenye namba 6 kutengeneza muundo wa ulinzi na wale watatu wa nyuma kwa ajili ya kukabiliana na counter attacks

    2: Nafikiri tatizo kubwa la Yanga haikuwa mfumo bali ilikuwa : Ufinyu wa level ya kiufundi ( Technical ability ) pamoja na Maamuzi sahihi ( decision making ) kivipi ?

    3: Kiufundi : yani kasi ya utekelezaji jambo linaloendana na kusudio : mara kadhaa wachezaji wa Yanga wakifika mbele mpira haukai mguuni , pasi haifiki , dribbling inaondoka mguuni zaidi na kupoteza mpira :

    4: Maamuzi ambayo sio sahihi : aina ya pasi , wapi pa kupiga , ukimbie eneo gani , hayakuwa sahihi kwa nyakati sahihi .

    ✍🏻Kitu ambacho Gamondi atafurahia sana ni wachezaji wake kutojificha , kucheza bila hofu , kujituma uwanjani , na kuonesha dhamira ya kushinda mechi badala ya kucheza kwa ajili ya sare

    VYA KUZINGATIA:

    1: Jonathan Sowah yule mtu aisee 🔥

    2: Amoako fullback inamwaga maji 🔥

    3: Kibabage ana overlap vizuri lakini mpira wa mwisho bado

    4: Bacca muda wote yupo tayari kupambana 🔥

    5: Aucho akiwa na mali anarahisisha pasi zake🔥

    6: Pacome He is so good aisee 🔥

    7: Mechi ya kasi , end to end football
    Unaweza kusoma zaidi hapa

    medeama yanga le
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.