Browsing: soma riwaya bure

Ilipoishia sehemu ya tatu ya In the name of LOVE Basi, niliendesha gari kwa mwendo wa kawaida sana maana mvua ilikua  ikinyesha tena haikua mvua ndogo…

Ilipoishia sehemu ya pili ya In the name of LOVE “Sikumbuki chochote Clara, natamani nikumbuke ili nijuwe tunapoelekea”  “Hofu ondoa, Kila kitu kinahitaji muda kukifahamu. Jipe…

Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 06  Walipofika shangwe liliibuka kwa Wananchi waliamini kua kumwaga Damu  kutawasaidia Mji wao kuendelea kua na nguvu zaidi. Miongoni mwa Walioletwa …

Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 05 Lakini walijua wazi… safari ya kuelekea Patiosa haikuwa tena ya kutafuta msaada.  Ilikuwa safari ya maisha au kifo. Kutupwa kwa…

Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 03 “Kumwambia Ukweli Zahoro kua Adui Kimya ni wewe, kilicho mbele ni kumpata  Binti yetu Moana Kisha kutafuta njia ya kuelekea…

Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 02 Walibana pumzi zao vizuri, walianza kuisikia sauti ya Mwanamke. Sauti  iliyowauliza  “Mko wapi?” ilikua ni ile sauti ya ajabu ya…

Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 01  Hapakua na sauti yoyote iliyosikika, hapakua na Ndege wala wadudu waliopiga  kelele. Ghafla Zahoro alisimama, akatoa ishara kwa Anna kusimama…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii. Uliiona kabla haijaingia pia utaiona  ikiondoka, huwezi kunielewa kwasasa lakini nitakueleza…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya sita Ghafla, akajikuta ameshika kisu, mikono yake ikiwa imelowa damu. Aliangalia chini— Upendo alikuwa amelala mbele yake, kifua chake kikiwa…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya tano  Waziri akajitupa kitini huku akifumba macho yake, hakujua atamweleza vipi Rais wa  Ganza, utajiri uliopotea kwenye Kijiji cha Nzena…