Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Msala
Ilipoishia Niliitazama tena ile Pete huku chozi lilikaribia kunitoka, sikujua ni kwanini nilipaswa kuivaa ile Pete, ni Mikoba gani ambayo nilipaswa kukabidhiwa? Nilijiuliza yote huku nafsi…
Ilipoishia “Saida, si unaona? Yule siyo Kichaa na ukitaka kuamini jiulize kwanini alienda kituo Cha Polisi?” aliniuliza Veronica akiwa amenishika bega, mara alisimama yule Kichaa Kisha…
Ilipoishia “Benjamin yuko nje anatusubiria” kabla hata hajamaliza kusema alichokua amekikusudia, zikasikika buti mlangoni, kisha Sauti ya risasi ikasikika, damu ikamwagika ikapenya chini ya Mlango. Malkia…
Ilipoishia “Benjamin akamsogelea Malkia Zandawe na kumtuliza kwa kumshika bega, hata yule rubani wa Helkopta ya Kijeshi aliona wazi kua Binti huyo alikua akizungumza kwa hisia…
Ilipoishia “Muhonzi akafanikiwa kukata kamba alivyofungwa, giza lilikua nene ndani ya Chumba alichohifadhiwa, akajaribu kuchungulia dirishani kwa mtindo wa kuruka sababu dirisha lilikua juu sana lakini…
Ilipoishia “Sijapata kumwona Mwanadamu Mbishi na Mgumu kama huyu” aliutupa mkono wake uliojaa damu kwa hasira sana kisha akarudi kuketi kitini akitafakari ni namna gani afanye…
Ilipoishia “Mfukuzano ulikua mkali kwa hatua kadhaa, kisha ghafla yule Mwanaume alisimama, aligeuka kisha aliliweka lile Brifkesi chini, akatabasamu na kumwambia Elizabeth “Najua umekuja kwa ajili…
Ilipoishia “Upande wa pili, Muhonzi alikua akiteseka ndani ya Godauni, Zagamba alimshikilia ili aipate Nyaraka M21 kutoka kwa Elizabeth, Alikua ndani ya chumba kimoja chenye dirisha…
Ilipoishia “Huko mahala pa siri, nataka kupajua. Nataka kujua hatma ya Familia yako Benjamin” alisema Malkia Zandawe kisha alimsogelea ndege Gola, akazungumza naye kwa lugha za …
“Ilipoishia” Roho ya Elizabeth ilifukuta kwa maumivu Makali sana, hapo alipaswa kufanya kazi mbili, moja ni kumwokoa MUHONZI Kutoka mikononi mwa mwenyekiti wa chama cha Upinzani…




