Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Simba Yamvuta Chemba Bruno Gomes, Kuondoka Singida BS?
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Simba Yamvuta Chemba Bruno Gomes, Kuondoka Singida BS?

    David MohamedBy David MohamedJune 16, 20237 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Simba Wana Jambo lao..! Kiungo mshambuliaji wa Singida, raia wa Brazil Bruno Gomes ameitwa jijini  Dar es Salaam  kwa ajili ya kumalizana na mabosi hao wa Msimbazi kabla ya kutangazwa kuwa mmoja ya nyota wapya wa timu hiyo kwa msimu ujao ambao Wekundu wamepania kurejesha heshima.

    Tayari Bruno aliyefunga mabao 10 msimu huu kwenye ligi, yuko Dar es Salaam akiambatana na viongozi wa Singida na kama mambo yataenda kama ilivyopangwa atasaini mkataba wa miaka miwili.

    Mbrazili huyo pia ni pendekezo la Robertinho ambaye aliwaambia vigogo wa Simba anamtaka ili akasaidiane na Clatous Chama, Saidi Ntibazonkiza na Mzamiru Yassin eneo la kiungo.

    Moja ya vigogo wa Simba alithibitisha  nakusema “Onana na Gomes ni shabaha yetu na kuanzia kesho mnaweza kuona tarifa rasmi kuhusu wao,” alisema kigogo huyo na kufafanua;

    “Tayari huyo winga (Onana) tumemalizana naye na sasa tupo kwenye hatua za mwisho kumsainisha Bruno kwani tupo naye hapa Dar es Salaam, ikiwa ni mwanzo wa pazia la usajili kwa kikosi kijasho.”

    Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally alithibtisha timu yake msimu huu itachukua mchezaji inayemtaka kwenye timu yoyote.

    “Siwezi kuweka wazi tumemsajili nani na nani lakini unachotakiwa kujua ni kwamba kila mchezaji tunayemtaka tutampata bila shida yeyote. Simba ni timu kubwa,” alisema Ahmed.

    Kwa taarifa zaidi za michezo, tufuatilie hapa.

    bruno gomes fountain gate ligi kuu tanzania bara Simba simba sc singida big stars
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.