Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » SIMBA Yakabidhi Msaada Kwa Waathirika Wa Mafuriko HANANG
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    SIMBA Yakabidhi Msaada Kwa Waathirika Wa Mafuriko HANANG

    MhaririBy MhaririDecember 5, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Klabu ya Simba leo imekabidhi msaada kwa ajili ya wahanga wa mafuriko na maporomoko yalitokea katika Wilaya ya Hanang mkoani Manyara mwishoni mwa juma lililopita.

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ amemkabidhi msaada huo Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dr. Damas Ndumbaro ambaye ataepeleka kwa wahusika huko Hanang.

    “Kwa niaba ya Rais wa heshima Mohamed Dewji, Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti wapenzi na Wanachama wa Simba tunapenda kutoa pole nyingi kwa wahanga wa mafuriko na maporomoko huko Hanang.

    “Wengi wa wahanga hawa ni wapenzi wa soka na sisi kama klabu tunaungana nao kwenye kipindi hiki kigumu,” amesema Try Again.

    Akipokea msaada huo, Waziri Dk. Ndumbaro ameushukuru Uongozi wa klabu ya Simba kwa kuona umuhimu wa kuwachangia wenzetu wa Hanang huku akiwaomba wadau wengine kuguswa na kutoa kwa ajili ya wahanga.

    “Kwa niaba ya Serikali tunaushukuru Simba kwa mchango huu mkubwa kwa ajili ya ndugu zetu wa Hanang waliopata matatizo huko Hanang, watafarijika sana wakiona msaada huu kutoka kwetu,” amesema Dk. Ndumbaro.

    Msaada tuliotoa ni unga, mchele, mafuta ya kupikia, sabuni maji ya kunywa ambayo tumejaza gari mbili.

    Katika zoezi hilo la kukabidhi msaada huo limehidhuriwa na Mtendaji Mkuu wa Klabu, Imani Kajula pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa Utamaduni na Michezo, Neema Msitha.

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.