Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Sevilla vs Athletic Bilbao : Ubashiri Na Vidokezo Vya Mkeka
    Odds za Moto

    Sevilla vs Athletic Bilbao : Ubashiri Na Vidokezo Vya Mkeka

    MhaririBy MhaririJanuary 4, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Sevilla vs Athletic Bilbao
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Wakiwa katika uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan klabu ya Sevilla hii leo wana kibarua kigumu cha kukutana na Athletic Bilbao katika mchezo wa ligi kuu ya Hispani almaarufu kama La Liga.

    Sevilla wakiwa katika nafasi ya 16 na alama zao 16 katika msimamo wa La Liga wanapitia wakati mgumu zaidi katika ligi hiyo kwani katika mechi zao 5 za mwisho kabla ya kukutana na Bilbao hii leo wameshinda mchezo mmoja dhidi ya Granada kwa mabao 3:0 na kupoteza michezo 4 dhidi ya Atletico Madrid 1:0, Getafe 3:0, Lens 2:1 na Mallorca bao 1:0.

    Bilbao wao wako nafasi ya 5 katika msimamo wa ligi wakiwa wamejikusanyia alama 35 katika mechi 18 walizocheza  na katika mechi zao 5 za mwisho wameshinda mechi 4 dhidi ya Las Palmas 1:0, Atl Madrid 2:0, Cayon 3:0 , Rayo 4:0 na sare ya bao 1:1 dhidi ya Granada.

    Toka mwaka 2021 ni mechi ambayo imekua haina idadi kubwa ya magoli wanapokutana vigogo hawa kutoka La Liga licha ya matokeo mabovu waliyonayo Sevilla mpaka sasa katika ligi.

    VIDOKEZO VYA UBASHIRI

    Muendelezo mzuri wa matokeo kutoka kwa Bilbao ni wazi Sevilla anapoteza mchezo huu ( Atl Bilbao Win)

    Mechi haitakua na magoli zaidi ya manne yaani Under 3.5

    Kwa wale wanaopenda kubashiri kuhusu card ni kuwa hakutakua na card nyekundu ( Player to be sent off by redcard NO)

    Mechi hii Sevilla watashambuliwa sana tutegmee coner zaidi ya 4 kipindi cha kwanza ( First Half Over 3.5 Corners)

    Endelea kufuatilia zaidi kuhusu dondoo mbalimbali za mikeka na vidokezo vya ubashiri kwa kugusa hapa.

    1 Comment

    1. Pingback: Crystal Palace vs Everton : Ubashiri Na Vidokezo Vya Mkeka - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.