Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    MhaririBy MhaririAugust 9, 2024Updated:August 14, 202414 Comments2 Mins Read13K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    HATIMAYE Bodi ya Ligi wametangaza Ratiba ya Msimu wa Ligi Kuu 2024/25 ambayo itaanza kutimua vumbi kuanzia Agosti 16 kwa mchezo mmoja pekee, huku Simba wakifungua Ligi tarehe 18 dhidi ya Tabaora Utd.

    Simba SC watafungua msimu wao pale KMC Complex, ambapo inaelezwa kuwa wamechagua kutumia uwanja wa KMC Complex pale Mwenge kwa michezo yake ya nyumbani , lakini mechi kubwa zote zitapigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.

    Bingwa Mtetezi wa Ligi kuu ya NBC Yanga SC, wataanza kuusaka Ubingwa wa 4 mfululizo kule mkoani Kagera katika Dimba la Kaitaba, kisha watarejea Azam Complex ambapo watapatumia kama Uwanja wa nyumbani pia kwa msimu huu kwa sehemu kubwa ya mechi zao.

    Azam FC wao wataanzia kwa Mej.Jen. Isamhuyo vs JKT Tanzania.

    MECHI 10 ZA AWALI ZA SIMBA SC 2024/25

    Simba vs Tabora Utd

    Simba vs Fountain Gate

    Tz Prisons vs Simba

    Azam FC vs Simba

    Simba vs Namungo

    Dodoma Jiji vs Simba

    Simba vs Coastal Union

    Simba vs Yanga Okt 19

    Mashujaa FC vs Simba

    Simba vs JKT Tanzania.

    MECHI 10 ZA AWALI ZA YANGA SC 2024/25

    Kagera Sugar vs Yanga

    KenGold FC vs Yanga

    Yanga vs JKT Tanzania

    Yanga vs Mashujaa FC

    Singida BS vs Yanga

    Yanga vs KMC FC.

    Yanga vs Pamba Jiji

    Simba vs Yanga

    Yanga vs Tabora Utd

    Coastal Union vs Yanga

    Mechi kubwa inayotazamwa na wengi ni ya Simba na Yanga ambayo itapigwa Oktoba 19, ikiwa ni mechi ya 8 tangu kuanza kwa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC.


    SOMA ZAIDI: Huu Ni Mtazamo Wangu Kuhusu Soka Letu

    ligi kuu nbc ligi kuu ya tanzania bara NBCPL 2024/2025

    14 Comments

    1. Elia dre on August 9, 2024 2:43 pm

      Simba wakifungwa mech mbil za mwanzo napumzika kuwa shabiki mwaka wote🙌

      Reply
      • De_franxy on August 10, 2024 5:29 pm

        Hahaha 😂 anza sas mtani pumzika kuanzia sas hv

        Reply
    2. OWDEN JONAS on August 9, 2024 2:51 pm

      Kama itaonekana basi simba inafungwa Tena kwa kikosi Cha simba basi mm na mpira ndio basiii siwezi kwenda yanga ila Bora niache kushabikia tu💯

      Reply
    3. Elly on August 9, 2024 3:01 pm

      Simba chama langu

      Reply
    4. Luhinda Luhinda on August 9, 2024 4:00 pm

      Simba vs Azam
      Simba vs Namungo Game nzur zakutazma

      Reply
    5. Shephani ashel on August 9, 2024 4:34 pm

      Mshabiki yeyote ambaye hana maslahi natimu, haichangii timu walk hajulikani kwa kiongoz yeyote wa timu kuanzia ngazi ya juu mpaka matawi. Ukihama nisawa na mzazi aliemzaa mtoto kisha mtoto huyo akawa kichaa na akasema huyu sio mwanangu kwasababu ni kichaa.

      Reply
    6. Musruabdallahsibalabala on August 9, 2024 4:40 pm

      Yanga bingwa

      Reply
    7. Maker on August 10, 2024 10:10 am

      Naiman na simba ya msimu huu

      Reply
    8. Marco sabatho on August 10, 2024 4:44 pm

      Wana Simba SC waendelee kupiga mazoezi ya kutafta muunganiko wa timu maana hata uwanja wa nyumbani tulochagua unaonekana wa ugenini ni bora azam complex stadium..so wachezaji wajitume maradufu ubingwa ni wetu mwaka huu ni wa kufoc.

      Reply
    9. Marco sabatho on August 10, 2024 4:47 pm

      Simba SC nguvu moja ubingwa nauona ni kuchanga karata za ligi vzr tu

      Reply
    10. De_franxy on August 10, 2024 5:29 pm

      Hahaha 😂 anza sas mtani pumzika kuanzia sas hv

      Reply
    11. Ummukulthum Ramadhan on September 30, 2024 8:32 am

      Simba ni chama langu ata iwe vipii

      Reply
    12. Masotojo on October 30, 2024 11:36 pm

      https://whatsapp.com/channel/0029VanxLVYJ93wbHawAAh3H

      Reply
    13. Ramek kagera on June 8, 2025 8:14 pm

      Yani nawambien mwana simba mwakahuu hata kombe la kuku hampati

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 23, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii.…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-06

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.