Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ratiba Kamili Ya Robo Fainali Ligi Ya Mabingwa Afrika
    Africa | CAF

    Ratiba Kamili Ya Robo Fainali Ligi Ya Mabingwa Afrika

    MhaririBy MhaririMarch 12, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Ratiba Kamili Ya Robo Fainali Ligi Ya Mabingwa Afrika
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Hayawi hayawi mwisho yamekua baada ya timu mbili za Tanzania kufika Robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa pamoja, Leo tarehe 12 March 2024 imepangwa droo ya hatua ya robo fainali na mabingwa wa Tanzania Yanga wamepewa wababe toka pande za kusini mwa Afrika Mamelodi Sundown… Huku wekundu wa Msimbazi wakipewa Bingwa mtetezi Al ahly…. Je timu zetu hizi za Tanzania zina nafasi ya kusonga mbele kwenda Nusu fainali?

    Kwa mtazamo wangu Game ya Simba na Al ahly Kwa Mkapa Simba ana matumaini ya kushinda au kutoa Sare maana amekua akimbana mbavu Sana Al ahly lakini kashehe itakua kule Cairo.

    Wengi tumekua tukijidanganya kuwa Al Ahly wako unga na hawana kiwango bora msimu huu lakini wamesahau ndio bingwa mtetezi na ametoka kushiriki michuano mikubwa ya kombe la dunia la FIFA kwa ngazi ya klabu kwahiyo sio timu ya kawaida kama tunavyojidanganya.

    Karata yangu naiweka Kati 50/50 na Simba atakua na nafasi ya kufuzu endapo atashinda Kwa mkapa walau Bao mbili bila.

    Kwa upande wa game ya Yanga na Mamelodi bado nafasi ipo Mamelodi Sundowns kutokana na ubora wao moja kwa moja japo na yeye kwenye upande wa mabeki sio mzuri Sana na hapa Yanga pia anatakiwa apambane zaidi game ya nyumbani walau ashinde Kwa Bao mbili bila…. Inawezekana kabisa karata yangu pia naiweka 50/50.

    RATIBA KAMILI:

    Simba Sports Club vs Al Ahly

    TP Mazembe Vs Petróleos de Luanda

    Espérance Tunis Vs ASEC Mimosas

    Young Africans Vs Mamelodi Sundowns

    MECHI ZA SIMBA NA YANGA:

    Wawakilishi wa Tanzania Simba na Yanga kila mmoja ataanzia nyumbani kutokana na kumaliza nafasi ya pili katika kundi lao na michezo ya mkondo wa kwanza itachezwa tarehe 29 na 30 March 2024 huku marudiano yakiwa ni April 5 na April 6, 2024.

    SOMA ZAIDI: Droo Ya Robo Fainali Ligi Ya Mabingwa Afrika Itavyofanyika

     

    Mamelodi Sundowns simba sc yanga sc
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.