Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Pale Simba Shida Sio Mangungu Ni Wachezaji Hawa
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Pale Simba Shida Sio Mangungu Ni Wachezaji Hawa

    Oscar EvodiusBy Oscar EvodiusApril 24, 2024Updated:April 24, 202416 Comments2 Mins Read6K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Mwenyekiti wa mashabiki wa Simba anayehusika n wachezaji pia
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    August 3 Mwaka 2018 Young Africans iliachana na jumla ya wachezaji 14 kisha wakabaki na majina ya wachezaji wasiozidi 17 ndani ya kikosi chao ambao, katika orodha ile ya wachezaji walioachwa kulikuwa na majina kama David Molinga, Mrisho Ngasa, Jaffary Mohamed, Tariq Seif, Andrew Vicent, Papy Kabamba Tshishimbi na Mohamed Issa ambao mikataba yao ilimalizika na hawakuongezewa

    Kipindi hiko Young Africans ilisitisha mikataba yao ni Raphel Daud, Yikpe Gislain, Ali Ali, Patrick Sibomana, Muharami Issa, Ally Mtoni Sonso(Marehemu) na Eric Kabamba! Hapo katika idadi ile ya wachezaji 17 waliobaki ni wanne tu ndio walikuwa Raia wa Kigeni ambao ni Haruma Niyonzima, Farouk Shikalo, Lamine Moro na Bernard Morrison

    Baada ya hapo Timu ilicheza misimu mitatu(2018/19, 2019/20 na 2020/21) bila Ubingwa wa Ligi Kuu, walikubali kufanya mabadiliko na hata hiyo Miaka mitatu bila Ubingwa bado waliishi kwenye nafasi mbaya na walifanya mabadiliko ya wachezaji wengi sana ndani ya kikosi

    Walicheza ‘Four Seasons’ bila Ubingwa wa Ligi Kuu na waliamua kufanya kitu cha tofauti baada ya kufeli! Kwanza kurudisha mashabiki karibu na Timu yao, kufanya uchaguzi wa Viongozi ambao wana maono ya kupeleka chapa ya klabu yao mbali zaidi na kufanya Usajili wa wachezaji Bora tofauti na walioondoka! Timu ikarudi kwenye mstari mpaka sasa inafanya vizuri

    Simply! Mantiki yangu ni kwamba kwa sasa SIMBA SC wanatakiwa kufanya maamuzi ya haraka hasa ndani ya uwanja, Timu inahitaji kubadili eneo kubwa sana la wachezaji waliopo ambao tayari wameipa Timu nyakati zao bora! Simba inahitaji ‘Quality Players’ wengi ambao wataiaogeza chapa ya MNYAMAA zaidi ya hapo ilipo

    Kwakuwa eneo kubwa la wachezaji inaonekana linatakiwa kupungua pale basi wakati ndio huu! Wachezaji wengi ambao wameingia ndani ya Klabu wamefeli kati ya 100%, naona wamefeli 70% na wamefaulu 30% wamefaulu

    Simba SC iwapo watafeli tena kwenye eneo la Usajili basi hizi nyakati zitaendelea kuishi kwao, Abdelhack Benchikha anahitaji sura mpya ili kurudisha ubora wa Timu na kusukuma ‘Vision & Mission’ ya Klabu hasa kwenye CAF Tournaments! That is Truth about LUNYASI

    SOMA ZAIDI: Waraka Mzito Wa Hamisi Kigwangalla Kuhusu “Kuinunua Simba”

    ligi kuu MUUNGANO CUP Simba
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.