Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Romelu Lukaku amesafiri kwenda Saudi Arabia kujadili uhamisho wake kwenda Al Hilal huku hatma yake Chelsea ikiwa mashakani. Kwa mujibu wa Get Football News France, Romelu…
Manchester City wamemaliza msimu wa kusisimua kwa kuishinda Inter Milan 1-0 na kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa kwa mara ya kwanza na kukamilisha treble siku…
Mbeya City imeanza vyema kampeni ya kujitetea kubaki ligi kuu baada ya kuikanda KMC mabao 2-1kwenye mchezo wa hatua ya kwanza ‘play off ‘ kwa timu…
Sasa baada ya kumalizika kwa msimu huu wa Ligi Kuu Ubelgiji, kocha wa KRC Genk, Wouter Vrancken ameripotiwa kushikilia hatma ya nahodha wa Taifa Stars, Mbwana…
Ligi Kuu ya Premier League itatangaza ratiba ya msimu wa 2023/24 Alhamisi hii, huku mabingwa Manchester City wakijua dhidi ya nani wataanza kutetea ubingwa wao. Baada…
Katika hatua nyingine, wakati uongozi wa Simba SC ukikuna kichwa kwa Banda na Sawadogo, habari kutokana ndani ya kikosi hicho kinasema kuwa, Simba ipo kwenye mipango…
Mabosi wa klabu ya Azam FC hawalali kwa mipango ya kusuka jeshi jipya la msimu ujao na sasa inakaribia kumleta beki wa kushoto wa timu ya Taifa ya…
Mwanasoka wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard, inasemekana kuwa atateuliwa kuwa meneja mpya wa klabu ya Saudi Arabia, Al Ettifaq. Steven Gerrard ameupokea “kwa furaha” uongozi…
Arsenal wapo karibu kukubaliana na West Ham kuhusu ada ya Declan Rice na inatarajiwa watatoa zaidi ya pauni milioni 100 kwa kiungo huyo ikiwa malipo ya…
Kylian Mbappe atoa taarifa rasmi ya kutokuongeza mkataba mpya majira ya joto. Alijiunga na Paris Saint-Germain kutoka Monaco kwa mkopo mwaka 2017, kabla ya kuhamia kwa…