Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Nini Maana Ya Halftime/Fulltime Katika Betting?
    Chuo cha Kubeti

    Nini Maana Ya Halftime/Fulltime Katika Betting?

    MhaririBy MhaririFebruary 1, 20242 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Halftime
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kuna masoko mengi zaidi ambayo watu wengi huyaacha lakini mara nyingi huwa watu wengi wanafaidika nayo katika ubashiri kwa kuweka dau na kushinda. Na hii leo tulitazame soko hili la Kipindi cha kwanza (Halftime) au Mechi kamili(Fulltime).

    Kupitia soko hili una uwanda mpana na mkubwa zaidi wa kuchagua masoko mbalimbali ndani yake na kushinda ambapo unaweza kuchagua

    • Magoli

    Hapa unaweza kubashiri magoli ya kipindi cha kwanza au magoli ya mechi nzima na hapo ukumbuke kuwa katika soko hili unaweza pia kuchagua magoli hayo yawe ya juu (Over) au magoli ya chini (Under) Mfano: Halfime Goals Over 1.5 au Halftime Under 1.5

    • Kadi

    Kama ilivyo katika magoli basi pia katika kadi unaweza kushinda chap sana kwani maamuzi yanakua ni yako uchague kadi zipatikane kipindi cha kwanza pekee au zipatikane za jumla za mechi kamili. Mfano: Total Bookings 1st Half Over/Under 2.5.

    • Kona

    Wapo ambao pia hubashiri kupatikana kwa kona katika option hii ya Halftime/Fulltime kwa kuchagua kuweka dau katika upande wa kona ambapo ni za kama tulivyodili katika masoko mengine tuliyoyaona kama kadi na magoli.

    • Player Special

    Ukiachilia mbali option hizo lakini pia kuna njia kubwa tu ya kubashiri katika Player special ambapo utaamua kumpa mchezaji pekee nini afanye katika mechi husika kwa kipindi cha kwanza au kipindi cha pili katika mechi husika.

    • Mashuti

    Wapo ambao huamua kubetia kupigwa kwa mashuti katika mechi husika ambapo ni mashuti yapatikane kipindi cha kwanza pekee au katika mechi husika kwa timu husika au pale ambapo utaamua kumchagua mchezaji mmoja pekee.

    SOMA ZAIDI: Jinsi Ya Kubashiri Kadi Katika Mechi (Betting In Bookings)

    mkeka wa leo

    2 Comments

    1. Jackson Dunia on April 24, 2024 12:39 am

      Maana yake ni kwamba unabashiri matokeo ya kipindi cha kwanza na baada ya mechi kutamatika mfano HT/FT[1] Hapa inamaana timu ya nyumbani iongoze kipindi cha kwanza na mechi imalizike timu ya nyumbani kwa ushindi

      Reply
    2. Selemani abdi on April 24, 2024 1:43 am

      Naomba jiungena mbeti

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.