Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Nigeria vs South Africa Tunabeti Hivi Kwenye Mkeka
    Chuo cha Kubeti

    Nigeria vs South Africa Tunabeti Hivi Kwenye Mkeka

    MhaririBy MhaririFebruary 7, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Nigeria
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Hatua ya nusu fainali ya kombe la mataifa barani Afrika inaanza hii leo ambapo mchezo wa kwanza utawakutanisha Nigeria dhidi ya Afrika Kusini katika mchezo utakaochezwa katika dimba la De La Paix.

    Nigeria wanaingia katika hatua hii wakiwa hawajafungwa mchezo wowowte na wakitafuta kupata nafasi ya kuwa mabingwa mara 4 kwani wameshachukua mara 3 huku South Africa wao wakitafuta ubingwa wao wa 2 wa michuano ya mataifa barani Afrika.

    TAKWIMU:

    Nigeria wanaingia katika mchezo huu wakiwa hawajaruhusu bao lolote katika michezo yao 4 ya mwisho kucheza huku viungo na mabeki wao wakifanya kazi nzuri zaidikatika michuano hii huku wakikabiliana na Bafana Bafana ambao wana kikosi kipana chenye wachezaji wanaofahamiana sana.

    Licha ya kutopewa matumaini makubwa ya kufika hatua ya nusu fainali lakini South Africa wameweza kuonesha kuwa nao wana uwezo wa kuchukua ubingwa wa mataifa ya soka barani Afrika.

    • Katika mechi 5 za mwisho dhidi ya South Africa kikosi cha Nigeria kimeshinda mchezo mmoja , sare 3 na kupoteza mara moja nah uku wakiwafunga South Africa katika michezo yao 3 ya mwisho ambayo wamekutana katika michuano ya AFCON.
    • Nigeria wamefunga mabao 8 na kuruhusu bao 1 pekee dhidi ya South Africa katika faianli hizi za mataifa ya barani Afrika.
    • South Africa wameshinda mabao 6 na kuruhusu mabao 2 pekee katika michuano yam waka huu
    • Katika michezo yao 5 ya mwisho Nigeria ameshinda michezo 4 na kusare mchezo mmoja huku South Africa akishinda michezo 3 na kupata sare mchezo mmoja na kupoteza mmoja.

     

    TUNABETIJE?

    1. Kipindi cha kwanza kitakua na magoli chini ya 3 (1st Half Under 2.5 Total Goals)
    2. Kutakua na kona zaidi ya 7 katika mchezo (Total Corners Over 7)
    3. Kutakua na kadi zaidi ya 4 (Total Bookings Over 4)

    SOMA ZAIDI: Mkeka Wa Leo Jumatano Odds Kibao

     

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.