Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Nigeria vs Ivory Coast Tunausuka Hivi Mkeka
    Chuo cha Kubeti

    Nigeria vs Ivory Coast Tunausuka Hivi Mkeka

    MhaririBy MhaririFebruary 11, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Nigeria vs Ivory Coast
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ni mechi ambayo wanakutana mabingwa wa zamani wa michuano hii na kila mmoja akihitaji kuongeza idadi ya makombe katika kabati la timu yake ya taifa ni mechi kati ya Nigeria dhidi ya wenyeji ambao wamekua na matokeo ya kushangaza katika michuano hii mpaka kufika hatua ya fainali timu ya taifa ya Ivory Coast.

    Bila shaka kabisa ni mchezo wa fainali ambao mashabiki wengi wa soka nje na ndani ya bara la Afrika watakua wakiutazama kuona nani atakua bingwa wa AFCON kwa mwaka huu kati ya vigogo hao wakubwa wa soka barani Afrika mchezo ambao utapigwa katika dimba la Alassane Ouattara

    Nigeria wanasaka taji la 4 la AFCON huku Ivory Coast wao wakiwa wanasaka taji la 3 la michuano hii mikubwa barani Afrika kwa ngazi ya timu za taifa.

    TAKWIMU:

    Michuano ya AFCON msimu huu imekua na matokeo ya kushtukiza ambayo yameifanya michuano ya msimu huu kuvuia barani Africa na ulimwenguni kwa ujumla jambo ambalo limeifanya watu kutoamini katika takwimu zaidi sana upambanaji wa timu.

    • Nigeria ameshinda mara 3 na kupoteza mara 2 katika mechi 5 za mwisho kukutana na Ivory Coast
    • Katika mechi 10 za mwisho kwa timu zote 2, Nigeria amepoteza mara 1 huku Ivory Coast akipoteza mara 2
    • Hii ni mara ya 20 ambayo Nigeria anashiriki katika michuano ya AFCON huku Ivory Coast yeye akishiriki mara ya 25
    • Ivory Coast wameshinda mabao 4 na kuruhusu saba katika mechi zao 5 za mwisho.
    • Nigeria ameshinda michezo yake yote 5 ya mwisho wakati Ivory Coast ameshinda 3 na kupoteza miwili.

    TUNABETIJE?

    Ili kuepuka fedheha na kuona namna ambavyo timu zote mbili zitakavyokua zimepaniana katika mchezo huu basi unaweza kuamua kubashiri katika upande wa magoli na special tips ambazo ni hizi hapa:

    1. Mechi kuwa na magoli zaidi ya 2 (Game to have over 2.5 goals – Yes)
    2. Ivory Coast kuwa wa kwanza kufunga goli (Cote d’Ivoire to score first – Yes)
    3. Nigeria kupata goli (Nigeria to score – Yes)

    SOMA ZAIDI: Nini maana ya 1×2 katika betting?

    afcon AFCON 2023 afcon leo
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.