Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ni Yanga Sc Vs USM Alger I Fainali CAF Confederation Cup
    Africa | CAF

    Ni Yanga Sc Vs USM Alger I Fainali CAF Confederation Cup

    David MohamedBy David MohamedMay 18, 20231 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    HISTORIA Imeandikwa!.

    Ndivyo unaweza kusema baada ya klabu ya Yanga kuingia fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya kwanza ikiwa ugenini katika Uwanja wa Royal Bafokeng, mjini, Rustenburg nchini Afrika Kusini.

    Naam!

    Yanga imetinga fainali hiyo kwa mara ya kwanza baada ya kushinda mechi ya mkondo wa pili ya nusu fainali dhidi ya Marumo Gallants kwa mabao 2-1, na kufuzu kwa jumla ya mabao 4-1, kwani katika mchezo wa kwanza ikishinda 2-0, nyumbani uwanja wa Benjamin Mkapa.

    Mabao ya Yanga katika mchezo huo yalifungwa na washambuliaji Fiston Mayele dakika ya 45 na Kennedy Musonda aliyetupia dakika ya 61.

    Katika nafasi nyingine, Mshambuliaji wa Yanga, Mayele amefikisha mabao sita katika michuano hiyo msimu huu na kuwa sawa na mshambuliaji wa Marumo, Ranga Chivaviro aliyefunga bao moja la kufutia machozi. Mastaa wa Yanga waiocheza mechi na kuweka historia ya kuhusika moja kwa moja kwenye kuivusha timu kutoka nusu fainali hadi fainali ni Kipa Djigui Diarra.

    Mabeki, Dickson Job, Shomari Kibwana, Bakari Mwamnyeto, na Ibrahim Hamad ‘Bacca’.

    Viungo ni Yanick Bangala, Kharid Aucho/Stephane Aziz Kii, na Mudathir Yahya huku mawinga wakiwa Tuisila Kisinda/Jesus Moloko, na Farid Mussa.

    Washambuliaji waliocheza leo ni Mayele, Kennedy Musonda na Clement Mzize.

    Yanga itakutana na USM Alger katika mchezo wa fainali. Ikumbukwe fainali zitachezwa mechi mbili nyumbani na ugenini na Yanga itaanzia nyumbani uwanja wa Benjamin Mkapa.

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.