Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » MISO MISONDO Kunogesha Hamasa Za SIMBA Mbagala
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    MISO MISONDO Kunogesha Hamasa Za SIMBA Mbagala

    MhaririBy MhaririDecember 14, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    AHMED ALLY Na MISO MISONDO
    AHMED ALLY akiwa na kundi la Miso Misondo
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kuelekea hamasa za mchezo wa makundi klabu bingwa barani Afrika utakaowakutanisha klabu ya  Simba dhidi ya Wydad kutoka Morocco Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally amesema kuwa Katika uzinduzi kutakuwa na burudani nyingi kutoka kwa King Faida, Doto na balaa kubwa zaidi litasindikizwa na Miso Misondo.

    Ahmed amesema kuwa wana mpango wa kufanya hamasa kubwa ambayo haijawahi kutokea na uzindui wake utafanyika tarehe 16 Disemba Mbagala Zakhiem na msafara utaanzia uwanja wa mkapa na magari. “Tuna mpango wa kufanya hamasa kubwa ambayo haijawahi kutokea. Uzinduzi utafanyika tarehe 16 Desemba, 2023 eneo ni Mbagala Zakhem. Msafara utaanzia Uwanja wa Mkapa na magari.

    Kuhusu Miso Misondo, Ahmed anasema kuwa wamemchukua yeye Pamoja na madansa wake , “Jumamosi naomba Wanasimba mjitokeze kwa wingi mje mpate show ya Miso Misondo. Wale wazee wa kucheza hiyo siku mtawaona vizuri na Ijumaa tutaachia remix kwa ajili ya Simba.

    Aidha Miso Misondo ameishukuru klabu ya Simba kwa kumpa nafasi kwani alikua anatamani kufanya kazi na klabu hiyo Naishukuru Simba kwa kunipa nafasi hii, nilikuwa natamani siku moja kufanya kazi na klabu hii.”

    Endelea kusoma kuhusu taarifa mbalimbali za michezo na makala kwa kugusa hapa.

     

    miso misondo simba sc yanga sc
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.