Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Matokeo Yote ASFC Raundi Ya Pili 2023/2024
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Matokeo Yote ASFC Raundi Ya Pili 2023/2024

    MhaririBy MhaririDecember 14, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    ASFC
    Huu hapa ndio muonekano wa kombe la ASFC
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Michuano ya kombe la shirikisho la Azam (ASFC) raundi ya pili msimu wa 2023/2024 imeendelea kwa michezo kadhaa kuchezwa katika viwanja mbalimbali na matokeo kuweza kuchezwa.

    Katika Uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga klabu ya Coastal Union wamecheza dhidi ya Greenland Fc na wagosi wa kaya kuondoka na ushindi wa mabao 2:0 yaliyofungwa na Maabad Maulid Maabad.

    Mchezo mwingine uliofanyika katika Uwanja wa Highland Estates , Mbarali mkoani Mbeya ulimalizika kwa Ihefu kuondoka na ushindi wa mabao 3:0 dhidi ya Rospa Fc magoli ambayo yamefungwa na Japhet Kibaya aliefunga magoli 2 pamoja na Rashid Juma aliefunga goli 1.

    Aidha katika mchezo uliopigwa Azam Complex uliowakutanisha JKT Tanzania dhidi ya Kurugenzi Fc ulimalizika kwa JKT Tanzania kuondoka na ushindi wa mabao 5:0 mabao yaliyofungwa na Edward Songo aliefunga mabao 3 , Mohamed Kada aliefunga bao 1 na Moud Beka aliefunga bao 1.

    Mechi ya mwisho imechezwa katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma umewakutanisha Dodoma Jiji dhidi ya Magereza mchezo ambao walima zabibu wameondoka na ushindi kwa bao 1:0.

    Mshindi wa kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) ndio huwa mwakilishi wa klabu za Tanzania upande wa kombe la shirikisho barani Afrika.

    Endelea kusoma zaidi habari zetu mbalimbali za michezo na makala mbalimbali kwa kugusa hapa.

    ASFC 2023/2024
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.