Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Kwenye Dua Zenu Msiombee Kukutana Na Petro Atletico
    Africa | CAF

    Kwenye Dua Zenu Msiombee Kukutana Na Petro Atletico

    MhaririBy MhaririMarch 4, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Petro Atltico de Luanda
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Klabu ya Petro Atletico de Luanda kutoka nchini Angola ni miongoni mwa zile timu ambazo zimefuzu hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Afrika na kama ulikua hujui tu ni kuwa hawatajwi sana lakini ni wana balaa sana katika michuano.

    Hii inakua timu ya kwanza kumaliza hatua ya makundi bila kuruhusu bao lolote katika nyavu zao. ambapo wamecheza mechi 6 ambapo wameshinda mechi 3 na kupata sare 3 na zaidi sana nikuwa wamefunga mabao matano hawajaruhusu bao lolote kwenye nyavu zao.

    Golikipa wao H.Margues ndiye mlinda lango mwenye clean sheet nyingi kwenye michuano hii ya mabingwa barani Afrika kwa ngazi ya klabu ambapo mpaka sasa akiwa na clean sheet 6 kwenye michezo 6 aliyocheza.

    Hawa Petro ni moja ya timu ya kuchungwa sana, katika harakati za kumkwepa Mamelodi basi na huyu Petro sio mtu wa kukutana naye. Petro ndiyo wanabeba ramani ya Angola katika michuano ya CAF barani Afrika na kwa misingi mingi wameiwakilisha vyema Angola Na msimu huu.

    Malengo yao yanaonekana wanalitaka kombe lenyewe na hawajawahi kuwa wanyonge kwenye michuano hii. Nikiri wazi kwa kusema kuwa hii ni moja ya timu yangu pendwa kwenye hatua ya makundi japokua mpaka sasa naweza kusema kuwa kwa jinsi ambavyo michuano hii ilivyo ni ngumu sana kumtambua bingwa wa msimu huu labda mpaka itakapoonekana wae walioingia fainali.

    SOMA ZAIDI:Hizi Ndio Pesa Za CAF Kwa Kila Hatua Ligi Ya Mabingwa

    petro atletico de luanda simba sc yanga sc
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.