Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto
    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    In the name of LOVE – 12

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Kwanini Mdhamini Mmoja Timu 6 Ligi Moja?
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Kwanini Mdhamini Mmoja Timu 6 Ligi Moja?

    MhaririBy MhaririMarch 11, 20244 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa mafuta ya petroli kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo kumeendelea kuibuka tena kwamba hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM kupitia kampuni ya Haier kuwa  zinaipa Yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja.

    Swali la kujiuliza je Simba na Azam na zenyewe zimedhaminiwa na GSM? mbona wanakula kichapo kama kawaida? Au tujiulize swali jepesi dogo kabisa ambalo kila mmoja anaweza kujiuliza Azam anadhamini timu 16 kwenye ligi kuu Tanzania bara je naye anashiriki kuifanya ligi kuwa ya mchekechea? Mbona mpo kimya??

    Wanasema siku zote ukiwa na timu mbovu unatafuta kila aina ya sababu na kuandaa propaganda mbalimbali ili kuwafanya tu watu waache kuzungumzia jinsi ambavyo timu yako haifanyi vizuri au kuwa na matokeo ambayo hayaridhishi.

    Hata ukiangalia kwenye mashindano makubwa ya CAF champions league na kwenyewe YANGA inahonga? Nadhani ni wakati wa kubadilika na kuamini kuwa kuna kipindi timu inaweza kufanya vizuri na kuna wakati pia tunapaswa kuamini kuwa kuna wakati timu itakua katika kipindi kigumu na kushindwa kufanya vizuri hata kama mtakua mmesajili wachezaji ambao mnakua mmeaminishwa au walikotoka walikua wanafanya mengi makubwa.

    Ni lazima ifikie wakati Watanzania tubadilike na tuache upumbavu. Walianza Yanga wachawi, ikaenda wanatembeza bahasha, sasa upepo upo kwa GSM kudhamini timu 6 hawataki na imekuwa mada kuu kwa sasa na hii inaonesha ni jinsi gani mafanikio na mabadiliko ya utendaji ndani ya klabu ya Yanga yanavyowaumiza kichwa.

    SOMA ZAIDI: Alichofanya Mwigulu Kwa Ihefu Ni Kawaida Tu Katika Mpira

    gsm yanga Haier

    4 Comments

    1. Pingback: Simba vs Singida Tutegemee Mchezo Wa Aina Gani? - Kijiweni

    2. Pingback: Tuendelee Kuuamini Ukuta Wa Yerikho Simba SC? - Kijiweni

    3. xn88 casino on January 2, 2026 11:39 pm

      Thị trường nhà cái uy tín đổi thưởng ngày càng bùng nổ với vô số lựa chọn, nhưng liệu đâu là nền tảng thực sự đáng tin cậy? Nhiều người chơi đã phải học bài học đắt giá khi tham gia các nhà cái thiếu minh bạch: tiền thắng không thể rút, tài khoản bị khóa vô cớ, hay tỷ lệ trả thưởng không công bằng. Hãy cùng khám phá xn88 casino – một lựa chọn đang được đánh giá cao bởi cộng đồng người chơi nhờ tính minh bạch, bảo mật và đa dạng trò chơi. TONY12-30

      Reply
    4. Buat Akun Binance on January 8, 2026 6:23 am

      I don’t think the title of your article matches the content lol. Just kidding, mainly because I had some doubts after reading the article. https://www.binance.com/uk-UA/register?ref=XZNNWTW7

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    AFCON
    Africa | CAF January 1, 2026

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Ratiba ya Hatua ya 16 Bora ya michuano ya TotalEnergies CAF AFCON Morocco 2025 imekamilika…

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    In the name of LOVE – 12

    In the name of LOVE – 11

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.