Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Klopp afichua mechi tatu zitakazoamua kama Liverpool itamaliza katika nafasi nne za juu
    Biriani la Ulaya

    Klopp afichua mechi tatu zitakazoamua kama Liverpool itamaliza katika nafasi nne za juu

    Brenda UlomiBy Brenda UlomiMarch 16, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Meneja wa Liverpool, Jurgen Klopp amesema kuondoka kwao kwenye Ligi ya Mabingwa kumewapa “kazi kubwa” kuokoa msimu wao wa Ligi Kuu ya Uingereza.

    Hata hivyo, Klopp ameeleza kuwa mechi tatu ndani ya wiki moja dhidi ya Manchester City, Chelsea na Arsenal zitatengeneza au kuvunja matumaini yao.

    Bao la dakika za lala salama la Karim Benzema katika kipindi cha pili lilitosha kwa Real Madrid kupata ushindi wa 1-0 wa hatua ya 16, mkondo wa pili Uwanja wa Santiago Bernabeu na ushindi wa jumla wa 6-2.

    Kuondolewa kwa Liverpool kunamaanisha watamaliza msimu bila taji.

    Kwa sasa Wekundu hao wako katika nafasi ya sita kwenye Ligi ya Premia na wanakabiliwa na vita ya kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa msimu ujao.

    Wako pointi sita nyuma ya Tottenham Hotspur walio nafasi ya nne na mbili nyuma ya Newcastle ambao wana mchezo mkononi.

    “Tunataka kuwa katika Ligi ya Mabingwa kila mwaka na ni kazi kubwa kwetu [kumaliza nafasi ya nne] na tunajua hilo,” Klopp alisema.

    “Baada ya mapumziko ya kimataifa, tuna wiki sahihi mbele yetu – City, Chelsea na Arsenal.

    “Hiyo labda itafafanua kile tunachopata kutoka kwa msimu.”

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.