Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Klabu Zilizotoa Wachezaji Wengi AFCON 2023
    Africa | CAF

    Klabu Zilizotoa Wachezaji Wengi AFCON 2023

    MhaririBy MhaririJanuary 5, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Klabu zilizotoa wachezaji wengi kwa ajili ya AFCON 2023
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ni takribani wiki moja sasa imebakia kabla michuano ya AFCON haijaanza kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali nchini Ivory Coast ambapo itaanza kuchezwa Januari 13 mpaka Februari 11 mwaka 2024.

    Ni moja kati ya michuano inayosubiriwa kwa hamu kubwa kutokana na uwepo wa wachezaji wengi waliovuma kutoka bara la Ulaya bila kusahau wale maarufu wanaocheza ligi ya ndani. Zaidi ya wachezaji 80 kutoka katika vilabu vinavyoshiriki ligi mbalimbali barani Afrika walau kuna mchezaji kaitwa katika timu ya Taifa na hii leo tutazame klabu ambazo zimetoa wachezaji wengi zaidi kwa ajili ya AFCON 2023.

    Tukianza na klabu kutoka Afrika Kusini ambayo ni Mamelodi Sundowns wao katika michuano hii wametoa wachezaj 11 kwa ajili ya timu ya taifa ya Afrika Kusini kwa ajili ya michuano hii ya AFCON na kuwa moja kati ya klabu iliyotoa wachezaji wengi zaidi.

    Katika orodha anayefuatia ni klabu ya karne kutoka Misri ambayo ni Al Ahly wao wametoa wachezaji 10 ambao watawakilisha nchi zao na miongoni mwa wachezaji hao yupo Percy Tau atakayechezea Afrika Kusini bila kusahau Aliou Dieng wa Mali Pamoja na wengine watakaochezea Misri.

    Kutoka hukohuko Misri anayefuatia ni Pyramids ambaye katika orodha anashika nafasi ya 3 akiwa ametoa wachezaji 9 kwa ajili ya Afcon na moja ya mchezaji maarufu ni Fiston Mayele anayeenda kuitumikia nchi ya demokrasia ya Congo.

    Simba na Yanga wao kila mmoja ametoa wacheza pia katika michuano ya msmu huu ambapo wekundu wa msimbaziwametoa wachezaji 7 huku Yanga wakitoa wachezaji 6 bila kusahau Orlando ambao nao wametoa wachezaji 6 wakifuatiwa na Mazembe aliyetoa 4 msimu huu.

    Endelea kusoma zaidi kuhusu AFCON kwa kugusa hapa.

     

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.