Mvua kubwa ilikua ikinyesha, baridi Kali lilikua limekivamia Kijiji Cha Nzena.ย Giza nalo tayari lilikua limeshatua, palikua Kimya. Pazia la chumbani kwa Zahoro lilifunuliwa, Mzee Miroshi alikua amesimama akimtazama Zahoro aliyekuaย Usingizini.ย
Mwanga hafifu wa kibatari ulikua ukiendelea kukifanya chumba Kiwe na Nuruย kidogo, Mzee Miroshi aliingia chumbani Kisha aliketi juu ya kitandan Cha Kambaย alicholala Mwanayeย
Aliutazama uso wa mwanawe kwa muda mrefu, kana kwamba alikuwa akijifunzaย kitu kutoka katika kila mstari wa uso wake. Pumzi yake ilikuwa nzito, macho yakeย yakionesha huzuni iliyojificha kwa miaka mingi.ย
โZahoroโฆโ aliita kwa sauti ya chini sana, karibu kama mnongโono, lakini kijanaย huyo hakuamka. Mvua iliendelea kupiga dari ya nyasi kwa nguvu, kila toneย likiambatana na sauti kama ya dondosha ya mshituko.ย
Mzee Miroshi alinyosha mkono wake polepole, akaushika mkono wa Zahoro.ย Mikono ya kijana huyo ilikuwa baridiโbaridi isiyo ya kawaida, kana kwambaย mwili wake haukuwa na uhai.ย
โSamahani, mwanangu,โ alizungumza tena kwa sauti ya chini, โlakini kuna jamboย lazima lifanyike kabla ya alfajiri.โย
Ghafla, nje ya chumba, paka mweusi alilia kwa sauti ya kutisha. Mbwa wa jiraniย wakaanza kubweka kwa hofu. Ndani ya chumba, mwanga wa kibatari ulianzaย
kuyumba-yumba, kana kwamba ulikuwa ukipigana na upepo wenye nguvu isiyo onekana.ย
Mzee Miroshi alisimama, akafungua mfuko mdogo wa ngozi alioubeba tanguย asubuhi. Ndani yake kulikuwa na kitu kilichofunikwa kwa vitambaa vitakatifu vyaย miaka mingi. Alikitoa kwa hofu na kumtazama mwanawe kwa mara ya mwishoย kabla ya kuanza kulia kimya kimya.ย
Kimya cha kijiji kilikatizwa na mlio wa radi kaliโna hapo ndipo kila kitu kilianzaย kubadilikaโฆย
Radi ilipopiga, mwanga wake uliangaza kwa sekunde chache chumba cha Zahoro,ย na kwa mara ya kwanza, Mzee Miroshi aliona kivuli kikisimama pembeni yaย mlango wa chumba hicho. Moyo wake uliruka. Hakuweza kusogea. Kivuli hichoย hakikusogea pia, kilionekana tu kama kimya kilicho haiโkikitazama.ย
Alifumba macho, akavuta pumzi ndefu, kisha akakifunika tena kile kitu alichokitoaย kwenye mfuko wake wa ngozi. Alijua hakikuwa wakati wa kukikabidhi bado, japoย ndicho kitu pekee kinachoweza kumlinda Zahoro na kuvunja kile alichoaminiย kuwa ni laana ya Bi. Lugumi.ย
โUsiingilie muda,โ sauti ya kike ilisikika ikinongโona karibu na sikio lake.ย Aligeuka kwa haraka, lakini hakuona mtu. Jasho lilianza kumtoka. Alijua alikuwaย amechelewa. Alijua macho ya kale yanamtazama, yakihoji, yakimlaumu.ย
Zahoro alianza kuhema kwa nguvu, uso wake ukionekana kuteseka na ndoto nzito.ย Alipiga kelele moja, kisha akanyamaza tena ghaflaโkimya kama kifo. Mzeeย Miroshi alinyanyuka haraka na kumtikisa, โZahoro! Mwanangu, amka!ย Usimruhusu akuone!โ
Lakini Razaro hakuamka. Badala yake, midomo yake ilianza kunongโona manenoย yasiyoelewekaโlugha ya kale, isiyo ya kawaida. Mwanga wa kibatari ukazimaย ghafla. Giza likatawala.ย
Ndani ya giza hilo, sauti ya mtoto ikasikika kutoka kona ya chumba. โMbona mmechelewa tenaโฆ?โย
Sauti hiyo ilimfanya Mzee Miroshi asimame barabara, uso wake ukiwa mweupeย kama karatasi. Alijua sauti hiyo. Ilikuwa ya Masumbukoโmtoto wa kwanza waย kijiji aliyechukuliwa miaka mingi iliyopita, usiku kama huo.ย
Papo hapo, Zahoro alishtuka kutoka Usingizini na kugundua ilikua ni ndoto mbayaย iliyomshtua. Jasho lilikua likimtoka, ndevu nyingi zilikua zimemwota. Umri wakeย haukua ule wa awali, Miaka Thelathini ilikua imepita tayariย
Alikua ndani ya pango, Miaka yote hakufanikiwa kutoka ndani ya Kijiji Chaย Nzena, Kijiji kilicholaaniwa. Aliishikilia Sehemu ya kifua ambayo moyo hukaaย hapo, alihisi mapigo yasiyo ya kawaida. Aliitazama Kando yake, palikua naย Mwanamke aliyelala pamoja na Mtoto wa Miaka mitano.ย
Taratibu Zahoro alinyanyuka. Alishafikisha Miaka 52, alikua Mwanaumeย aliyekamilika lakini aliyechoka Maisha ya kutisha. Alisogea taratibu Hadi nje yaย Pango, akasimama juu ya Mlima na kulitazama jua likiwa linazama.ย ย
Macho yake yalikua mazito sana, yalijaa uzito usio wa kawaida. Alijilazimishaย kulitazama jua Kisha akaulizaย
โKanakwamba unanitazama na huwezi kunisaidia?โ jua liliendelea na safari yakeย kama vile halikusikia swali lililoulizwa, Zahoro alikohoa kidogo kabla ya kuisikiaย sauti nyuma yakeย
โHujachoka?โ ilikua ni sauti ya Kike, nyuma yake alisimama Mwanamkeย aliyemtazama Zahoro kwa jicho kavu. Zahoro alipogeuka akasema
โAnna, aliyechoka ni yule aliyepata. Nafikiria kuhusu Binti yetu Moana, bahatiย mbaya kwake hajawahi kumwona Binadamu tofauti na Mimi na weweโ alisemaย kwa huzuni sana Zahoro.ย
โMh! Nani angefika Kuzimu Baba Moana, tumesubiria sababu ya kurudi Dunianiย kwa Miaka yote Hadi tumepata Mtoto huku. Wote wamekufa, ni sisi pekee Ndiyoย tunaishi hukuโ alisema Kisha akamsogelea karibu Zahoro.ย
โTuna Kila sababu ya kufanya safari kutoka hapa. Tukatafute Sehemu nyingine yaย Kuzimu, pengine Kuna Mji mwingine uliopotea kama Kijiji Cha Nzenaโ alisemaย Zahoro.ย
โSawa, lakini sasa Adui yetu ni Kimya. Ni ngumu sana kupambana na Aduiย anayewinda Sauti Zahoro, lakini kuendelea kuishi pangoni hakutasaidia, ni Boraย tufanye safari kama ulivyosemaโAlisema Anna. Taratibu aliondoka na kurejeaย pangoni.ย
Razaro hakuacha kulisindikiza jua likizama mbele ya macho yake, Kisha Nuru yaย Giza iliingia, alitembea Kurudi ndani ya Pango.ย
***ย
Siku iliyofuata, Zahoro, Mtoto Moana pamoja na Anna. Walikua tayari kwa ajili yaย kuondoka ndani ya Pango ili kutafuta Makazi mengine. Ilikua ni huzuni kuondokaย ndani ya Pango Hilo salama ambalo waliishi kwa Miaka Thelathini.ย
โBaba, tunaenda wapi?โ aliuliza Moana, alikua amevalia nguo chakavu. Zahoro alichuchumaa na kumwambia Moana kwa sauti ya utaratibu sana.ย
โTunaenda kuishi Sehemu nyingine salama zaidi. Usijaliโ Moana aliachiaย tabasamu, sura yake ya mviringo na macho ya kudumbukia ndani vilimfanyaย aonekane ni Mtoto mzuri sana, bila kujalisha wanaishi Maisha gani alikubaliana naย Hali halisi licha ya kuisikia TU Hadithi ya Dunia ilivyo.ย
Walibeba chakula kidogo walichobakiwa nacho, mizizi na baadhi ya mabaki yaย nyama. Kisha Zahoro akamfunga kitambaa usoni Moana, halafu wao wakajiwekaย sawa kwa kulegeza vitambaa kichwani.
Adui Yao Mpya alikua ni KIMYA. Yeye ni Adui waliyemwogopa sana kuliko sautiย ya Bibi Lugumi. Waligeuka kulitazama Pango kwa huzuni sana, waliishi hapo kwaย usalama kwa Miaka Mingi.ย ย
Taratibu Anna alimtazama Zahoro, ulikua ni wakati wao wa kuondoka. Walianzaย safari taratibu, kwa utulivu wa Hali ya Juu sana. Walishuka kutoka Kilimani Kishaย waliupa mgongo.ย
Taratibu wakaingia Msituni huku lengo lao likiwa ni kuelekea Mtoni, wasafiriย kupitia Maji ya Mto huo.ย ย
Msitu ulikua kimya na wenye kutisha sana, palikua na kinvuli Kila walipopitaย kutokana na Kua na miti mingi mikubwa. Majani mengi yaliyooza yalikua aridhini,ย hapakua na njia rasmi isipokua vichochoro.ย
Anna alikua amembeba Moana Mgongoni, Zahoro alikua ameshikilia kifurushiย Cha chakula. Mioyoni Yao ilizungumza zaidi, huku lugha pekee waliyokuaย wakiitumia ilikua ni ishara.ย
Zahoro alikua ndiye kiongozi wa msafara, alihakikisha anafanya awezalo waufikieย Upande wa Pili wa Mto. Wakiamini pengine wangeliweza kupata msaada huko,ย anga lilikua la kahawia, huku jua Kali likiendelea kuwaka.ย
Hapakua na sauti yoyote iliyosikika, hapakua na Ndege wala wadudu waliopigaย kelele. Ghafla Zahoro alisimama, akatoa ishara kwa Anna kusimama piaย
Sauti ya ajabu ilianza kusikika kama kuna kitu kikubwa kinakaribia kutokea juu.ย Zahoro, aliyekuwa ni mtu wa tahadhari, hakutaka kugeuka haraka. Badala yake,ย alivuta hisia zake kwa umakini zaidi. Taratibu, aligeuka na kutazama juuโ palikuwa na nyoka mkubwa mweusi aliyekuwa akishuka kwa taratibu, kwa mtindoย wa kuvizia.ย
JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapaย
Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA
Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA
Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896ย
50 Comments
Welcome Back Admin
Tamu
Nice๐
I couldn’t refrain from commenting. Exceptionally well written!
Feel free to visit my homepage; blackpass
https://shorturl.fm/ynZlb
https://shorturl.fm/MoLX7
I’m no longer positive where you are getting your info, however good topic.
I needs to spend some time finding out much more or working
out more. Thank you for fantastic information I was looking for this information for my mission.
My web page … black pass
If you are going for best contents like myself, just pay a visit this website all the time since it presents quality contents, thanks
my webpage blackpass biz
I do not even know how I ended up here, but I thought this post was great.
I do not know who you are but definitely you are going
to a famous blogger if you aren’t already ๐ Cheers!
Here is my site blackpass biz
Wonderful beat ! I wish to apprentice while you amend your site, how could i subscribe for a blog site?
The account helped me a acceptable deal. I have been tiny bit familiar of
this your broadcast offered brilliant clear
concept
My page: blackpass
jzejm9
fzkcb0
0cb1v6
Please let me know if you’re looking for a article author for your blog.
You have some really great articles and I think I would be a good asset.
If you ever want to take some of the load off, I’d really like to write some articles for your blog in exchange for a link back to mine.
Please shoot me an e-mail if interested. Regards!
Also visit my web page :: prozone cc
https://shorturl.fm/KtRP0
https://shorturl.fm/5NQra
My spouse and I stumbled over here from a different web address and
thought I might check things out. I like what I see so now i am
following you. Look forward to finding out about
your web page for a second time.
https://shorturl.fm/O0YOW
Hello to every one, it’s in fact a pleasant for me to go to
see this web site, it consists of helpful Information.
Also visit my web page: bclub mom
My partner and I absolutely love your blog and find most of your post’s
to be what precisely I’m looking for. can you offer guest writers
to write content for you personally? I wouldn’t mind producing
a post or elaborating on a few of the subjects you write regarding here.
Again, awesome web log!
My web blog – briansclub
This excellent website really has all of the information I needed about this subject and didn’t know who to ask.
my page; bclub tk
Hi, i think that i saw you visited my blog
so i came to โreturn the favorโ.I’m trying to find things to improve
my website!I suppose its ok to use a few of your ideas!!
Here is my blog; briansclub cm
https://shorturl.fm/jbHCj
After I originally left a comment I appear to have clicked the
-Notify me when new comments are added- checkbox and from now on every time a comment is added I receive four emails
with the exact same comment. Is there a means you are able to remove me from that service?
Thanks!
Here is my webpage … savastan
Greetings! I’ve been following your weblog for
a while now and finally got the bravery to go ahead and give you a shout
out from Humble Tx! Just wanted to say keep up the fantastic work!
Also visit my webpage … savastan0 cc
Today, while I was at work, my sister stole my apple ipad
and tested to see if it can survive a 30 foot drop,
just so she can be a youtube sensation. My iPad is now broken and she has 83 views.
I know this is totally off topic but I had to share it with someone!
Visit my site :: savastan0.tools
This is my first time go to see at here and i am actually pleassant to read everthing at single place.
Stop by my page savastan0. cc
I’m gone to inform my little brother, that he should
also pay a visit this blog on regular basis
to get updated from latest information.
Here is my web-site :: savastan0.tools
Your style is really unique in comparison to other folks
I have read stuff from. Thank you for posting when you’ve
got the opportunity, Guess I will just bookmark this blog.
Feel free to visit my homepage savastan
Howdy I am so happy I found your weblog, I really found
you by error, while I was searching on Bing for something else, Nonetheless
I am here now and would just like to say cheers for a incredible post
and a all round entertaining blog (I also love
the theme/design), I donโt have time to go through it all at the moment but I have bookmarked it and also added in your RSS feeds, so when I have time I will be back to read much more,
Please do keep up the great jo.
I know this web site presents quality dependent articles or reviews and
other material, is there any other web site which presents these
information in quality?
Feel free to surf to my blog post; ultimateshop
Nice post. I was checking continuously this blog and I am impressed!
Extremely useful information particularly the last part
๐ I care for such info a lot. I was looking for this certain information for a very long time.
Thank you and best of luck.
Here is my web-site – ultimateshop
Great post. I used to be checking constantly this blog and
I am impressed! Extremely helpful information specially the closing section :
) I take care of such information much. I was looking for this particular information for a
very lengthy time. Thanks and best of luck.
My page – ultimateshop
Great post. I was checking constantly this blog and I’m impressed!
Extremely helpful information specifically the last part ๐ I care for such information a lot.
I was seeking this certain information for a long time. Thank you and best of luck.
My web-site: ultimateshop ru
Good day! This is kind of off topic but I need some help from an established blog.
Is it very difficult to set up your own blog?
I’m not very techincal but I can figure things out
pretty fast. I’m thinking about setting up
my own but I’m not sure where to begin. Do you have any points or suggestions?
Thank you
My blog post … ultimateshop vc
I am no longer sure the place you’re getting your information, however great topic.
I must spend some time finding out more or working out more.
Thank you for wonderful information I was in search of this information for my mission.
Stop by my web blog … ultimateshop login
Greetings! Very useful advice in this particular post!
It is the little changes that will make the
largest changes. Thanks a lot for sharing!
My webpage; ultimateshop vc
Hello there, I discovered your blog by the use of Google
at the same time as searching for a similar subject,
your website came up, it seems great. I have
bookmarked it in my google bookmarks.
Hi there, just become alert to your blog through Google,
and found that it’s really informative. I’m
gonna be careful for brussels. I’ll appreciate should you continue this in future.
Lots of other people shall be benefited from
your writing. Cheers!
Here is my blog: findsome cc
I blog often and I seriously thank you for your content. Your article has truly peaked my interest.
I am going to bookmark your website and keep checking for new details about
once per week. I subscribed to your RSS feed too.
Visit my blog … findsome cc
Hi there to every body, it’s my first pay a quick visit of this web
site; this website includes remarkable and
genuinely fine material in support of visitors.
Feel free to surf to my website findsome
Hey there! This is my first comment here so I just
wanted to give a quick shout out and say I truly enjoy
reading through your articles. Can you suggest any other blogs/websites/forums that deal with the same topics?
Thanks a ton!
Feel free to visit my web blog … findsome.ru
Superb, what a webpage it is! This webpage gives helpful facts to us,
keep it up.
my website :: findsome.ru
Nice respond in return of this query with real arguments and describing everything about that.
My blog :: russianmarket
Ultimateshhop.to | Welcome to ultimateshop ru best shop cvv and dumps shop. UltimateShop is a darknet shop that sells dumps, fulls with PIN.
Call girls in Lahore Agency offer a wide selection of Hot Sexy VIP Call girls for incall service with free hotel rooms 24 7 come to Our Reliable & Trusted Call girls Agency, the best and most well-known Call girls in Lahore. We always offer 50% off our Escorts services. Cash Payment is Available. Our Call girls Escorts Agency are popular with people who enjoy having fun. They like beautiful partners and stay out all night.
We have Hot Sexy call girls in Lahore You can find Models, TikTok Stars, TV actress, Housewife Lahore call girls. Our hot call girls in Lahore will make your sexual dreams come true. Our service is rated 5 stars for providing high-class real call girls at affordable prices. We offer genuine pictures and phone numbers, ensuring delivery to your location within 25 minutes, saving you both time and money.
We have a wide range of High Class Lahore Call girls and Beautiful Real girl WhatsApp numbers with Photos available 24 7 to fulfill sexual desires.Our Best Call girls give sensual experiences to their customers. We always send real Cheap girls to treat our clients so that they feel safe. Our services will be fun for you, and our adult services will be easy for our customers and anyone who wants to join us. People love us because we offer the best Lahore Call girls Service at low prices, and our women do fun things for them.
Are you looking for the satisfactory Call girls Service In Lahore? As one of the best agencies for call ladies in Lahore, we offer quite a number sexual services. thirstycallgirls.online is the most famous Call girls Agency in Lahore and Pakistan.Our ladies are to be had for in-name and out-call services. You can e book our girls at any time of the day on the excellent price.
My coder is trying to persuade me to move to .net from PHP.
I have always disliked the idea because of the costs.
But he’s tryiong none the less. I’ve been using Movable-type on a number of websites for about a
year and am concerned about switching to another platform.
I have heard very good things about blogengine.net.
Is there a way I can import all my wordpress content into it?
Any kind of help would be really appreciated!
my page: castrocvv
After I initially commented I seem to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and now whenever a comment is
added I receive four emails with the same comment. There has to be a means you are able to remove me from that service?
Thanks a lot!
Feel free to surf to my blog :: castrocvv