Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Karabaka Ni Dhahabu Iliyopo Simba Isiyotumika Vyema
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Karabaka Ni Dhahabu Iliyopo Simba Isiyotumika Vyema

    MhaririBy MhaririFebruary 28, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Karabaka
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Wachezaji huwa wanakuwa na sifa zao na wanatofautiana sana kwa mchezaji mmoja na mwingine na hapa ndipo namkumbuka mchezaji wa klabu ya Simba anayeitwa Saleh Karabaka moja kati ya wachezaji wenye vipaji vikubwa sana ambao bado hawajapata nafasi ya kuaminiwa na kocha Benchikha bado.

    Moja ya sifa kubwa ya Karabaka ni zile za kuwa hatari sana katika mikimbio haswa akiwa na mpira au kwenda kujiweka sehemu sahihi ya kupasiwa mpira huwa anajua sana sehemu ambayo anaweza kupata nafasi ya kucheza kiwanjani na huwa anakabiliana vyema na mpinzani.

    Kama kuna dhahabu ambayo Simba wanayo ndani basi ni huyu kijana, akiwa third man runs huwa anafanya pressing kwa ustadi na kuweka mpira wavuni kutokana na utulivu wake akiwa katika eneo la mbele.

    Nafikiri Abdelhak Benchikha amuangalie kwa jicho la tatu, akigawana dakika na wenzake waliopo kikosini kwa sasa itakua vyema sana kwake lakini pia na ukuaji wa soka la Tanzania.

    Karabaka atamlipa sana Benchikha na Simba kwa kujituma sana kwake na kufanya “Third man runs” yani pale wenzake wawili wanapopasiana halafu yeye anafanya runs bila mpira kwenda kwenye space iliyowazi iwe goli au assist huwa anafanya hivyo

    Huyu kijana ni wazi kuwa kipaji kizuri sana anacho, anahitaji kupewa nafasi ili ajiamini zaidi lakini uwepo wa Clatous Chama nyuma yake ambaye ni Bima itamfanya kufanya mikimbio akiwa huru na kufanya jukumu la kuweka mpira wavuni, na hilo huwa analipatia sana.

     

    SOMA ZAIDI: Barua Kwa Wachezaji Wa Simba Kuelekea Mchezo Na Jwaneng

    simba sc simba sc leo

    1 Comment

    1. Pingback: Tunamkosea Heshima GSM Tuuzungumze Ukweli Tu - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.