Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ivory Coast vs DR Congo Suka Hivi Mkeka Wako
    Chuo cha Kubeti

    Ivory Coast vs DR Congo Suka Hivi Mkeka Wako

    MhaririBy MhaririFebruary 7, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Ivory Coast vs DR Congo
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Nusu fainali ya pili ya michuano ya mataifa barani Afrika ya kumtafuta yule anaekwenda fainali ya michuano hii mikubwa zaidi ya mpira wa miguu ngazi ya timu za taifa ni mchezo kati ya Ivory Coast dhidi ya DR Congo. Dakika 90 za mchezo huu mkubwa zitapigwa katika uwanja wa Alassane Ouatarra na kumbuka kuwa wenyeji wa michuano hii timu ya taifa hiyo wako nyumbani na watapata nguvu kutoka kwa mashabiki wao wa nyumbani tofauti na DR Congo ambao wako mashabiki wachache tu waliosafiri.

    TAKWIMU

    Timu zote mbili zimekutana mara 3 katika michuano hii huku mechi moja pekee ikiisha kwa sare na mechi ya mwisho kukutana ilikua ya kirafiki mwaka 2019 ambapo Code Divouir walishinda kwa mabao 3:1 na wanaingia katika mchezo huu wakiwakosa wachezaji wao wawili Odilon Kossounou na mshambuliaji Oumar Diakité. DR Congo wameendelea kufanya maajabu yao licha ya kutopewa nafasi kubwa ya kufanya chochote msimu huu na wanaingia katia mchezo huu mgumu dhidi ya Ivory Coast.

    • Katika mechi 5 za mwisho dhidi ya DR Congo kumbuka kuwa Ivory Coast wameshinda mara 3 wakipata sare mara 1 na kupoteza mara moja.
    • Ivory Coast wameshinda mabao 5 na kuruhusu mabao 7 katika mechi za 7 za mwisho katika michuano hii ya AFCON.
    • Tembo wamechukua ubingwa wa AFCON mara 2 ambapo nim waka 1992 na mwaka 2015 huku DR Congo wakiibuka mabingwa mwaka 1968 na mwaka 1974.
    • Mechi 10 za mwisho za DR Congo dhidi ya tembo ameshinda mara 3 akipata sare mara 3 na huku wakipoteza mara 4.

    TUNABETIJE?

    1. Ivory Coast Anafuzu hatua inayofuata (Ivory Coast to Qualify)
    2. Kuwe na magoli zaidi ya 1 katika mechi (Total Goals Over 1.5)
    3. Kutakua na kadi zaidi ya 2 kipindi cha kwanza (1st Half Total Bookings Over 2)

    SOMA ZAIDI: Hakuna Mnyonge Yoyote Anaweza Kuwa Bingwa AFCON 2023

    ivory coast
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.