Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ibrahim Bacca apigwa ‘STOP’ Nabi amuweka Kikaoni
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Ibrahim Bacca apigwa ‘STOP’ Nabi amuweka Kikaoni

    David MohamedBy David MohamedJune 9, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amesema almanusura azimie baada ya wapinzani wao USM Alger kupata penalti katika fainali ya pili, hapo hapo anafanya maamuzi magumu ya kumpiga stop beki wake, Ibrahim Bacca aliyeisababisha japo penalti hiyo iliokolewa na kipa Djigui Diarra.

    Nabi, aliweka wazi kuwa, baada ya tukio lile la Algeria ambapo Yanga ilishinda 1-0, lakini ikashindwa kubeba taji kwa kanuni ya bao la ugenini lililowabeba wenyeji wao, alikaa kikao na Bacca na kwamba kuanzia sasa hataki kumuona anafanya ‘Tackling’ tena karibu au ndani ya eneo la hatari.

    Nabi alisema licha ya kwamba Bacca anazipatia ‘tackling’ lakini hatakiwi kuzifanya tena kwa kuwa Kuna wakati zinaweza kuwaletea shida kama ambavyo ilikaribia kuwaumiza dhidi ya USM Alger.

    Ibrahim Bacca akiwania mpira dhidi ya Emmanuel Okwi

    “Ilipotolewa Ile penalti nilihisi naweza kuzimia ilinishtua sana, unajua ilikuja penalti Ile wakati tunatafuta bao na hatukutakiwa kuruhusu bao lakini jambo zuri la kumshukuru Mungu kipa wetu (Diarra) alikuwa na siku nzuri kazini,” alisema Nabi na kuongeza;

    “Nimemwambia Bacca kuanzia sasa sitaki kumuona tena anafanya kitu kama kile, sitaki kuona anafanya tekolingi ndani ya eneo la hatari au hata Karibu na hapo Kuna wakati huwezi kufanikiwa kama kilivyotokea.”

    Nabi alisema anaruhusu Bacca kuendelea na njia hiyo ya uzuiaji kwa kuwa ni moja ya ubora wake lakini anatakiwa kufanyia mbali na eneo la hatari ambapo wanaweza kujipanga kuzuia kuliko kuzalisha matukio ya hatari kwa timu yao.
    Alisema Bacca akiendelea kufanyia kazi dosari zake ndogondogo anaweza kuja kuwa beki bora na mkubwa hapa nchini kutokana na upambanaji wake.

    “Nampenda sana Bacca ni beki ambaye anacheza kama mwanajeshi uwanjani muda wote anatamani kukaba hataki kuona mshambuliaji anapata utulivu lakini anatakiwa kuendelea kufanyia kazi dosari ambazo tunaendelea kuzifanyia kazi kwake.”

    Endelea kufatilia taarifa zaidi za Michezo hapa.

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.