Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home Β» Hoyeee Sio Kiitikio Cha Kisoka , Siasa Iacheni Kwenye Siasa
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Hoyeee Sio Kiitikio Cha Kisoka , Siasa Iacheni Kwenye Siasa

    Cosmasy ChogaBy Cosmasy ChogaAugust 30, 2024Updated:August 30, 20248 Comments2 Mins Read1K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Hoyee
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Soka ni mchezo wenye misingi yake ya kiutawala katika taifa hadi kidunia. Soka limekosa majeshi tu na mwisho kuwa kama mataifa mengine yalivyo na kuendeshwa.Katika takwimu iliyopo pale Zurich Uswisi,kuna idadi kubwa ya wanachama wa mashirikisho ya soka kuliko hata wanachama wa umoja waataifa.

    Yawezekana ikawa dhahiri shahiri mataifa kama Tuvalu, Micronesia, Visiwa vya Dominic, jamhuri ya sahara Magharibi ikawa sio wanachama wa Umoja wa mataifa. Lakini wakati huo wakawa na uanachama wa FIFA vyema kabisa. Mnaikumbuka Tahiti ile timu ya kutoka kule Oceanic.

    Sasa hapa nchini Tanzania kuna maeneo tunakosa umakini na kuamua nini kifanyike. Vilabu vingi duniani vimekuwa na salamu zake kwa mashabiki wake .

    Ni Ulaya unakuta klabu ikiwa na utaratibu wa hashtag matata ambayo inakuwa kama salamu kwa klabu yao.GGMU ni kati ya salamu au utambulisho wa klabu.

    Ni mshangao mkubwa kuona kiongozi wa klabu ana salimu mashabiki kwa salamu ya chama cha Siasa. Kama klabu wana aina yao ya kuitana na kujinasibu mbele ya mashabiki. Ni ngumu kueleweka kama unakuta kiongozi anasema ” Namungo oyeeeee” au ikawa “Simba oyee” utadhani ni chama cha siasa.

    Moja ya salamu ambazo zinaweza kuwa maarufu ni kwa kutumia kauli mbiu kama vile “Simbaaaaaaa”, halafu wapenzi wake wakajibu “Nguvu mojaaa”, hii inaleta hamasa kwa wenye timu zao.

    Klabu kama ya Yanga haiwezi kuingia akilini kama kiongozi akataka kuwasalimia mashabiki wake na akaita Yanga oyee oyee. Hizo ni salamu za kisiasa. Tunapojisahaulisha tunakuwa kama vile ni utamaduni kuitana hivyo.

    Kiongozi kama Wa Yanga lazima ataita “Yangaaaa”,wananchi wakajibu “Daima mbele nyuma mwiko”. Huo ndo unakuwa mwitikio wa kiuananchi.

    Sio kwa Simba tu hata Azam,Mtibwa na timu nyinginezo. Kiitikio cha oyeeeee sio sehemu ya slogan za vilabu vyetu. Ukifika kwa klabu kama ya Biashara United ya Musoma. Klabu inapaswa kuitikia kama wanavyo jinasibu wanajeshi wa mpakani.

    Viongozi wa timu zote lazima wajenge utamaduni huo hata vijana ambao wanakuwa wakisikia kaulimbiu hizo wajiulize na kuuliza kwa nini hawa wanasema hivi,wachezaji nao wakisikia viitikio hivyo vya salamu kuna picha ambayo wataijenga katika akili zao na utendaji wao uwanjani.

    SOMA PIA : Fahamu Yote Kuhusu Muundo Mpya Wa Ligi Ya Mabingwa Ulaya

    ligi kuu bara ligi kuu tanzania bara Ratiba CAF CHAMPIONS LEAGUE

    8 Comments

    1. Pingback: Ifahamu Timu Ya Kanisa Iliyoizaa Liverpool Baada Ya Muungano Na Everton

    2. πŸ—“ Notification; TRANSFER 1.464201 BTC. Confirm >>> https://graph.org/Ticket--58146-05-02?hs=cb9cbf2eb4aa7d0cd160580bce7e93f0& πŸ—“ on May 11, 2025 1:53 am

      njqihi

      Reply
    3. πŸ–‹ + 1.75914 BTC.GET - https://yandex.com/poll/T1TnDbUc4R9aLX7Nzhj1Cy?hs=cb9cbf2eb4aa7d0cd160580bce7e93f0& πŸ–‹ on May 19, 2025 12:11 pm

      r4snhy

      Reply
    4. πŸ““ + 1.888105 BTC.GET - https://yandex.com/poll/Ef2mNddcUzfYHaPDepm53G?hs=cb9cbf2eb4aa7d0cd160580bce7e93f0& πŸ““ on May 25, 2025 6:18 am

      bzh2w1

      Reply
    5. πŸ“² + 1.331561 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/HYTE3DqXnHUqpZMyFqetue?hs=cb9cbf2eb4aa7d0cd160580bce7e93f0& πŸ“² on June 1, 2025 9:07 pm

      iqdfwg

      Reply
    6. πŸ“¨ + 1.701388 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/WDrLYhyq1Mc7jMHFgAW85q?hs=cb9cbf2eb4aa7d0cd160580bce7e93f0& πŸ“¨ on June 3, 2025 11:00 am

      q55lml

      Reply
    7. πŸ”’ + 1.211882 BTC.GET - https://yandex.com/poll/5JjqQt7R61CTYdYVd17t6p?hs=cb9cbf2eb4aa7d0cd160580bce7e93f0& πŸ”’ on June 5, 2025 6:23 pm

      1zoet8

      Reply
    8. πŸ“ + 1.54411 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/enter/BXidu5Ewa8hnAFoFznqSi9?hs=cb9cbf2eb4aa7d0cd160580bce7e93f0& πŸ“ on June 11, 2025 5:22 am

      kgwgmv

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya naneΒ  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.