Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Hongereni Wawekezaji Soka Letu Limekua Kwa Kasi
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Hongereni Wawekezaji Soka Letu Limekua Kwa Kasi

    MhaririBy MhaririMarch 3, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Wawekezaji
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ni wazi kuwa historia imeandikwa vyema na klabu zetu za Simba na Yanga baada ya timu zote mbili kufuzu hatua ya robo fainali ya ligi ya Mabingwa barani Afrika lakini kamwe tusiache kuwapa maua yao wawekezaji wa klabu hizi mbili kwa jinsi wanavyopambana.

    Tanzania ndio shirikisho pekee iliyopeleka timu mbili robo fainali klabu bingwa na hii inaonesha kukuwa kwa vilabu vyetu. La pili naona utawala wa timu za kiarabu zinaanza kutokomea kwenye michuano ya bara la Afrika kuanzia zile za timu za Taifa ambapo tuliona katika michuano ya mataifa barani Afrika kwa ngazi ya taifa yakiwa hayajafanya vyema.

    Baada ya kuona katika AFCON ni wazi sasa kama timu zetu zikipambana basi tunaona kabisa jambo hili likijirudia katika michuano ya mabingwa ngazi ya klabu kwa bara la Afrika.

    Ni timu mbili pekee za kiarabu zilizofanikiwa kutoboa kucheza robo fainali, kwasasa timu ambayo Simba na Yanga hawatamani kukutana nayo ni Mamelod, na kwa nafasi waliokuwa nayo Simba na Yanga ni bahati tu iamue kikombe hiki kikiwaepusha nacho timu hizi za Kariakoo.

    Mamelod ndio iliyokamilika kwasasa tofauti na Al Ahly ambayo kwasasa kule mbele imekuwa timu inayokosa umakini kabisa katika kumalizia mipira. Mechi zao zote wamekuwa watengenezaji wa nafasi nyingi ila kuzitumia wanashindwa.

    Wananchi na wekundu wa Msimbazi safari zenu za nusu fainali zipo mkononi mwa kikombe cha Mamelod. Atakaye pangwa na Mamelod hiyo baba Jeni baibai. Tukutane kwenye draw ila upande wangu natabiri timu moja ya Tanzania itapewa Mamelod.

    SOMA ZAIDI: Simba vs Jwaneng Galaxy Wachezaji Hatari Ni Hawa

    simba na yanga

    1 Comment

    1. Pingback: Kama Ni Ufalme Wa Mbinguni, Chama Ameubeba Wa Duniani - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.