Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Geita Gold yampa ‘Thank You’ Staa wao Mjapan
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Geita Gold yampa ‘Thank You’ Staa wao Mjapan

    David MohamedBy David MohamedJuly 3, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Uongozi wa Geita Gold umeweka wazi timu hiyo itaachana na mastaa 10 ambao hawatokuwa tena sehemu yao msimu ujao, huku miongoni mwa waliofyekwa ni Mjapani, Shinobu Sakai ‘Shino’.

    Ofisa Mtendaji Mkuu wa timu hiyo, Simon Shija alieleza sababu kubwa ya kuachana na mastaa hao ni kutokana na kumaliza mikataba yao na kutoridhishwa na viwango vyao.

    “Kwa sasa tumewapa barua wachezaji saba lakini wengine watatu bado tunaendelea kuongea nao tena na kama tutashindwana basi nao tutawafungulia mlango wa kutokea japo hatutamani hilo kutokea.”

    Geita Gold

    Shija aliongeza moja ya mchezaji waliopo kwenye mazungumzo ya mkataba mpya ni Elias Maguri ambaye wanatamani kuendelea naye msimu ujao baada ya kuonyesha kiwango kizuri tangu ajiunge nao.

    Wachezaji waliopewa ‘Thank You’ ni; Fabrice Kayemba, Arakaza MacArthur, Shown Oduro, Mussa Gadi, Jeremiah Thomas, Daniel Lyanga aliyetua JKT Tanzania na Mjapani Shinobu Sakai ‘Shino’.

    Shinobu alijiunga na Geita Gold mwaka jana na kubeba matumaini makubwa kwenye kikosi hicho ingawa ameshindwa kupigania namba huku ikielezwa yuko mbioni kujiunga na Tokyo International ya nchini kwao.

    Kwa taarifa zaidi za usajili tufuatilie hapa.

    Geita Gold ligi kuu bara mjapan wa geita gold usajili usajili tanzania
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.