Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Geita Gold vs Simba Ni Mchezo Mwepesi Wenye Presha Kubwa
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Geita Gold vs Simba Ni Mchezo Mwepesi Wenye Presha Kubwa

    MhaririBy MhaririFebruary 12, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Wachezaji wa kikosi cha Simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ukiutazama mchezo huu ni wazi kuwa klabu ya Simba wataingia huku wakiwa na lengo kubwa moja ambalo ni kuondoka na alama 3 baada ya kupata sare mchezo uliopita dhidi ya Azam Fc na tambua kuwa bado Simba itaendelea kucheza chini ya presha inayotokana na timu ambazo zipo juu yake ambao ni Azam na Yanga na haswa ukiwaza kuhusu kwenye mbio za ubingwa wa Ligi ya NBC msimu huu.

    Katika mchezo huu ambao Geita ni mwenyeji na unachezwa katika uwanja uleule ambao Simba ametoka kupata sare ni wazi kuwa utakua ni mchezo wenye presha kutokana na jinsi mzunguko huu ulivyokua kwa klabu ya Simba na namna ambavyo hali ya msimamo wa ligi ilivyo.

    Baada ya Simba kupata sare dhidi ya Azam ni wazi kuwa kama bado wana nia ya kushinda ubingwa msimu huu basi leo ni lazima wapate matokeo ya ushindi ili kupunguza tofauti ya alama ili ibaki kama lilivyokuwa baada ya mchezo wao dhidi ya Azam.

    Ushindi wa Yanga dhidi ya Tanzania Prisons umeendelea kuongeza tofauti ya alama kati ya Simba na Yanga kutoka saba hadi 10 na hapo ufahamu kuwa Yanga inaongoza Ligi ikiwa na alama 40 wakati Simba ipo nafasi ya tatu kwa alama zake 30 lakini bado ina faida ya michezo miwili nyuma ya Yanga.

    Mchezo wa leo wa bado ni mchezo mgumu kwa Mnyama ukilinganisha na msimamo wa Ligi ulivyo lakini pia Benchikha ni kama bado anajitafuta kutengeneza timu ambayo itampa matokeo kwa misimu ijayo.

    SOMA ZAIDI: Marefa na washika vibendera mjitathmini. 

    Geita Gold simba leo
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.