Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » EPL: Pochettino apanga makocha wasaidizi mbele ya Chelsea
    Biriani la Ulaya

    EPL: Pochettino apanga makocha wasaidizi mbele ya Chelsea

    Brenda UlomiBy Brenda UlomiApril 25, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Mauricio Pochettino ataungana na watu wake wanne wa karibu ikiwa atapata kazi huko Stamford Bridge.

    Kwa mujibu wa gazeti la The Times, Pochettino atakwenda Stamford na msaidizi wake na mkuu wa masharti Jesus Perez, kocha wa kikosi cha kwanza Miguel D’Agostino, kocha wa makipa, Toni Jimenez na mwanawe, Sebastiano, mwanasayansi wa michezo.

    Perez, D’Agostino na Jimenez wamekuwa upande wa Muargentina huyo kwa muda mwingi wa kazi yake ya umeneja.

    Walikuwa naye Southampton na Tottenham na wakamfuata Paris Saint-Germain mnamo 2021.

    Muargentina huyo ameonekana kupendwa zaidi kuwa kocha mpya katika klabu ya Chelsea na inasemekana yuko kwenye mazungumzo ya juu na wamiliki wa klabu hiyo.

    Dili lake la kuchukua mikoba ya Frank Lampard linaweza kukamilika mapema wiki hii

    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 51 amekuwa bila kazi tangu kutimuliwa kwake na PSG mwaka jana.

    chelsea epl Pochettino
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.