Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Stori Mpya
Duniani kuna michezo mingi ambayo kila mchezo una mashabiki wake ingawa mengine unaweza kuwa hata huifahamu. Miongoni mwa michezo inayofahamika na yenye mashabiki wengi duniani ni…
Stade de Marrakech ni uwanja wa michezo uliopo katika mji wa Marrakech, Morocco. Uwanja huu una uwezo wa kuchukua takribani watazamaji 45,240 na unatumika hasa kwa…
Medeama walikuwa na 4-3-3 lakini walikuwa wakienda kushambulia wanakuwa 4-2-3-1 kiungo mmoja anakuwa nyuma ya straika Jonathan Sowah ambaye kulia na kushoto ana mawinga wawili ……
Mechi iliyotarajiwa kuwa nzuri lakini mwenendo wa mwamuzi uliharibu ladha nzima ya mechi! Mwamuzi alikuwa wa kiwango cha chini mno! Kila timu iliona inammudu mwenzie tu…
Wachezaji wa Forest watakuwa na ufahamu kwamba Kocha wao yuko chini ya shinikizo. Colin Fray wa BBC Radio Nottingham anaamini kwamba wachezaji wa Forest “wanayo nafasi…
Uwanja wa Baba Yara ni uwanja mkubwa wa mpira wa miguu uliopo Kumasi, mji wa pili kwa ukubwa nchini Ghana. Uwanja huo uko katika eneo la…
Medeama, wakiwa na mwenendo mzuri, wanakusudia kuwazidishia Yanga mashaka wanapotembelea Ghana siku ya Ijumaa. Yanga wameanza vibaya katika mashindano yao ya kundi, wakijikusanyia alama moja tu…
Kuelekea mchezo wa hapo baadae Medeama dhidi ya Yanga, nauona mchezo ambao Yanga watataka kuutumia ili kurejesha matumaini yao. Medeama tayari wana alama 3 huku Yanga…
Klabu ya Azam imeendelea kuonesha balaa lao katika ligi kuu Tanzania bara kwa kuwafunga klabu ya KMC Mabao 5 kwa 0. KMC walipoteza idadi kama hiyo…
Kocha wa Young Africans, Miguel Gamondi, amewataka wachezaji wake kufufua kampeni yao iliyodhoofika ya TotalEnergies CAF Champions League wakati wanaposafiri kwenda Medeama Ijumaa. Klabu hiyo kubwa…











