Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Stori Mpya
Baada mahakama ya usuluhishi barani Ulaya kuja na taarifa kuhusu European Super League ni michuano halali hivyo inaweza kuendelea kama ilivyopangwa klabu mbalimbali zimetoka hadharani kupinga…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa Uhuru , Dar Es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na…
Wakati wa kuandaa mkeka mara nyingi baadhi ya watu hushindwa kuelewa kati ya Over 1.5 na Over 2 na hujikuta wakiweka ubashiri bila ya kuelewa wanachagua…
Mchezo wa Manchester City vs Fluminense utashuhudiwa kwenye fainali ya Kombe la Dunia la Klabu ya FIFA la 20, Ijumaa Uwanja wa Michezo wa King Abdullah.…
La Liga msimu wa 2023-24 unaendelea Deportivo Alaves vs Real Madrid katika mtanange muhimu utakaochezwa Estadio Mendizorroza. Uchambuzi wa Deportivo Alaves vs Real Madrid Real Madrid…
Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Norway ‘Eliteserien’, Amahl Pellegrino anayekipiga Bodo/Glimt ni miongoni mwa wachezaji 53 walioitwa na Kocha Adel Amrouche katika kikosi cha awali cha…
Mchezo wa kutafuta nafasi ya tatu katika Kombe la Dunia la Klabu ya FIFA unawaleta pamoja Urawa Reds vs Al-Ahly. Hakuna kati ya timu hizi mbili…
Mchezo wa Premier League unarejea tena na michezo mingine wiki hii huku Sheffield United vs Aston Villa katika mtanange muhimu utakaofanyika Villa Park. Uchambuzi wa Aston…
Uongozi wa klabu ya Simba kupitia kwa Mtendaji Mkuu wa klabu umewasimamisha wachezaji Nassor Kapama na Clatous Chota Chama kutokana na vitendo vya Utovu wa nidhamu.…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia uwanja wa Ali Hasan Mwinyi ulioko Tabora kutumika katika mechi za ligi baada ya kukidhi vigezo vya kikanuni…











