Browsing: Stori Mpya

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nne Wakiwa wanaendelea kujibizana, walianza kusikia sauti ya Bi. Lugumi ikisema  “Kufaaaaa‼ kufaaaa‼” kila aliyeisikia sauti hii alianza kutetemeka huku…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya tatu Mke alipoisoma ile karatasi aligeuza macho kumtazama Mume wake kisha kwa  mshangao akamwambia  “Mume wangu unatokwa na Damu puani”…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya pili Alipiga magoti na kujiinamia huku chozi likimtoka Zahoro, yeye na Baba yake pekee  ndiyo ambao walikua wa kwanza kutambua…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya kwanza  “Baba” aliita Zahoro, Mzee Miroshi alimtazama Zahoro bila kusema chochote huku sura  yake ikionesha utayari wa kumsikia.   “Naogopa Mimi”…

Utangulizi “Fungua” Wadudu wa Usiku walikua wanalia, sauti kavu iliyojaa ubabe ilisikika ikisema  huku ikiambatana na kishindo kizito cha Kugonga Mlango.   “Mnataka nini?” Sauti iliyotoka ndani…

Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba kingine  ikisema  “Safi” wakimaanisha kuwa vyumba vyao vipo salama hapo ndipo …

Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya saba  “Naomba niongee na Shayo haraka” Alisema Rais, mara moja  Waziri Mkuu alipiga simu kwa mkuu wa kitengo cha Usalama…

Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya sita “Kama lilivyo tamu penzi lako, basi nahitaji uniambie wapi  ilipo chemba ya siri iliyohifadhi pesa za Kimarekani” Alisema  Chogo…

Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nne  “Assssh” aligumia Faudhia kutokana na maumivu ya kujigonga  kwenye meza, Mohd hakutaka kusubiri alimrushia ngumi  mfululizo, ngumi ambazo zilimpekeka…

Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nne “Na siku zote Muuwaji hawezi kuishi, ndiyo maana nilikutoa  gerezani ili uje kuitafuta haki iliyoporwa na Faudhia”  Alikazia Mzee…