Browsing: Stori Mpya

Riwaya ya Goryanah

Ilipoishia ” Jolvin alimwangalia, mtu anaeshukuru na anaeomba msamaha kampea mgongo! ” Gorii mtoto mwenye heshima, anae nidhamu, anaheshimu watu wadogo kwa wakubwa! Hii kuongea amekupea…

Riwaya ya Goryanah

Iipoishia ” Alifungua mlango Kisha akarudi kitandani, alimsikia Jolvin akimwelezea Doctor.    “” Ni tumbo la ghafra tu! Limemkamata ameteseka kweli! Nimemkuta kitandani akiweweseka kwa maumivu! Fanya…

Riwaya ya Goryanah

Ilipoishia ” Gorii hakuelewa baada ya kuona watu hawana furaha, aliwaona hata watoto wakiume wakipikicha macho yao! Ishara kunae huzuni inayowatoa machozi na yeye alianza kulia,…

Riwaya ya Goryanah

Ilipoishia “Alisimama huku akielekea chumbani Kwake! Muda huo alikuwa amefura hasira! Lakini Esau ni mtu mkubwa alielewa kipi kinamsumbua mdogo Wake, aliwaza namna ya kumsaidia japo…

Riwaya ya Goryanah

Ilipoishia ” Bibi hata usihangaike kujua kipi wanachokihitaji, Wewe kubali Mimi nikakae mbali na hii familia ya Mishoki, uone Kama Anelisa ataendelea kuleta michezo ya kijinga!…

Riwaya ya Goryanah

Ilipoishia ” Jolvin aliona aibu hata kumtizama, aliona yeye ndie chanzo Cha yote hayo! Alisimama ili atoke nje lakini Gorii alimuita akaomba chakula. Ilibidi arudi Kuna…

Riwaya ya Goryanah

Ilipoishia ” Aaah! Mamangu hawezi kuiba pesa nyingi vile! Kwanza hanaga hiyo tabia! Ndio umemtengenezea kesi Mama’ngu! Ni kwakuwa hunipendi Mimi ee? Kwakuwa ni Mama nitaenda…