Browsing: Stori Mpya

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii. Uliiona kabla haijaingia pia utaiona  ikiondoka, huwezi kunielewa kwasasa lakini nitakueleza…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya saba  Siku iliyofuata, Serikali iliongeza Watu zaidi ili kumsaidia Waziri kazi ya utafiti eneo la  tukio, sio TU wataalam kutokea…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya sita Ghafla, akajikuta ameshika kisu, mikono yake ikiwa imelowa damu. Aliangalia chini— Upendo alikuwa amelala mbele yake, kifua chake kikiwa…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya tano  Waziri akajitupa kitini huku akifumba macho yake, hakujua atamweleza vipi Rais wa  Ganza, utajiri uliopotea kwenye Kijiji cha Nzena…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nne Wakiwa wanaendelea kujibizana, walianza kusikia sauti ya Bi. Lugumi ikisema  “Kufaaaaa‼ kufaaaa‼” kila aliyeisikia sauti hii alianza kutetemeka huku…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya tatu Mke alipoisoma ile karatasi aligeuza macho kumtazama Mume wake kisha kwa  mshangao akamwambia  “Mume wangu unatokwa na Damu puani”…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya pili Alipiga magoti na kujiinamia huku chozi likimtoka Zahoro, yeye na Baba yake pekee  ndiyo ambao walikua wa kwanza kutambua…

Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya kwanza  “Baba” aliita Zahoro, Mzee Miroshi alimtazama Zahoro bila kusema chochote huku sura  yake ikionesha utayari wa kumsikia.   “Naogopa Mimi”…

Utangulizi “Fungua” Wadudu wa Usiku walikua wanalia, sauti kavu iliyojaa ubabe ilisikika ikisema  huku ikiambatana na kishindo kizito cha Kugonga Mlango.   “Mnataka nini?” Sauti iliyotoka ndani…

Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba kingine  ikisema  “Safi” wakimaanisha kuwa vyumba vyao vipo salama hapo ndipo …