Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Bruno Gomes amwagiwa sifa kedekede, Singida Kumbakiza
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Bruno Gomes amwagiwa sifa kedekede, Singida Kumbakiza

    David MohamedBy David MohamedJune 14, 2023No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kocha wa Singida Fountain Gates FC (Zamani Singida Big Stars), Hans van der Pluijm amemwagia sifa kiungo wake, Bruno Gomes raia wa Brazil kwa kusema licha ya ugeni wake Tanzania na Afrika amethibitisha ubora kiasi cha kumezewa mate na klabu za Simba na Yanga.

    Mara baada ya msimu kumalizika Pluijm alimtaja kiungo huyo kuwa ndiye mchezaji wake bora kwenye kikosi chake cha Singida BS ambacho kinatiketi ya msimu ujao kushiriki michuano ya kimataifa kufuatia kumaliza ndani ya nafasi nne za juu.

    Pluijm anakiri kikosi chake kuwa na wachezaji wengi wazuri ambao wamefanya kazi kubwa kwa msimu uliopita lakini Bruno Gomes alifanya zaidi ya kawaida.

    “Unajua hii ni mara yake ya kwanza kucheza Afrika, hakuwa akijua aina yetu ya mpira  ulivyo lakini ameweza kuendana na sisi na kutupa kilicho bora,”

    “Wapo wachezaji wengi ambao wamekuwa wakija Afrika lakini utofauti na mazingira huwafanya kuhitaji muda wa kuzoea, ila Bruno amekuwa akizoea bila ya kuathiri utendaji wake, ” alisema Pluijm.

    Kocha huyo wa zamani wa Yanga na Azam FC aliendelea kumuongelea kwa kusema,”Naamini kuwa bado yupo na vitu vingi vya kutuonyesha, ni kati ya wachezaji ambao wamekuwa na mchango mkubwa kwenye timu.”

    Bruno Gomes ambaye ni mfungaji bora wa Singida BS akiwa na mabao 10 kabla ya kuja Tanzania na Afrika ambapo hii ni mara yake ya kwanza, alikuwa akiichezea River Atletico ya nchini kwao, Brazil.

    Kwa taarifa zaidi za michezo, tufuatilie hapa.

    Azam bruno gomes ligi kuu bara pluijm Simba Singida singida big stars singida fountain gates fc singida yauzwa yanga
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 23, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii.…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-06

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.