Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Azam Kukosa Ubingwa Ligi Kuu Ni Suala La Kibiashara?
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Azam Kukosa Ubingwa Ligi Kuu Ni Suala La Kibiashara?

    MhaririBy MhaririMay 23, 2024Updated:May 23, 2024No Comments2 Mins Read3K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Wachezaji wa AZAM FC
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Swali langu ni dogo sana kuhusu Azam FC kukosa ubingwa wa Ligi Kuu. Kama tunaitazama Azam FC haina mvuto kwa upande wa KIBIASHARA Sasa hua tunatumiaga vigezo vipi kuwalaumu wanaposhindwa kuchukua ubingwa?

    Si hua tunatoka mbele kwenye mike na kuandika sana makala nyingi tukionyesha kuchukizwa ni kwanini Azam na utajiri walionao wanashindwaje kuwa Mabingwa wa Ligi yetu. Leo imetokea anashindana kuisaka nafasi ya pili tayari tunaanza kuzitafuta sababu kuwa, KIBIASHARA hana mvuto.

    Jamani siku tutakapoamua kuuweka kando mpira BANDIA, mpira MCHONGO ndio siku hiyo hiyo mpira wetu utapaa zaidi na katika nimegundua kitu, kumbe hata kule kimataifa uwezo wa kuchukua ubingwa tunao sema kuna sehemu hakupo sawa, hili neno wachache sana watanielewa.

    Kitu siombei tena sitaki itokee huko mbele isije ikatokea mtindo kama wewe ni shabiki wa Yanga SC basi hupaswi kufanya kazi kituo Fulani cha Radio au kama ni Simba SC ofisi hii huajiriki. Hiki kitu naomba sana kisije kutokea maana tutagawanyika makundi makundi. Leo Tanzania wameibuka watu wachache ambao siyo watu wa mpira kazi yao ni kupotosha umma wazi wazi kisa tu ana Followers wengi na anaaminiwa,

    Hii ni hatari sana kwa afya ya mpira wetu. Mtu amekuja kwa kimvuli ni shabiki wa Yanga au Simba, hajui mpira yeye ni mtu mpotoshaji mtu wa chuki Sasa watu wa aina hii tusipowakemea mapema tunakoelekea siyo kuzuri. Mpira umebeba maisha ya watu wengi kwani kitu kinachoweza kubeba hisia ni roho kamili.

    Njoo Tujadiliane Zaidi Nipo Kijiweni SHAFFIH DAUDA VS ZAKA ZAKAZI NANI YUKO SAHIHI? 

    Njoo Usome Riwaya Za Kijiweni Sasa HADITHI ZA KIJIWENI

    azam fc azam vs yanga
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.