Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Author: Kaka Mkubwa
Ilipoishia “Lakini Mosses mbona hukuniambia kama unafungua Biashara? Unafikiria ndani ya huo mwezi Mimi na Mama tutakuwa tunaishi wapi?” Nilimuuliza Mosses “Sasa Jacklin unafikiria pesa inahifadhiwa…
Ilipoishia “Umenisaliti eeh?” Aliuliza Mosses kama kawaida yake alikuwa na tabia ya wivu sana “Siwezi kukusaliti Mosses, unanijuwa vizuri. Sina ujanja kwako” nilisema lakini bila kumaanisha…
Ilipoishia “Lakini sikushauri kabisa kwenda huko Mzee Kwasasa yupo Macho angalau anajisikia vizuri mgesubiria kidogo basi” alisema Dokta Simon “Mimi ni Baba yake Osman, najuwa nini…
Ilipoishia “Ndiyo! Unapaswa kukubali kuolewa na Osman ili apone na afanyiwe upasuaji wa kupandikiza figo” Mama alirudia kauli yake, akili yangu ilihama na kumuwaza Mosses, maneno …
Ilipoishia “Unaweza ukapata figo, ukapata kila kitu lakini huwezi kuuondoa mfadhahiko alionao Mwanao. Kitu cha kwanza ni kumuondolea mfadhahiko Osman ili kumuandaa kwa ajili ya upasuaji…
Ilipoishia “Yote yaliyo mema, mazuri na yenye uelekeo mzuri zaidi, muda siyo mrefu maono yangu yatadhihirika” Sikutaka kuendelea kumuuliza, nilimwambia “Sawa Mama nasubiria hayo Mema, nipo…
Ilipoishia “Sikia Dokta Simon, naomba hili jambo liwe siri Baina yetu. Baba yangu asijuwe chochote wakati ambao tunatafuta Figo kwa ajili ya kunipandikiza” Alisema Osman “Naweza…
Ilipoishia “Usijali Jacklin nipo kwa ajili yako mara zote” alisema Mosses na kunifanya nitabasamu kwa uchovu, shughuli ilikuwa pevu na vile nimetoka kuumwa basi nilichoka sana…
Ilipoishia “Alipotoka Hospitalini Osman alikuwa mwenye mawazo na maumivu makali sana, alipigiwa simu na Wazazi wake na kumtaka aachane na mpango wa kutaka kutoa figo kwani…
Ilipoishia “Yaani Mama kisa tu ana hela basi umechanganikiwa kiasi hicho, kweli umasikini mbaya sana Mama, ila usijali siku siyo nyingi nitaanza kazi nitakufanyia kila kitu,…