Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Author: Mhariri
Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA) limetangaza rasmi tarehe ya kuanza kwa mashindano ya kombe la dunia ka upande wa klabu (FIFA CLUB WORLD CUP)…
Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo imewasilisha malalamiko rasmi kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na kuwataka klabu ya Yanga kugharamia uharibifu uliofanyika uwanja…
Ukizungumzia miundombinu ya michezo basi huwezi kuacha kutaja Bara la Afrika kwani lina viwanja vikubwa kadhaa ambavyo huvutia idadi kubwa ya watazamaji pale yanapofanyika matukio mbalimbali…
Plan ya Simba SC ilikuwa inafanya kazi vizuri sana hasa bila mpira dhidi ya Wydad . 1: Muundo wa 4-5-1 bila mpira , na kwanini walitumia…
Kiungo wa klabu ya Simba, Sadio Kanoute ataukosa mchezo wa marudiano wa hatua ya makundi ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Wydad Athletic Club. Kanoute ataukosa…
Kuelekea msimu mpya wa ligi kuu ya wanawake Tanzania Bara, michuano ya ngao ya jamii ambayo msimu huu imekuja kwa muundo wa vilabu 4 kukutana hatua…
Duniani kuna michezo mingi ambayo kila mchezo una mashabiki wake ingawa mengine unaweza kuwa hata huifahamu. Miongoni mwa michezo inayofahamika na yenye mashabiki wengi duniani ni…
Stade de Marrakech ni uwanja wa michezo uliopo katika mji wa Marrakech, Morocco. Uwanja huu una uwezo wa kuchukua takribani watazamaji 45,240 na unatumika hasa kwa…
Medeama walikuwa na 4-3-3 lakini walikuwa wakienda kushambulia wanakuwa 4-2-3-1 kiungo mmoja anakuwa nyuma ya straika Jonathan Sowah ambaye kulia na kushoto ana mawinga wawili ……
Mechi iliyotarajiwa kuwa nzuri lakini mwenendo wa mwamuzi uliharibu ladha nzima ya mechi! Mwamuzi alikuwa wa kiwango cha chini mno! Kila timu iliona inammudu mwenzie tu…










