Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Author: Mhariri
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa Uhuru , Dar Es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na…
Wakati wa kuandaa mkeka mara nyingi baadhi ya watu hushindwa kuelewa kati ya Over 1.5 na Over 2 na hujikuta wakiweka ubashiri bila ya kuelewa wanachagua…
Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Norway ‘Eliteserien’, Amahl Pellegrino anayekipiga Bodo/Glimt ni miongoni mwa wachezaji 53 walioitwa na Kocha Adel Amrouche katika kikosi cha awali cha…
Uongozi wa klabu ya Simba kupitia kwa Mtendaji Mkuu wa klabu umewasimamisha wachezaji Nassor Kapama na Clatous Chota Chama kutokana na vitendo vya Utovu wa nidhamu.…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia uwanja wa Ali Hasan Mwinyi ulioko Tabora kutumika katika mechi za ligi baada ya kukidhi vigezo vya kikanuni…
Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara imeanza rasmi huku mabingwa watetezi, JKT Queens na washindani wao wa karibu, Simba Queens wakianza kwa kugawa dozi nzito. Timu…
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Adel Amrouche ameteua wachezaji 53 kwa ajili ya kikosi cha awali cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa…
Mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliowakutanisha mabingwa watetezi Yanga SC, umemalizika kwa Yanga kuendeleza ubabe katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi…
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia amesema kuwa wamepokea mashine za VAR zitakazotumika kuratibu soka la Tanzania Bara kutoka Shirikisho la…
Michuano ya kombe la mataifa barani Afrika kwa mwaka2023 inatarajiwa kuanza kutimua vumbi January 12 nchini Ivory Coast huku mataifa 24 yaliyofuzu yakishiriki katika mashindano hayo.…










