Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Author: Mhariri
Hii leo katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza Tottenham Hotspur atakua na kibarua dhidi ya Bournemouth mchezo utakaopigwa katika uwanja wa Tottenham. Mchezo huu unawakutanisha…
Karibu sana tutazame uchambuzi na vidokezo vya ubashiri katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza hii leo utakaowakutanisha Fulham dhidi ya Arsenal mchezo utakaopigwa katika dimba…
Ligi Kuu ya NBC imesimama kwa takribani wiki tatu kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza leo Visiwani Zanzibar. Wakati Ligi ikiwa imesimama tayari klabu ya…
Kila mtu ana namna yake ya kuweka mkeka wake wa uhakika lakini hii leo tutazame option ambazo zitakupa pesa chap kwenye mkeka wako lakini kumbuka kuwa…
Karibu sana tutazame utabiri wa Mkeka Wa AFCON kutoka Kijiweni ambao tumekuandalia kutoka katika mechi mbalimbali zitakazoanza na hapa tutakuwekea mechi za ushindi wa moja kwa…
Klabu ya soka ya Kagera Sugar kutoka mkoani Kagera imetangaza rasmi kuachana na Kocha Mkuu Meck Maxime pamoja na kocha wa viungo Francis Mkanula. Kupitia taarifa…
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imesema imepokea taarifa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ya kuufungia uwanja wa Uhuru kutotumiwa katika michezo inayoendelea…
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeahirisha michezo saba ya Ligi Kuu ya NBC ili kupisha mchezo kati ya timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes)…
BAADA ya kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, uliochezwa Desemba 20, Medeama ya Ghana…
Baada mahakama ya usuluhishi barani Ulaya kuja na taarifa kuhusu European Super League ni michuano halali hivyo inaweza kuendelea kama ilivyopangwa klabu mbalimbali zimetoka hadharani kupinga…










