Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Asec vs Simba Sio Mechi Ya Kawaida , Ni Vita Ngumu Sana
    Africa | CAF

    Asec vs Simba Sio Mechi Ya Kawaida , Ni Vita Ngumu Sana

    MhaririBy MhaririFebruary 23, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Kikosi cha Asec Mimosas
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Mwanzo ilionekana kama Asec dhidi ya Simba ni mechi ya kawaida na haitakuwa ngumu kiasi hicho kwa sababu tayari Asec Mimosa ameshafuzu hatua ya Robo fainali lakini si hivyo tena.

    Michuano kama hii ambayo huwa inaoneshwa na vyombo vingi vya habari  wachezaji hujituma na kuhakikisha kuwa wanaonesha viwango vyao ili waweze kuonekana na mawakala wakubwa ambao huamini kuwa Afrika kuna vipaji vikubwa sana.

    Tunaona namna ambavyo wachezaji wengi wa ASEC MIMOSAS lakini pia hata wa klabu ya Simba ambao kupitia michuano hii wamekua wakipata ofa kutoka klabu nyingi za nje ya nchi ambazo wanachezea soka lao la klabu kwa ujumla.

    Ni njia ambayo pia vilabu hutumia kufanya biashara za wachezaji na kuwafaidisha kwa ujumla na kuiongezea klabu mapato ni kama ambavyo Simba ilivyomuuza Chama kabla hajarudi au kama ambavyo Asec hufanya kwa ukubwa sana katika biashara hii kwa bara la Afrika.

    Sitegemei kuona wachezaji wa timu zote wakicheza mchezo wa kawaida sana zaidi ya kasi kwa sababu ni mechi muhimu kwa timu zote mbili kwanza Simba anataka kujiwekea nafasi nzuri ya kufuzu robo fainali lakini pia kwa Asec wao wanataka kumaliza vinara ili wasikutane na vigogo ambao mara nyingi humaliza vinara wa kundi ili wakutane na timu zilishokia nafasi ya pili.

    SOMA ZAIDI: Vita Ya Mbinu Itakavyoamua Asec Mimosas vs Simba Sc

    asec mimosas chama simba habari za simba

    1 Comment

    1. Pingback: Naamini Kuwa Medeama Ndio Msaada Mkubwa Kwa Yanga - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.