Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » AL-Ittihad Yaanza Vyema Kombe La Dunia
    Kombe la Dunia

    AL-Ittihad Yaanza Vyema Kombe La Dunia

    MhaririBy MhaririDecember 13, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Karim Benzema Kutoka AL-Ittihad
    Mchezaji wa Al Ittihad Karim Benzema akishangilia katika moja ya mechi aliyofunga. moja ya mabao
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Klabu ya soka kutoka nchini Saudi Arabia Al Ittihad imeanza vyema kampeni zake za kuchukua ubingwa wa kombe la dunia upande wa klabu kwa kumchapa Auckland mabao 3:0.

    Katika mchezo huo mabao hayo yalifungwa na Romarinho dakika ya 29 ya mchezo , Kante akifunga goli dakika ya 34 pamoja na kapteni wa timu Benzema ambaye amefunga dakika ya 40 ya mchezo na kuutamatisha mchezo kwa bao 3:0.

    Katika kikosi cha sasa cha Al-Ittihad apo wachezaji ambao washawahi kuchukua ubingwa wa klabu bingwa ya dunia na miongoni mwao ni pamoja na Ngolo Kante ambaye alichukua akiwa anaitumikia Chelsea lakini pia Karim Benzema akiwa anaitumikia Real Madrid pamoja na Fabinho wakati anaitumikia Liverpool.

    Katika mchezo huo Ngolo Kante ameibuka mchezaji bora wa mechi. Katika muendelezo wa michezo hiyo ratiba kamili ni kuwa Club Leon atacheza dhidi ya Urawa Red Diamonds huku Al Ahly yeye akimsubiria mshindi wa mechi ya kwanza ambaye ni Al Ittihad.

    Unaweza kuendelea kusoma zaidi taarifa zetu kwa kubonyeza hapa.

    Al-Ittihad fifa club world cup 2023
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.