Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    In the name of LOVE – 12

    In the name of LOVE – 11

    In the name of LOVE – 10

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home ยป Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-05
    Hadithi

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-05

    Kaka MkubwaBy Kaka MkubwaJuly 17, 2025Updated:July 23, 202576 Comments8 Mins Read3K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nne

    Wakiwa wanaendelea kujibizana, walianza kusikia sauti ya Bi. Lugumi ikisemaย 

    โ€œKufaaaaaโ€ผ kufaaaaโ€ผโ€ kila aliyeisikia sauti hii alianza kutetemeka huku damu nzitoย  ikimtoka puani kisha walikufa papo hapo, hali ya taharuki iliingia na kufanya kilaย  mmoja atawanyike anakokujua yeye mwenyewe. Sauti ya Bibi Lugumi ilizidi kusambaa,ย  ilikua ni sauti ya kunongโ€™ona iliyotoka kwa kuivuta sana.ย 

    SEHEMU YA TANO

    Kelele za Wanakijiji ziliwashtua Mzee Miroshi na Zahoro wakiwa wamefungiwa ndani yaย  chumba kimoja nyumbani kwa Mzee Kova, Zahoro akamwambia Baba yakeย 

    โ€œNi lazima tujiokoe kutoka hapa Babaโ€ alisema kisha alitafuta kitu kitakachomsaidiaย  kuuvunja ule Mlango, macho yake makubwa yalikiona kipanda cha mbao kilichokuaย  kimeegemezwa ukutani, akakichukua. Kilikua ni kipande kilichotokana na fanicha zaย ย 

    zamani, haraka akasogea mlangoni huku akimtazama Baba yake Mzee Miroshi ambayeย  tayari alikua ameshaishiwa nguvu huku akitoa hewa nzitoย 

    โ€œBaba usijali tutatoka salama Hapaโ€ alisema Zahoro, kisha alimsogeza kando Baba yakeย  ili atakapouvunja mlango Baba yake asiathirwe na vipande vitakavyoruka. Akavutaย  nguvu kisha akaukita mlango kwa kutumia kipande cha mbao, mlango ukatikisikaย 

    Kelele zilizoendelea kusikika huko nje zilimpa nguvu Zahoro ya kuendelea kuuvunjaย  Mlango ili waondoke kifungoni. Hapakua na Mlinzi hapo nje kwasababu taharukiย  ilikuwa imewasomba wote na kuiacha nyumba hiyo yenyewe.ย 

    Zahoro aliendelea kugonga mlango kwa nguvu zaidi, kila pigo liliufanya mlangoย  kudhoofika. Jasho lilimtoka huku mikono yake ikianza kuuma, lakini hakuacha. Alijuaย  kuwa muda ulikuwa hauko upande wao. Baada ya mapigo kadhaa, mlango ulianzaย  kulegea na hatimaye kupasuka vipande vipande. Haraka akamshika baba yake mkonoย  na kumsaidia kusimama.ย 

    โ€œTwende Baba, hatuna muda!โ€ alisema kwa sauti ya dharura. Zahoro alimsaidia Babaย  yake kutoka ndani ya chumba kisha wote walisimama huku macho yao yakijawa naย  Mshangao. Moshi mkubwa ulikua ukifuka Kijijini, Mlinzi mmoja wa kijiji ambayeย  aliachwa kwa ajili ya kuwalinda walimkuta akiwa amelala chini huku Damu nzitoย  ikimtoka puani na Mdomoni.ย 

    Mzee Miroshi aligeuza shingo yake kwa uchovu akimtazama Zahoro ambaye aliguswa naย  Mtazamo wa Baba yake, macho yao yalipokutana kila mmoja alisubiria kusikia kutokaย  kwa mwenzake. Ghafla sauti ya muito wa simu ilisikika kutoka kwenye mfuko wa surualiย  wa Zahoro.ย 

    Mzee Miroshi alikaza macho ya Mshangao, hakuwahi kumwona Zahoro akiwa na simuย  hata siku moja. Zahoro alipepesa macho taratibu kumwonesha Baba yake kua alikuaย  akiitumia simu hiyo kisiri, haraka aliitoa kutoka mfuko wa siri maarufu kama โ€˜Docho’

    Ilikuwa ni simu ndogo sana. Mzee Miroshi akampa ishara Zahoro aipokee haraka โ€“ pengine wangepata msaada wa kutoka hapo kijijini. Zahoro aliweka simu sikioni, lakiniย  kabla hajaongea chochote, alishtuka kuona kivuli kikisogea mbele yake.ย 

    Mzee Kova alikuwa amesimama hapo, uso wake ukiwa na uamuzi usiotikisika. Mikonoย  yake ilikuwa thabiti, ikishikilia bunduki aina ya Gobole, ambayo sasa ilikuwaย  imeelekezwa moja kwa moja kwa Zahoro.ย 

    โ€œUsithubutu kuendelea,โ€ Mzee Kova alisema kwa sauti nzito, yenye mamlaka.ย 

    Zahoro alihisi mgongo wake ukilowa jasho, lakini akajitahidi kutokupoteza mwelekeo.ย  Akatazama moja kwa moja machoni mwa Mzee Kova, akijaribu kutafuta dalili yoyote yaย  huruma. โ€œMzee Kova, hatutaki matatizo. Tunajaribu tu kuondoka hapa,โ€ alisema kwaย  sauti tulivu lakini thabiti.ย 

    Mzee Kova hakutikisika. โ€œHamna pa kwenda. Mnafikiria mnaweza kutoroka baada yaย  yote yaliyotokea?โ€ aliuliza huku akiimarisha mshiko wake kwenye Gobole.ย 

    Mzee Miroshi aliyekuwa kimya muda wote, alisogea mbele kidogo, akiinua mkono wakeย  kwa ishara ya utulivu. โ€œMzee Kova, umetufahamu kwa miaka mingi. Unajua kuwa sisi siย  maadui zako. Tafadhali, tuache tuondoke.โ€ย 

    Mzee Kova akahamaki huku akihisi pengine Mzee Miroshi alikua anapanga njama yaย  kumzubaisha ili waondoke, akaikaza Gobole huku kidole kikiwa tayari kufyatua risasi,ย  akawa anaiamisha Bunduki kutoka kwa Zahoro kuelekea kwa Mzee Kovaย 

    โ€œNipatie hiyo simu vinginevyo nitamuuwa Baba yakoโ€ alisema Mzee Kova kwa sautiย  iliyoashiria muda wowote anaweza kutenda ikiwa mzaha utatokea. Kwa jinsi Zahoroย  anavyompenda Baba yake, alimpatia ile simu Mzee Kova ambaye alikua makini sana.ย 

    Akamuuliza Zahoroย 

    โ€œHakuna simu inayofanya kazi hapa Kijijini, simu yako imewezaje kuita?โ€ Zahoroย  alijawa na hofu huku akitetemeka. Jasho la mgongo lilikua likimvujaย 

    โ€œMzee Kova, Kijana wangu si adui yako. Alikua Mdogo wakati ule, tafadhari sanaย  hurumia Maisha yakeโ€ alisema Mzee Miroshi, akapigwa na Mdomo wa goboleย  akaanguka chini.ย ย 

    โ€œHii Biashara haikuhusu kabisa Miroshi, kaa kimya.โ€ Kisha akamgeukia Zahoro,ย  akakaza Mikono yake kwenye Gobole huku akimtazama kwa jicho kali.ย 

    โ€œWewe kosa lako ni kuona laana ikiwa inaingia, nina uhakika unajua njia ya kutoka hapaย  Kijijiniโ€ alisema Mzee Kova, kelele za WanaKijiji ziliendelea kuongezeka, vilio na Moshiย  viliendelea kujaza taharuki.

    Sauti ya Bibi Lugumi ilikua ikiendelea kusikika taratibu ikija nyumbani kwa Mzee Kova,ย  kila mmoja aliisikia sauti hiyo, ni sauti nyemelezi isiyo na kelele. Sauti ya kunongโ€™onaย  inayouwa Mamia ya Wanakijiji wa Kijiji cha Nzena. Mzee Kova akataka kufanya harakaย  ili sasa Zahoro aseme njia ya kutoka hapo Kijijini ili awe salama na Laana ambayo yeyeย  ndiye aliyeisababisha kwa kumuuwa Masumbuko.ย 

    Zahoro alikua kimya akiisikia sauti hiyo iliyokua ikikaribia hapo, sauti hii ni ile sautiย  aliyoisikia ndotoni. Ni sauti iliyomsumbua, hakutaka kuisikia. Akaziba masikio yakeย 

    โ€œHutaki kusema si ndiyo? Sasa nakuuwaโ€ akasema Mzee Kova, kitendo bila kuchelewa Mzee Miroshi akaivuta Miguu ya Mzee Kova ili Zahoro akimbie. Mzee Kova akaanguka,ย  Gobole lake ikadondokea pembeni.ย 

    Ghafla wote wakasimama huku wakiangalia juu, kitendo kilichomshangaza sana Zahoro,ย  akajiuliza maswali mengi huku akiwa ameziba masikio yake. Akashuhudia Damuย  zikianza kuwatoka. Hata dakika moja haikufika, walianguka chini na kuanzaย  kutapatapa. Kwa macho yake Zahoro alishuhudia kivuli chenye taswira ya Bibi Lugumiย  aliyemwona ndotoni, alikua akitabasamu huku akiongea maneno yake ambayo Zahoroย  hakutaka kuyasikia kabisaย 

    Macho yalimtoka pima Zahoro, alirudi nyuma huku akijibamiza ukutani. Alihisi haliย  isiyo ya kawaida, mwili ulikua mzito akitokwa na jasho jingi huku kile kivuli kikimtakaย  Zahoro atoe mikono yake Masikioni aisikie ile sauti ya ajabu inayouwa. Zahoro hakutakaย  kuisikia ile sauti hivyo alijitahidi sana kupambanaย 

    Kadili kivuli kilivyosogea ndivyo ambavyo alikua akipata maumivu makali ya kichwa,ย  mwisho alipiga kelele yenye sauti kali ya kugumia. Pale pale alipoteza fahamu zake naย  kuanguka chini kama mzigo.ย 

    ***ย 

    Nje Ya Kijiji.ย 

    Magari ya Ulinzi na Usalama yalikua eneo ambalo Kijiji cha Nzena kilikuwepo kabla yaย  kutoweka kwake. Bado ilibakia kua simulizi ya kushangaza kwa wengi. Waziri waย  Maliasili alikua akifikiria kwa kina ni sayansi ya aina gani ambayo imekipoteza Kijijiย  kilichobeba rasilimali kubwa ya Madini, wafanya Biashara na wamiliki wa Migodiย  walikua wamepotelea humo.ย 

    Simu zilikua hazipatikani, akasogea kwa mmoja wa washauri wake akamwulizaย 

    โ€œHaihusiani na Uchawi?โ€ aliuliza kwa sauti ambayo ilionesha wazi kuwa alikosa majibuย  ya kawaida. Aliongea akiwa anapandisha suruali yake nyeusi, akaweka koti lake vizuri.ย  Huku nje ilikua ni saa Mbili asubuhi, jua lilikua limechomoza vyema sasa.ย 

    โ€œMh! Hili jambo ni gumu sana kulipatia majibu ya haraka, kupotea kwa Kijiji ni hadithiย  za kwenye vitabu vya kale lakini leo tumeshuhudia hili jambo la kushangazaโ€ alijibuย  Mshauri wa Waziri, akaweka mawani yake vizuri halafu akaendeleaย 

    โ€œPengine tunaweza kupata Majibu kwa njia hiyo, hebu tuifanyie kaziโ€ alisema, harakaย  Waziri akamjibu kwa sauti ya kishindo

    โ€œAtafutwe na afichwe kwa siri ili hili jambo liwe siri baina yetu.โ€ย ย 

    โ€œOndoa shaka Mkuuโ€ akasema kisha akapiga simu mahali ili kuhitaji Mganga waย  Kienyeji mwenye uwezo Mkubwa sana wa kuangalia mambo yasiyoonekana kwa machoย  ya kawaida.ย ย 

    Ilichukua takribani masaa mawili hadi kumpata na kumfikisha kwenye gari ya Waziri waย  Maliasili. Gari hiyo ilikua kubwa yenye nafasi ya kutosha, Mganga akaelezwa ni jamboย  gani aliloitiwa hapo.ย 

    Yule Mganga akacheka kidogo kama ilivyo kawaida ya waganga, kisha akatulia naย  kuwaambiaย 

    โ€œNiliona kuhusu Kijiji hiki, hakipo. Kukiona ni Mjaaliwaโ€ alisema kwa kujiamini, kwaย  sauti ya upole sana iliyojaa huzuni. Waziri akashtuka kisha akamwulizaย 

    โ€œUnamaanisha nini?โ€ alihoji akiwa ameshupaza shingo yake huku makunyanzi yakiwaย  yamefunga uso wake. Mganga akameza mate kidogo halafu akasemaย 

    โ€œKijiji hiki, kimepokea laana ya Miaka mingi kwa kifo cha Kijana Masumbuko aliyekuaย  mlemavu wa ngozi. Tangu hapo Bibi yake alikilaani Kijiji hiki kisha alijichoma Moto naย  kufa, sasa ile laana imekifanya Kijiji hiki kupotelea kuzimu. Laiti kama mgepata japoย  nafasi ya kusikia sauti za vilio, mateso na maumivu wanayo kutana nayo mgelia machoziย  ya Damu.โ€ Alisema kisha alisikitika kwa kichwa chakeย 

    โ€œHakuna anayeweza kwenda huko wala kutoka huko. Historia itafutika, Kijiji cha Nzenaย  kimeshapotea. Msihangaike sababu hakuna atakayetoka hai na kurudi Dunianiโ€ย  alisema, Waziri na Mshauri wake walitazamana. Walielezwa kila kitu na hawakuwa naย  swali lolote lile, Mganga akarudishwa walipomtoa.ย 

    Ukimya ukatawala, kila mmoja alikaa kimya baada ya kujua kuwa hakuna chochoteย  wanachoweza kukifanya ili kukipata Kijiji hicho tajiri. Agizo la Rais lilikua niย  kuhakikisha wanapata ufumbuzi wa Kisayansi lakini hadi muda huo Sayansi haikutoaย  majibu, majibu pekee ambayo waliyapata ni ya kiganga.ย 

    Waziri akajitupa kitini huku akifumba macho yake, hakujua atamweleza vipi Rais waย  Ganza, utajiri uliopotea kwenye Kijiji cha Nzena ni utajiri mwingi sana wa Madini.ย 

    Mara mlango wa gari ulifunguliwa haraka sana, Waziri na Mshauri walishtuka. Mtuย  mmoja kutoka kwenye timu yake alikuja ghafla na kumwambia kua kuna Mtu kutokaย  Kijiji cha Nzena amepiga simu. Macho yalimtoka Waziri wa Maliasili, ingewezekanajeย  kua simu itoke kuzimu? Alikua kama Mtu aliyezinduliwa kutoka usingizi wa Pono,ย  akatupa swali moja ngangariย 

    โ€œUnasemaje?โ€ย ย 

    Nini Kitaendelea? Usikose SEHEMU YA TATU Hapa Hapa Kijiweni

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapaย 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896ย 

    riwaya riwaya mpya riwaya za kusoma mtandaoni

    76 Comments

    1. Kingmbinga on July 17, 2025 5:29 pm

      Good job ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

      Reply
      • Yudra on July 17, 2025 5:53 pm

        Tamu

        Reply
    2. Eunice Timba on July 17, 2025 5:55 pm

      Aloooooo hii mambo ni ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅAfu nikukumbushe ni sehemu ya Sita ndo inafata na si sehemu ya tatu kama ulivosema

      Reply
    3. G shirima on July 17, 2025 6:19 pm

      Bonge la move

      Reply
    4. Maestro05 on July 17, 2025 8:00 pm

      Simulizi nzuri Sana sema imekuwa fupi

      Reply
    5. Karim on July 18, 2025 10:12 am

      Mbna kama zahoro atapona๐Ÿค”

      Reply
    6. [email protected] on July 18, 2025 8:47 pm

      Good story

      Reply
    7. Shelby4467 on July 19, 2025 5:02 pm

      Boost your income effortlesslyโ€”join our affiliate network now! https://shorturl.fm/m2tJf

      Reply
    8. Cameron878 on July 19, 2025 7:53 pm

      Drive sales, earn bigโ€”enroll in our affiliate program! https://shorturl.fm/xYLqR

      Reply
    9. Ada2323 on July 21, 2025 6:12 am

      https://shorturl.fm/UdQFq

      Reply
    10. Zane601 on July 21, 2025 6:33 am

      https://shorturl.fm/1eb7S

      Reply
    11. Eleanor1932 on July 21, 2025 9:19 am

      https://shorturl.fm/gUgcb

      Reply
    12. Dallas312 on July 21, 2025 5:09 pm

      https://shorturl.fm/RHot4

      Reply
    13. Mia1531 on July 21, 2025 8:06 pm

      https://shorturl.fm/u2mR6

      Reply
    14. Coraline3817 on July 21, 2025 9:18 pm

      https://shorturl.fm/6Ij8t

      Reply
    15. Kathryn3363 on July 22, 2025 1:46 am

      https://shorturl.fm/n18PQ

      Reply
    16. Asia1406 on July 22, 2025 2:55 pm

      https://shorturl.fm/lLCPQ

      Reply
    17. Geoffrey2867 on July 23, 2025 2:53 pm

      https://shorturl.fm/VDFz4

      Reply
    18. Felix2154 on July 23, 2025 4:50 pm

      https://shorturl.fm/YSHok

      Reply
    19. Levi4990 on July 24, 2025 7:52 pm

      https://shorturl.fm/qMyW8

      Reply
    20. Chad2680 on July 24, 2025 10:46 pm

      https://shorturl.fm/QPd5u

      Reply
    21. Jill4614 on July 24, 2025 11:08 pm

      https://shorturl.fm/8z1AV

      Reply
    22. Alberto2683 on July 25, 2025 4:20 am

      https://shorturl.fm/mU0Th

      Reply
    23. Gage1724 on July 25, 2025 12:54 pm

      https://shorturl.fm/o6Pa2

      Reply
    24. Roger222 on July 25, 2025 2:39 pm

      https://shorturl.fm/W8CvZ

      Reply
    25. Loren4904 on July 25, 2025 3:13 pm

      https://shorturl.fm/DZT98

      Reply
    26. Brandi3566 on July 25, 2025 4:06 pm

      https://shorturl.fm/dun6S

      Reply
    27. Bethany199 on July 26, 2025 5:16 am

      https://shorturl.fm/sYo2L

      Reply
    28. Clarence5000 on July 26, 2025 11:48 pm

      https://shorturl.fm/45riq

      Reply
    29. Amy532 on July 27, 2025 1:28 am

      https://shorturl.fm/ibdka

      Reply
    30. Alejandro3226 on July 27, 2025 1:43 am

      https://shorturl.fm/QpYwV

      Reply
    31. Jim1211 on July 27, 2025 8:35 pm

      https://shorturl.fm/93dBl

      Reply
    32. Weston3537 on July 28, 2025 1:33 am

      https://shorturl.fm/BZcIn

      Reply
    33. Camryn3915 on July 28, 2025 6:14 am

      https://shorturl.fm/i5ly7

      Reply
    34. Paisley1250 on July 28, 2025 10:00 am

      https://shorturl.fm/ptVVr

      Reply
    35. Christina2132 on July 28, 2025 11:04 am

      https://shorturl.fm/LbsZr

      Reply
    36. Clarence537 on July 28, 2025 12:15 pm

      https://shorturl.fm/yhxOF

      Reply
    37. Catherine736 on July 28, 2025 12:53 pm

      https://shorturl.fm/6o3Jf

      Reply
    38. Roger4037 on July 28, 2025 10:02 pm

      https://shorturl.fm/rB0xk

      Reply
    39. Arabella773 on July 29, 2025 4:44 am

      https://shorturl.fm/fEb6q

      Reply
    40. Aisha4959 on July 29, 2025 6:17 am

      https://shorturl.fm/kCC0O

      Reply
    41. Nicole1954 on July 29, 2025 11:42 am

      https://shorturl.fm/NR2u3

      Reply
    42. Carolina2009 on July 29, 2025 3:09 pm

      https://shorturl.fm/p9E8w

      Reply
    43. Isaiah1239 on July 30, 2025 2:56 pm

      https://shorturl.fm/tbLWx

      Reply
    44. Scott167 on July 30, 2025 5:26 pm

      https://shorturl.fm/TBImU

      Reply
    45. Jonas4460 on July 31, 2025 8:12 am

      https://shorturl.fm/us6pn

      Reply
    46. Gwendolyn48 on July 31, 2025 8:29 am

      https://shorturl.fm/643Zb

      Reply
    47. Franklin207 on July 31, 2025 5:50 pm

      https://shorturl.fm/RT29D

      Reply
    48. Agnes3571 on July 31, 2025 7:09 pm

      https://shorturl.fm/Os806

      Reply
    49. Deirdre4091 on August 1, 2025 2:36 pm

      https://shorturl.fm/FYm24

      Reply
    50. Lila485 on August 1, 2025 2:41 pm

      https://shorturl.fm/JkkWy

      Reply
    51. Lynda4372 on August 1, 2025 3:31 pm

      https://shorturl.fm/Ge56k

      Reply
    52. Dane577 on August 1, 2025 7:47 pm

      https://shorturl.fm/PnAnI

      Reply
    53. Colby1345 on August 2, 2025 2:35 am

      https://shorturl.fm/pK2t7

      Reply
    54. Nikita244 on August 2, 2025 3:05 am

      https://shorturl.fm/ocsH9

      Reply
    55. Dana3469 on August 2, 2025 4:39 pm

      https://shorturl.fm/mos1j

      Reply
    56. Haley3588 on August 3, 2025 2:41 pm

      https://shorturl.fm/HfmZn

      Reply
    57. Elsa1793 on August 3, 2025 4:21 pm

      https://shorturl.fm/qqf35

      Reply
    58. Allison1512 on August 3, 2025 4:42 pm

      https://shorturl.fm/mfI4Q

      Reply
    59. Blair3851 on August 3, 2025 8:53 pm

      https://shorturl.fm/gwE4n

      Reply
    60. Robert1964 on August 4, 2025 1:33 am

      https://shorturl.fm/3Nb4c

      Reply
    61. Esme2947 on August 4, 2025 6:50 pm

      https://shorturl.fm/KwpEn

      Reply
    62. Khloe369 on August 7, 2025 1:19 am

      https://shorturl.fm/YGoz4

      Reply
    63. Jake2521 on August 8, 2025 8:08 am

      https://shorturl.fm/IegeZ

      Reply
    64. Jim526 on August 9, 2025 2:35 pm

      https://shorturl.fm/Nll2t

      Reply
    65. Dorothy3158 on August 12, 2025 1:31 am

      https://shorturl.fm/ZmiSh

      Reply
    66. Chase4333 on August 12, 2025 8:28 am

      https://shorturl.fm/E0888

      Reply
    67. Julian2203 on August 14, 2025 4:48 pm

      https://shorturl.fm/Gg3yo

      Reply
    68. Alaina4720 on August 19, 2025 3:08 am

      https://shorturl.fm/Y3zyG

      Reply
    69. Brian2234 on August 19, 2025 10:15 am

      https://shorturl.fm/PZWoO

      Reply
    70. Karina499 on August 21, 2025 8:13 am

      https://shorturl.fm/n7iyP

      Reply
    71. Theo1421 on August 22, 2025 9:21 pm

      https://shorturl.fm/JtN4E

      Reply
    72. Liam2160 on August 24, 2025 1:39 pm

      https://shorturl.fm/HdajW

      Reply
    73. Cassidy826 on August 25, 2025 6:31 am

      https://shorturl.fm/LXJF8

      Reply
    74. Lachlan594 on August 25, 2025 8:58 am

      https://shorturl.fm/hYYqX

      Reply
    75. Jed1620 on August 25, 2025 10:39 pm

      https://shorturl.fm/RfKcn

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi October 1, 2025

    In the name of LOVE – 12

    Ilipoishia sehemu ya Kumi na moja ya In the name of LOVE Moyo Wangu na…

    In the name of LOVE – 11

    In the name of LOVE – 10

    In the name of LOVE – 09

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.